mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Endelea kuota, mlikuwa na imani kubwa sna mnakwenda kukuta kitu ktk ile hospital mkaambulia aibu. Jiandae na aibu nyingine hapo khan yunusSio rafiki kwa Israel pia na Hamas wameonba ceasefire baada ya kuona wamezungukwa Khan Younis tegeni sikio wiki hii Kuna kitu kikubwa IDF wanaenda kukionyesha kwa Dunia kuwahusu hao wapumbavu.