HAMAS yaua askari 21 wa Israel baada ya kuwashushia makombora mazito

HAMAS yaua askari 21 wa Israel baada ya kuwashushia makombora mazito

Sio rafiki kwa Israel pia na Hamas wameonba ceasefire baada ya kuona wamezungukwa Khan Younis tegeni sikio wiki hii Kuna kitu kikubwa IDF wanaenda kukionyesha kwa Dunia kuwahusu hao wapumbavu.
Endelea kuota, mlikuwa na imani kubwa sna mnakwenda kukuta kitu ktk ile hospital mkaambulia aibu. Jiandae na aibu nyingine hapo khan yunus
 
Wakiondoka inakuwa safe heaven ya ugaidi. Mojawapo ya garama za vita ni loss of lives. Its just a matter of comparison anachokufanya Israel kila siku kinaiimalisha Hamas au kinaidhoofisha? AMINI NAKUAMBIA HAMAS KUNA SIKU IJAYO ISIYO NA JINA WATAKUWA HAWANA HATA RISASI HATA MOJA....UKI FIRE RISASI ZINAPUNGUA KWENYE MAGAZINE NA HUNA ACCESS YA KU REPLACE HUKO KWENYE HANDAKI. RPG NA BUNDUKI NA VILIPUZI VYOTE VILIPITA KWA MAGENDO MPAKA WA RAFAL( GAZA NA MISIRI) KWA SASA NI TOTALLY IMPOSSIBLE. HATA ROLI LILILOBEBA MAJI YA KUNYWA LINAKAGULIWA MPAKA KWENYE AIR CLEANER.
Mnajidanganya kuhusu Hamas kuishiwa silaha sahau, nyuma ya Hamas kuna Iran na Hizbollah ambao kwa sasa ndio wanawapata support.Kama ilivyo kwao kuna wanajeshi kutok UK,US,France na Canada hivyo hivyo ndani ya Hamas kuna watu kutoka Hizbolah, Iran ,Iraq na Wahouth wanawapa tafu Hamas.So hii vita sio ya leo wala ya kesho.

Sasa hivi naona EU jana wamependekeza kuwe na mataifa mawili na leo mataifa matano ya Kiarab nao wameenda na msimamo huo huo wa two state solutions,hivyo hivyo kwa US (Japo nae ndumilakuwili),ila wao wamekataa kwani wamesema wanataka Gaza yote iwe chini yao.
 
Hamas hawauliwi sio? Kuna vita isiyokuwa na vifo ? Kikubwa ni kwamba IDF inasonga mbeli walianzia North Gaza wakatembeza kipigo wakaja Gaza City na sasa Khan Younis makao makuu ya hao wajinga wajinga huko ndio kusonha mbele sasa
Wanasonga mbele kurudi nyuma labda
Tokea wasonge mbele wangekua washaibeba ghaza yote
 
Hizo ni gharama za vita uzuri ni kwamba Khan Younis imezingukwa soon nyani atatema bungo maana juzi Kiongozi wao kaomba ceasefire ila Pm kamgomea.
 

Attachments

  • Screenshot_20240123-230115_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20240123-230115_WhatsAppBusiness.jpg
    186.1 KB · Views: 3
Sio rafiki kwa Israel pia na Hamas wameonba ceasefire baada ya kuona wamezungukwa Khan Younis tegeni sikio wiki hii Kuna kitu kikubwa IDF wanaenda kukionyesha kwa Dunia kuwahusu hao wapumbavu.
🤣🤣🤣🤣🤣
Endeleeni kuota wazayuni
 
Pesa zipo Doha na Iran wamesema wataijenga Gaza upya na kwa uharaka.
Pesa zipo mzee kaa kwa kutulia.
Huko irani kuna kijiji wananchi hawajawai kuangalia TV......ndio pesa wakazigawe bure kwa hamas kisa mabikira 72 yenye macho kama mayai??punguani ni wewe tu sio watu wote
 
Wanasonga mbele kurudi nyuma labda
Tokea wasonge mbele wangekua washaibeba ghaza yote
Kupigana na mtu ambaye anajificha ktkat ya raia sio jambo dogo, hao wapuuzi wangekuwa Wana Kambi au uniforms maalum hii vita ingechukua wiki tu kwa IDF ila kwakuwa hawataki kusababisha maafa makubwa kwa raia wa Gaza ndio maana unaona vimechukua muda pongezi kwa IDF tafadhali
 
Acha kupotosha we mama wa hamas Ile ilikua incident kwa idf ...
 
Hatua waliyofikia wapalestina washagundua hakuna aliye salama kama wapalestina elfu25 washauliwa ikiwemo vichanga na wanawake, hawana namna nyingine zaidi ya kupigana, ndiomaana nguvu imekua kubwa sana upande wao wangeungana tangu awali pengine ata izo namba za vifo zingepungua.
Hakuna mwanaume wa kipalestina anaeogopa kifo sasa ivi mioyo yao ishakufa ganzi hawana uoga tena.
Na ndio ukweli huu wanaona hawapo salama kabisaaaaa
 
Kupigana na mtu ambaye anajificha ktkat ya raia sio jambo dogo, hao wapuuzi wangekuwa Wana Kambi au uniforms maalum hii vita ingechukua wiki tu kwa IDF ila kwakuwa hawataki kusababisha maafa makubwa kwa raia wa Gaza ndio maana unaona vimechukua muda pongezi kwa IDF tafadhali
Msharudi kwenye kuwafukia hao wazayuni au😀
 
Huko irani kuna kijiji wananchi hawajawai kuangalia TV......ndio pesa wakazigawe bure kwa hamas kisa mabikira 72 yenye macho kama mayai??punguani ni wewe tu sio watu wote
Khaa!
Mbona una nonsensical facts?
Kwahiyo kisa kuna sehemu Iran hawana Tv ndio Iran ishindwe kuwafadhili Gaza fedha?
Mbona Lebanon wanafadhiliwa na Iran kupitia Hizbollah?
Nahisi naongea na kijana aliye katika balehe,maana vijana wenye balehe hukurupuka kuongea huwa hawajengi hoja.
We pita hivi maana sijengi mijadala na vijana wa hovyo.
 
Hizo ni gharama za vita uzuri ni kwamba Khan Younis imezingukwa soon nyani atatema bungo maana juzi Kiongozi wao kaomba ceasefire ila Pm kamgomea.
Mbona hujiulizi ni kwann hii habari ya kuizunguka Khan yunis wamezisema baada ya kupokea kipigo hicho jana?
 
Kupigana na mtu ambaye anajificha ktkat ya raia sio jambo dogo, hao wapuuzi wangekuwa Wana Kambi au uniforms maalum hii vita ingechukua wiki tu kwa IDF ila kwakuwa hawataki kusababisha maafa makubwa kwa raia wa Gaza ndio maana unaona vimechukua muda pongezi kwa IDF tafadhali
Katika hao raia IDF imeshindwa kuthibitisha kuwa kuna hamas ama kupata hata silaha yake.
Sawa wanavaa kiraia ila wana bullet proof na mikanda ya risasi hv unashinwa kuwajua kwan hivyo vitu hujificha?
 
Hizi habari hua mnapewa huko mkienda kuuziwa chumvi na maji ya upako?

Weka vivid evidence ya unachokiongea hapa,

hizi porojo wapelekee wale wanaokuita kondoo ili wakakuchunge vizuri zaidi.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa jamaa wanafurahisha.
Hiyo SMG tu kuificha kwa buibui kazi yani uifiche RPG na ifichike ndani ya buibui!!!!
Hawa jamaa wanashangaza.
 
Tatizo unasubir mpaka uende masjid ukapewe taarifa kuhusu kinachoendelea Gaza, fungua Aljazeera muda huu ujionee mwenyewe usipende kuhadithiwa
Kwa hiyo hiyo Al Jazeera unaitizama ww mwenyewe tu wengine hatuna tv ndani kwetu?
Kuizunguka Khan yunis ni kwa mujibu wa jeshi la Israel na sio kwa mujibu wa Aljazeera , Aljazeera wao wanaripoti wanacho ambiwa.
 
Hamas hawauliwi sio? Kuna vita isiyokuwa na vifo ? Kikubwa ni kwamba IDF inasonga mbeli walianzia North Gaza wakatembeza kipigo wakaja Gaza City na sasa Khan Younis makao makuu ya hao wajinga wajinga huko ndio kusonha mbele sasa
Makao makuu mlituambia yako gaza kasikazini kwenye hospital ya Al shifa tena leo yamehamia Khan yunis?😃😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom