Hamas yaua zaidi ya wanajeshi 24 wa Israel ndani ya Gaza masaa 24 yaliyopita

Hamas yaua zaidi ya wanajeshi 24 wa Israel ndani ya Gaza masaa 24 yaliyopita

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Jeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.

Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas

huku wengine wakitekwa nyara.

Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.

Shuhudia sehemu ya mapambano hayo.
NB-video zinaogofya kiasi
 
Jeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.

Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.

Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.

Shuhudia sehemu ndogo ya wanajeshi hao.
Weka source acha kujifariji
 
Jeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.

Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.

Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.

Shuhudia sehemu ndogo ya wanajeshi hao.
Aljazeera yenyewe haijatangaza hii. Mnapenda sana kujifariji
 
Aljazeera yenyewe haijatangaza hii. Mnapenda sana kujifariji
Hawa mambumbumbu kupitia kitabu chao cha chuki, hata iweje hawaelewi kitu zaidi ya Taqqiya
IMG_2337.png
 
Jeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.

Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.

Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.

Shuhudia sehemu ndogo ya wanajeshi hao.
Mkuu bado unajifariji na propaganda😂😂😂😂Au kichapo kimekolea.
HAYA TUJUZE NI ASKARI WANGAPI WA HAMAS WAMEFARIKI
 
Israel ataje hakuna aliye mzuia.
HAMAS HAWAWEZI KUTAJA NA SABABU SISI WATAALAMU WA HABARI ZA VITA TUNAIJUA.
NB: HAMAS FIGHTER'S DEATHS INABAKI KUA SIRI YAO WAO WENYEWE HAMAS SINCE OCT 07....
NDIO MAANA WANAOMBA CEASE FIRE
 
Israel Announces Its Tanks Have Reached Gaza City
Josh Fiallo
Fri, November 3, 2023 at 12:34 AM GMT+3
Anadolu Agency via Getty Images
Anadolu Agency via Getty Images
Israeli soldiers rolled into Gaza City on Thursday, marking the start of a “significant stage” of Israel’s ground operation into the Gaza Strip, military officials said. Gaza City is the strip’s most populous city, with nearly 600,000 residents and, according to Israeli officials, is also the home base of Hamas. In a statement, IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi said Israeli forces approached Gaza City from the north while exchanging fire with Hamas. Halevi said about 130 Hamas militants were killed by Israeli ground forces on Thursday and that armored divisions had reached Gaza City. Israeli officials say 19 of its soldiers have been killed since the beginning of its ground operation late last week, the Times of Israel reported Thursday, including one senior officer. Gaza City has been bombarded by Israeli airstrikes for more than three weeks, beginning Oct. 7 after Hamas rushed the Israeli border and erupted the region into chaos. Israel ordered the city’s residents to evacuate, but many civilians have still been struck by airstrikes a
 
Back
Top Bottom