Hamas yaua zaidi ya wanajeshi 24 wa Israel ndani ya Gaza masaa 24 yaliyopita

Hamas yaua zaidi ya wanajeshi 24 wa Israel ndani ya Gaza masaa 24 yaliyopita

Kwanini sasa mazayuni yalizidisha mipaka yaliyopewa na umoja wa mataifa mwaka 1947?
Kama kweli jina lako ni Francis na kwamba unaishi kulingana na jina lako nikwambie hivi;
Ulimwengu huu unaongozwa na Shetani na kwa Bahati mbaya Allah ndiye yule Shetani mkubwa Quran 15:39 ndiye anasimamia propaganda za waislam na ndiyo maana zinaenea sana. Upande wake Mungu na Yesu wao wanayuonya tu kuwa kama hamfuati mafundisho ya biblia, basi ile NURU YA KIRISTO haitawaangazia 2 Corinthians 4:4
Tukija kwenye swali lako ni kuwa huo mwaka 1947 baada ya UN Resolution kuanzisha mataifa mawili, Mataifa ya Kiarabu yakitumia mipaka ya Jordan na Egypty yaliamua kuvamia israel ili kulifutilia mbali taifa hilo. Wakati wanafanya hivyo wakawaambia waarabu wenzao waliokuwa wakiishi miongoni mwa Wayahudi waondoke ili wafanye hayo mauaji. Kuna baadhi walibaki ndiyo hao israel ikawachukua kama waisraeli wenzao. Baada ya vita hiyo israel ilijiongezea eneo lao la utawala mbali na kile waligawiwa na UN hususani maeneo ya kusini NA KASKAZINI karibu na Lebanoni. Walichofanya Wayahudi kinakubalika ktk sheria za kimataifa za vita. Walikuja tena kujiongezea maeneo hayo pale waislam wa Kiarabu walipolianzisha mwaka 1967 ambapo wakajitwalia west bank kutoka Jordan, Gaza na Sinai kutoka Egypty. Baadae wakaona isiwe shida sisi tunachotaka ni kuishi kwa Amani na majirani zetu. Hivyo wakawarudishia Egypty Sinai na Gaza, lakini Egypty ikakataa katakata Gaza hivyo ikachukua Sinai. Baadae israel ikawaambia PLO wanaweza kuwa na self autonomy west bank. Mwaka 2005 ikaamua pia kuwaruhusu PLO kuwa na self autonomy huko Gaza. Lakini nikwambie kitu waarabu ni corrupt, hivyo wananchi wa gaza wakaona labda Hamas kwa siasa zao za kiislam wanaweza kuwa wazuri-kumbe ni kama talabani. Na ndiyo mpaka leo wanajutia walichofanya. Kiujumla Waisrael hawakuwa kabisa na nia ya kujiongezea eneo la kiutawala, ila waarabu hila zao za KIQURAN ziliwalazimisha waisrael kuingia vitani na hatimaye kujitwalia maeneo ili kujiongezea ulinzi. MFANO mwingine halisi ni milima ya Golani ambayo waliitwaa kutoka Syria. Milima hiyo israel ni vigumu sana kuirudisha kwa wstajihatarishia sana usalama wao. Imagine hiyo milima ingekuwa chini ya Syria sasa hivi, ina maana Hezibulah wangefanya wanachotaka kwakuwa wako juu na wanaiangalia israel kwa chini
 
Israel wameshazingira mji wa Gaza .

Hapo wanandelea kukusanya taarifa za kiitelijensia ikiwemo walipo mateka , yalipo mahandaki .
 
Israel wameshazingira mji wa Gaza .

Hapo wanandelea kukusanya taarifa za kiitelijensia ikiwemo walipo mateka , yalipo mahandaki .
Mbona Gaza ilishazingirwa miaka mingi tu huko au wewe ndiyo ulikuwa haujui!.
JamiiForums-1723551223.jpg
 
HAMAS HAWAWEZI KUTAJA NA SABABU SISI WATAALAMU WA HABARI ZA VITA TUNAIJUA.
NB: HAMAS FIGHTER'S DEATHS INABAKI KUA SIRI YAO WAO WENYEWE HAMAS SINCE OCT 07....
NDIO MAANA WANAOMBA CEASE FIRE
Mkuu ww ni mtaalamu wa vita , unaweza ulisha pambana vita gani?
 
Jeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.

Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.

Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.

Shuhudia sehemu ya mapambano hayo.
NB-video zinaogofya kiasi
View attachment 2804094
Mbona unataja taarifa za vifo upande mmoja au ndio mizuka ya kidini ina kuchanganya

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.

Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.

Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.

Shuhudia sehemu ya mapambano hayo.
NB-video zinaogofya kiasi
View attachment 2804094
Umehesabu wa Israel, sasa tuletee hesabu na upande wenu ustaadh🤣🤣🤣🤣🤣 unawahesabu IDF waliouawa ukiwa kwenye shimo shekhe🤣🤣🤣
 
Jeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.

Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.

Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.

Shuhudia sehemu ya mapambano hayo.
NB-video zinaogofya kiasi
View attachment 2804094
kwa wale mnaoshangilia mkiona wavaa kobazi wanauwawa njooni mshangilie na huku
 
Mkuu jf kuna watu wa kada mbalimbali.
Unahitaji kujua nimepambana wapi???
Angalia uzi wangu mpya niliouweka at least utapata jibu
Mkuu nadhani ww ni mtaalamu wa kila kitu hapa duniani sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].

Maana ww kila kinacho ongelewaga huwa jf basi ww huwa unadai kuwa ww ni mtaalamu hivyo hutakiwi kubishiwa.

Ebu punguza sifa za kihaya basi?

Kwanza wahaya na vita wapi na wapi?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umehesabu wa Israel, sasa tuletee hesabu na upande wenu ustaadh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unawahesabu IDF waliouawa ukiwa kwenye shimo shekhe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ww hesabu hakuna aliye kukataza.
 
Kama kweli jina lako ni Francis na kwamba unaishi kulingana na jina lako nikwambie hivi;
Ulimwengu huu unaongozwa na Shetani na kwa Bahati mbaya Allah ndiye yule Shetani mkubwa Quran 15:39 ndiye anasimamia propaganda za waislam na ndiyo maana zinaenea sana. Upande wake Mungu na Yesu wao wanayuonya tu kuwa kama hamfuati mafundisho ya biblia, basi ile NURU YA KIRISTO haitawaangazia 2 Corinthians 4:4
Tukija kwenye swali lako ni kuwa huo mwaka 1947 baada ya UN Resolution kuanzisha mataifa mawili, Mataifa ya Kiarabu yakitumia mipaka ya Jordan na Egypty yaliamua kuvamia israel ili kulifutilia mbali taifa hilo. Wakati wanafanya hivyo wakawaambia waarabu wenzao waliokuwa wakiishi miongoni mwa Wayahudi waondoke ili wafanye hayo mauaji. Kuna baadhi walibaki ndiyo hao israel ikawachukua kama waisraeli wenzao. Baada ya vita hiyo israel ilijiongezea eneo lao la utawala mbali na kile waligawiwa na UN hususani maeneo ya kusini NA KASKAZINI karibu na Lebanoni. Walichofanya Wayahudi kinakubalika ktk sheria za kimataifa za vita. Walikuja tena kujiongezea maeneo hayo pale waislam wa Kiarabu walipolianzisha mwaka 1967 ambapo wakajitwalia west bank kutoka Jordan, Gaza na Sinai kutoka Egypty. Baadae wakaona isiwe shida sisi tunachotaka ni kuishi kwa Amani na majirani zetu. Hivyo wakawarudishia Egypty Sinai na Gaza, lakini Egypty ikakataa katakata Gaza hivyo ikachukua Sinai. Baadae israel ikawaambia PLO wanaweza kuwa na self autonomy west bank. Mwaka 2005 ikaamua pia kuwaruhusu PLO kuwa na self autonomy huko Gaza. Lakini nikwambie kitu waarabu ni corrupt, hivyo wananchi wa gaza wakaona labda Hamas kwa siasa zao za kiislam wanaweza kuwa wazuri-kumbe ni kama talabani. Na ndiyo mpaka leo wanajutia walichofanya. Kiujumla Waisrael hawakuwa kabisa na nia ya kujiongezea eneo la kiutawala, ila waarabu hila zao za KIQURAN ziliwalazimisha waisrael kuingia vitani na hatimaye kujitwalia maeneo ili kujiongezea ulinzi. MFANO mwingine halisi ni milima ya Golani ambayo waliitwaa kutoka Syria. Milima hiyo israel ni vigumu sana kuirudisha kwa wstajihatarishia sana usalama wao. Imagine hiyo milima ingekuwa chini ya Syria sasa hivi, ina maana Hezibulah wangefanya wanachotaka kwakuwa wako juu na wanaiangalia israel kwa chini
Nyerere alijiongezea mipaka kwa asilimia ngapi baada ya kuishinda Uganda mwaka 1979?

Na kabla ya 1947, Israel ilikuwa inamiliki asilimia ngapi ya ardhi iliyonayo leo?

05C08904-FF74-42A2-899E-454EA5AC5591.jpeg


Kwa huo mchoro wa ramani hapo juu, unategemea kwa walichofanya hao mazayuni kuna namna yeyote hii vita inaweza kuisha? Angalia hiyo ramani halafu tafakari bila unafiki, ingekuwa wewe ndio Palestine , utakubali?
 
Mkuu nadhani ww ni mtaalamu wa kila kitu hapa duniani sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].

Maana ww kila kinacho ongelewaga huwa jf basi ww huwa unadai kuwa ww ni mtaalamu hivyo hutakiwi kubishiwa.

Ebu punguza sifa za kihaya basi?

Kwanza wahaya na vita wapi na wapi?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu utaalamu ni kipaji na tunavyo watu wachache sana ndugu yangu.
NB: WAHAYA HAWANA SIFA BALI WANA AKILI ZILIZOPITILIA IQ YA KIKAWAIDA 🤣🤣😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom