Weka source acha kujifarijiJeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.
Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.
Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.
Shuhudia sehemu ndogo ya wanajeshi hao.
Aljazeera yenyewe haijatangaza hii. Mnapenda sana kujifarijiJeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.
Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.
Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.
Shuhudia sehemu ndogo ya wanajeshi hao.
Hawa mambumbumbu kupitia kitabu chao cha chuki, hata iweje hawaelewi kitu zaidi ya TaqqiyaAljazeera yenyewe haijatangaza hii. Mnapenda sana kujifariji
Nakukubali kwenye hiliMkono kwa mkono mazayuni ni mabata tu, wanategemea madege
Kwanini sasa mazayuni yalizidisha mipaka yaliyopewa na umoja wa mataifa mwaka 1947?Hawa mambumbumbu kupitia kitabu chao cha chuki, hata iweje hawaelewi kitu zaidi ya Taqqiya
View attachment 2804007
Aljazeera yenyewe haijatangaza hii. Mnapenda sana kujifariji
Pole,nenda telegram Gaza today au abdallah Al attar,ufurahie video za vifaru Bora vya merkava vya Israel vikibutuliwaUjinga ni mzigo uumizao mbichwa wa mjinga mwenyewe.
Lini Aljazeera wakawa watangazaji takwimu za vifo vitani?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aljazeera yenyewe haijatangaza hii. Mnapenda sana kujifariji
Israel ataje hakuna aliye mzuia.Ungetaja na idadi ya wanamgambo wa Hamas waliokufa!
Mkuu bado unajifariji na propaganda😂😂😂😂Au kichapo kimekolea.Jeshi la Israel linakabiliwa na mapambano makali kutoka kwa wapiganaji wa Hamas ndani ya Gaza.
Masaa 24 yaliyopita Israel imepoteza zaidi ya wanajeshi 24 kwa kuuawa na wapiganaji wa Hamas
View attachment 2803974
huku wengine wakitekwa nyara.
Hali hiyo imepelekea Leo hii kuanzia asubuhi Israel kushambulia misikiti, hospital na hata boti za uvuvi pwani ya Gaza ambapo maeneo yote hayo hakuna wapiganaji wa Hamas.
Shuhudia sehemu ndogo ya wanajeshi hao.
HAMAS HAWAWEZI KUTAJA NA SABABU SISI WATAALAMU WA HABARI ZA VITA TUNAIJUA.Israel ataje hakuna aliye mzuia.