Hamas yaua zaidi ya wanajeshi 24 wa Israel ndani ya Gaza masaa 24 yaliyopita

Tanzania ilijiongezea mipaka kwa asilimia ngapi hapo Uganda baada ya kushinda vita mwaka 1979?
 


Hapo vipi..
 
 
Wewe Abdool uliejivika sura Nuru kuudanganya umma wa JF nimeisha malizana nawe; mtu ambaye haujui ufanano wa kujiongezea Mipaka na kuiweka madarakani Serikali inayotii matakwa yako!!! Umezoea kukariri Quran tu


Unaichukuliaje hii
 
Wewe Jagina mpokee tu Yesu Rafiki. Kwani ulichopost hapo haki support and of your argument; badala yake hiyo clip niliyokutumia kama kweli wewe ni msafi moyoni, na hayo maandiko yote ya Quran yenu basi hautamfuata huyo mpenda ngono Mohammad

Wewe unataka nimpokee kama nani ?? kama biblia inavyosema ni mwana haramu na wengine wanasema alikuwa shoga ??

Mwanaharamu haingii katika ufalme wa Mungu na biblia imemtaja kama ni mwanaharamu

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana. L

icha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu.

Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:

β€œMwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano
wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).
 
Israel inafanya mauaji ya kimbari kwa watoto na wanawake kwa kupiga makombora ya ndege,baharini na nchi kavu na haiuwi direct HAMAS ambapo kimantiki ndio adui wao.

HAMAS wao wanawakabili direct wanajeshi wa Israel na kupambana nao.

Nitajie hata media moja ambayo imesema wana mgambo wangapi wa HAMAS so far wameuliwa?!!

Jeshi la Israel limetoa ripoti ya idadi ya HAMASI iliyowaua so far?!!

Wengine tunaripoti wanajeshi wa Israel ili watu tuone kua kwa ground mambo ni tofauti.

Habari niliyoiweka huwezi kuiona BBC, Aljazeera,Fox wala CNN.
Mbona unataja taarifa za vifo upande mmoja au ndio mizuka ya kidini ina kuchanganya

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Mashoga mpaka yanatumia mercenaries kupambana na Hamas View attachment 2804547
Kuna wanajeshi wa Ukraine pia wanakimbia Ukraine na kwenda kupigana Gaza kama mamluki wa Israel kwa malipo mara ya 2 ya jeshi la Ukraine na pia wameingia mkataba baada ya miezi 6 wanapewa uraia wa familia nzima ya kila Mercenary.

Passport ya Israel ina nguvu kuishia Ulaya na Marekani bila tabu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hamas anachowakera Viongozi wa Israel wanaotumia silaha za gharama kubwa kuua raia wakati Hamas wanaotumia silaha za gharama nafuu na kuuwa Wanamgambo wa Israel
Ndio maana Israel anaua watoto na wanawake ili HAMAS watoe mateka na kusitisha vita.

Kiufupi kuwateketeza HAMAS wenyewe Israel amefeli.
 
Kumbe na Aljazeera ni Pro West[emoji848]

Always na inamilikiwa na mzungu ila tofauti yake sio shirika la serikali.

Jamaa mfanyabiashara,aliona soko la unbiased news television middle East hakuna ambayo pia inachukua habari za Middle East ambazo sio negative tu na luzisambaza,akaenda middle East na kuanzisha Aljazeera kwa lugha ya kiarabu na kiingereza,akafanikiwa kuwachalenge CNN na BBC.

Nowadays nafikiri unaona haina nguvu tena, waarabu wameanzisha tvs ambazo zinatamba middle East.
 
VYOMBO VYOTE MPAKA CGTN IMETANGAZA JUMLA YA WANAJESHI WALOUAWA NI 346 UKIJUMLISHA NA HAO 24 JUMLISHA 6 WALOKUFA LEO HII.
Kusema kweli Israel taifa teule imetuangusha sana. Hatujafurahi na kuridhika idadi ya vifo Gaza sasa hivi huko Gaza. 10,000 bado ndogo mnooo. Tulitarajia hadi leo idadi ya vifo ifike laki na zaidi ili tufurahi. Kusema kweli wateule wametuangusha sana. Kwa hili Israel ijitafakari asee.
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜…πŸ€£πŸ‘ŒπŸΏπŸ‘†πŸΏπŸ‘†πŸΏπŸ‘†πŸΏπŸ‘†πŸΏπŸ‘ŒπŸΏπŸ‘ŒπŸΏ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…