Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hiki cha lami au kipindi kile cha vumbi!!!3-6 hours
Mimi nikiwa kwenye gari zinazoendeshwa na madereva kama hawa napiga kelele kweli kweli. Mara kadhaa nimegombana na madereva wa aina hii na kuna siku nimeshuka na kusubiri gari nyingine.D
Aah kama ni Probox nayo ni balaa inatembea mno harafu gari ya chini kuona kona na gari ya upande mwingine ikiwa mwendokasi inataka mtu kweli...nasikia hizo gari za kibondo zinaruka sio kukimbia kumbe wanaziita Mchomoko...
Kipindi cha lami au kile cha rough roadBro hapa umedanganya ujue. Huo si ni mda wa Kibondo Mwanza kabisa.
Haiwezekani wengine watumie masaa 6 kwa gari hamis atumie dk 25!3-6 hours
Daah ila mazingira ya Kigoma!!!
Kakonko to Kibondo ni dk 45 to 1 hourHaiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
Hii itakuwa BombardierHaiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
Sehemu ya kutembea masaa 3 hata mtu akitembea vipi hawezi kutembea kwa nusu saa3-6 hours
Yaani huko usafiri wa chap ni probox tu, barabara yenyewe sasa masika madimbwi, kiangazi vumbi jekunduu ajali ni kugusa tuAliyekuwa Dereva na mmiliki wa gari ndogo, Hamis Chaurembo (27) maarufu kama SIMBA ambaye amefariki baada ya kupata ajali mbaya huko Kibondo Kigoma amezikwa jana.
Ila kuna cha kujifunza hapa kutokana na maneno ya baadhi ya marafiki zake.
"Baadhi ya A.K.A alizopambwa nazo ni pamoja na 'Mwendo wa rocket', ndege ya ardhini, Hamisi on fire' Titanic icon' Sukari ya Warembo'
"Alikuwa akitumia dk 20 hadi 25 kutoka Kibondo hadi Kakonko, watu walimpenda kwasababu ya ucheshi wake, alikuwa hana baya yeye anawasha gari hata kama amepata abiria mmoja.
"Ahadi aliyojiahidi imetimia, katika kauli zake aliwahi kusema
"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".
Ndio kwetu huko,,,fresh tuDaah ila mazingira ya Kigoma!!!
KabisaaHaiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
Na bado waliomsikia akisema hivyo waliingia kwenye gari lake na leo wanasema kazi ya Mungu"Ahadi aliyojiahidi imetimia, katika kauli zake aliwahi kusema
"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".
Nimewahi kupanda gari lake huyu jamaa. Nilijitahidi sana kumcontrol kuhusu mwendo. Abiria wenzangu waliishia kunidhihaki tu ati naogopa kufa wakati hukukwepeki. Lakini ilisaidia kwani alipunguza mwendo baada ya kuwa mkali sana.Aliyekuwa Dereva na mmiliki wa gari ndogo, Hamis Chaurembo (27) maarufu kama SIMBA ambaye amefariki baada ya kupata ajali mbaya huko Kibondo Kigoma amezikwa jana.
Ila kuna cha kujifunza hapa kutokana na maneno ya baadhi ya marafiki zake.
"Baadhi ya A.K.A alizopambwa nazo ni pamoja na 'Mwendo wa rocket', ndege ya ardhini, Hamisi on fire' Titanic icon' Sukari ya Warembo'
"Alikuwa akitumia dk 20 hadi 25 kutoka Kibondo hadi Kakonko, watu walimpenda kwasababu ya ucheshi wake, alikuwa hana baya yeye anawasha gari hata kama amepata abiria mmoja.
"Ahadi aliyojiahidi imetimia, katika kauli zake aliwahi kusema
"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".