Hamis Chaurembo: Dereva mjinga aliyeuwa abiria kwa mwendokasi Kigoma

Hamis Chaurembo: Dereva mjinga aliyeuwa abiria kwa mwendokasi Kigoma

Nafikilia hapa cha kuangalia kiwe mwendo na umri.
Kiuharisia,kijana au mtu wa umri wa miaka 25 hastahili kuendesha gari la kubeba abilia. Labda mwanamke sawa. Japo kuna na wazee mashalo,hawajielewi.
Na kwa umri huo,labda watu tulionusulika ajali kwa kukimbia
 
Inawezekana lkni nenda kokote kwenye mamlaka zinazihusiana na barabara uliza mwendo wa eneo hilo ukipanda public service
inawezekana vp km 45 utembee masaa 3-6? kbnd/kknk unapafahamu? sisi tunapita hapo mara kwa mara tunapafahamu vzr.. wenzio bangi wanavuta wewe unakula kbs
 
SIo Kanembwa pale kwenye ule Mteremko na kona kali hayo maeneo usipoyaheshimu lazima yakuondoe tena wakati wa barabara ya vumbi ndio ilikuwa hatari zaidi.
 
Sasa mtoa mada ndio anasema dogo alienda kwa dk 20 ina alikua anapaa?

Any way Apumzike kwa amani
Uongoo bhana Google map tu inasema ni Dakika 40...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna siku natokea Dodoma niko kwenye speed ya 120km/Hr ikatokea V8 ikani-ovetake. Si nikasema nile nayo ligi, kufika speed ya 160km/Hr nikasema hivi nikipata ajali kwa mwendo huu kweli nitapona?

I later slow down to 80km/Hr nikaiacha V8 ikipotea machoni kwangu

Kusema kweli Ajali nyingi huchangiwa na Mwendokasi

Mwendokasi unaua....

Poleni kwa misiba [emoji24]
Kiukweli ndo maana Safari za misafara sizitaki, ukiongozana na mtu anapepea nawe utatamani kupepea
 
Kiukweli ndo maana Safari za misafara sizitaki, ukiongozana na mtu anapepea nawe utatamani kupepea
Wa mbele anatimua vumbi na V8, na wa Corolla anaona zote gari tu.
Kuna mtu mmoja japo alikata pumzi. Eti lengo lake mpaka atafutwe kuwa dereva wa raisi,kwa sababu kila anapoona yale magari,yana kasi. Na walio wengi,utakuta kuna gari furani anajua likishika barabara,sekunde tu limepotea. Sasa,na wa daladala anataka afanye hivyo. Hasa wenye umri mdogo
 
Hizo case za kusifiana ujinga ni nyingi na zimewaachia vijana wengi sana ulemavu wa kudumu acha wale waliokufa.

Namfahamu jamaa zamani miaka ya 2006/7 alikuwa kwenye club ya ya wale jamaa wanaoinua pikipiki Baja wa maeneo ya Kinondoni na kutembea na tairi moja ya nyuma,ilikuwa hivi hivi akiinua ni miluzi na kelele za wenzake siku hiyo pale mteremko wa kutoka Morocco Hotel kuelekea Mkwajuni aliinua vibaya akacheza mistake kidogo tu akavunja spinal cord hadi leo hata kuzungusha shingo hawezi anaingia utu uzima akiwa mlemavu.

Ni vitu vya kusikitisha sana.
Amevuna alichopanda.
 
Miaka ya 2000 Mwanzoni, Urambo Tabora, kuna jamaa alikuwa akiendesha gari ya Halmashauri, mkonga. Alikuwa na mwendo usio wa kawaida. Alikuwa akisema siku mkisikia nimepata ajali, basi mtenge tu msiba.

Na kweli, ajali iliyomkuta, humtazami mara mbili. Alikua akiitwa Chonza kama sijamsahau jina.

Kuna wengine ni wagonjwa wa akili na wana leseni za udereva.
Kujinenea ni vibaya
 
Back
Top Bottom