Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kibondo to kakonko ni km.45 ndo masaa 3-6? umekula maharage ya wapi wewe?3-6 hours
...mjinga huyo! kibondo to kakonko ni km 45 tu ndo masaa 3-6?Haiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
..angalauDk 40
inawezekana vp km 45 utembee masaa 3-6? kbnd/kknk unapafahamu? sisi tunapita hapo mara kwa mara tunapafahamu vzr.. wenzio bangi wanavuta wewe unakula kbsInawezekana lkni nenda kokote kwenye mamlaka zinazihusiana na barabara uliza mwendo wa eneo hilo ukipanda public service
Amesha trend mbona maana bila kifo chake mi nisingemjua.Alitaka kutrend
Haya sasa
Ova
Sasa mtoa mada ndio anasema dogo alienda kwa dk 20 ina alikua anapaa?3-6 hours
Uongoo bhana Google map tu inasema ni Dakika 40...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa mtoa mada ndio anasema dogo alienda kwa dk 20 ina alikua anapaa?
Any way Apumzike kwa amani
Maneno huumba."Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".
Wacha uongo wewe! Kibondo to Kakonko 45km iwe 3-6hrs? Haizidi saa 1!3-6 hours
Dah!Sema kuna mda maneno hua yanatimia mimi kuna mwanangu alisemaaga yeye hataki ushahidi siku ya mbanga watu walimtoa vipande vya nyama na beleshi
Kiukweli ndo maana Safari za misafara sizitaki, ukiongozana na mtu anapepea nawe utatamani kupepeaKuna siku natokea Dodoma niko kwenye speed ya 120km/Hr ikatokea V8 ikani-ovetake. Si nikasema nile nayo ligi, kufika speed ya 160km/Hr nikasema hivi nikipata ajali kwa mwendo huu kweli nitapona?
I later slow down to 80km/Hr nikaiacha V8 ikipotea machoni kwangu
Kusema kweli Ajali nyingi huchangiwa na Mwendokasi
Mwendokasi unaua....
Poleni kwa misiba [emoji24]
Wa mbele anatimua vumbi na V8, na wa Corolla anaona zote gari tu.Kiukweli ndo maana Safari za misafara sizitaki, ukiongozana na mtu anapepea nawe utatamani kupepea
Mi mwnyw imenistua[emoji848]mbonakama hizo picha nigari mbili tofauti?
Amevuna alichopanda.Hizo case za kusifiana ujinga ni nyingi na zimewaachia vijana wengi sana ulemavu wa kudumu acha wale waliokufa.
Namfahamu jamaa zamani miaka ya 2006/7 alikuwa kwenye club ya ya wale jamaa wanaoinua pikipiki Baja wa maeneo ya Kinondoni na kutembea na tairi moja ya nyuma,ilikuwa hivi hivi akiinua ni miluzi na kelele za wenzake siku hiyo pale mteremko wa kutoka Morocco Hotel kuelekea Mkwajuni aliinua vibaya akacheza mistake kidogo tu akavunja spinal cord hadi leo hata kuzungusha shingo hawezi anaingia utu uzima akiwa mlemavu.
Ni vitu vya kusikitisha sana.
Kujinenea ni vibayaMiaka ya 2000 Mwanzoni, Urambo Tabora, kuna jamaa alikuwa akiendesha gari ya Halmashauri, mkonga. Alikuwa na mwendo usio wa kawaida. Alikuwa akisema siku mkisikia nimepata ajali, basi mtenge tu msiba.
Na kweli, ajali iliyomkuta, humtazami mara mbili. Alikua akiitwa Chonza kama sijamsahau jina.
Kuna wengine ni wagonjwa wa akili na wana leseni za udereva.