passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Soma tena tuliza kichwa.Mpemba na huyo boda vinahusiana vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma tena tuliza kichwa.Mpemba na huyo boda vinahusiana vipi
Umenikumbusha dereva wa basi la simiyu " ndama jeuri" , aliua basi zimaunaweza kusema bora alivyotangulia kwakuwa baadae angekuja kuwa dereva wa basi huyu, na angepewa majina mengi zaidi na kuja kusababisha maafa zaidi ya haya.
✊✊✊Nilikua na wenge mkuu nikajua usafiri wao kama Arusha/Namanga nilivyoona hiyo gari kugeuka Chapati kumbe kuna picha ya gari kabisa...
Kwa sasa ni mkeka ndugu.Inawezekana kabisa maana ni kitambo kidogo tangu nimepita huko
Ni kweli dogo alikua anatembea dk 20 au chini ya hapo kweli kabisaHata kama dakika 45 ina maana kama mwendo wa kawaida tuseme KPH 80 unatumia dakika 45 hapo dakika 25 ina maana labda alikuwa anakimbia 150 KPH bila ku slow sasa kwa barabara gani Tanzania hii ukakimbia speed hiyo bila kukutana na matuta. Hapo nawazo barabara lami safi kama ulaya. Kweli barabara huko Kibondo ina quality ya mtu kukimbia 150 KPH bila kupunguza mwendo?
Wananchi ndio wajing Huwa wanashangilia na pale mmja wao akionya huonekana wa ajabu.Aliyekuwa Dereva na mmiliki wa gari ndogo, Hamis Chaurembo (27) maarufu kama SIMBA ambaye amefariki baada ya kupata ajali mbaya huko Kibondo Kigoma amezikwa jana.
Ila kuna cha kujifunza hapa kutokana na maneno ya baadhi ya marafiki zake.
"Baadhi ya A.K.A alizopambwa nazo ni pamoja na 'Mwendo wa rocket', ndege ya ardhini, Hamisi on fire' Titanic icon' Sukari ya Warembo'
"Alikuwa akitumia dk 20 hadi 25 kutoka Kibondo hadi Kakonko, watu walimpenda kwasababu ya ucheshi wake, alikuwa hana baya yeye anawasha gari hata kama amepata abiria mmoja.
"Ahadi aliyojiahidi imetimia, katika kauli zake aliwahi kusema
"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".
google gani wewe umekula maweed yanakuchanganyaNo me nimeileta kama ilivyo nikajiongeza kuchek Google earth kuhakikisha hiyo time nikaiweka
Hizo case za kusifiana ujinga ni nyingi na zimewaachia vijana wengi sana ulemavu wa kudumu acha wale waliokufa.Mkuu macho,
Yupo jamaa ni bodaboda ssahiv hana miguu yote alikatwa.
Na yeye alikuwa hivi hivi, rafiki wa karibu wakawa wanamuambia ndugu acha yule jamaa ni mpemba, lakini kuna wale wanafki wanasema unajua sheikh
Alipata ajali ile miguu ulikuwa kama mlenda ukimshika, amekatwa miguu yote sahiv yupo tu kwenye kibaiskeli.
Vijana ukweli hatusikii na wala hatutaki kuambiwa.
Kama ni hivyo alichokuwa anakitafuta kakipata.Ni kweli dogo alikua anatembea dk 20 au chini ya hapo kweli kabisa
3 - 6 hours??? Are you serious? Hayo ni makadirio ya mwendo wa chombo kimoja au transit?3-6 hours
Huyu Dogo ni mpumbavu Sana na nimepanda hio gari mara kadhaa kutoka Kibondo Hadi KakonkoAliyekuwa Dereva na mmiliki wa gari ndogo, Hamis Chaurembo (27) maarufu kama SIMBA ambaye amefariki baada ya kupata ajali mbaya huko Kibondo Kigoma amezikwa jana.
Ila kuna cha kujifunza hapa kutokana na maneno ya baadhi ya marafiki zake.
"Baadhi ya A.K.A alizopambwa nazo ni pamoja na 'Mwendo wa rocket', ndege ya ardhini, Hamisi on fire' Titanic icon' Sukari ya Warembo'
"Alikuwa akitumia dk 20 hadi 25 kutoka Kibondo hadi Kakonko, watu walimpenda kwasababu ya ucheshi wake, alikuwa hana baya yeye anawasha gari hata kama amepata abiria mmoja.
"Ahadi aliyojiahidi imetimia, katika kauli zake aliwahi kusema
"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".
Huyo dogo alitakiwa akaendeshe gari za magazeti co za kubeba abiria.3-6 hours