beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Hata angekuwa anaendesha roketi hawezi kutumia huo muda uliosema.3-6 hours
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata angekuwa anaendesha roketi hawezi kutumia huo muda uliosema.3-6 hours
Sio kweli.3-6 hours
Mkuu..wewe uko Kibondo kweli???yaani Kibondo to Kakonko utumie masaa matatu??unatumia baiskeli au nini??3-6 hours
Sipo huko mkuu mbona nimesema nimeweka kama ilivyoMkuu..wewe uko Kibondo kweli???yaani Kibondo to Kakonko utumie masaa matatu??unatumia baiskeli au nini??
Mimi nipo Kasulu,huwa napita njia hiyo nikielekea Mwanza,Kibondo to Kakonko nilikuwa natembea nusu saa kipindi kile hata Lami hakuna!
For real it doesn't make any sense.....its illogicalHaiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
43Kms from kibondo-kakonko kwa 25mins inawezekanaChai. 3hr to 25mins haiwezekani.
Kwa kweli Kigoma ni mwisho wa Tanzania na ndiyo maana Waha wote wamekimbia huko na wakija mjini wanaanza maisha Kwa Mtogole kwanza. Ona nyuma ya picha ya huyo jamaa, utafikiri yuko Serengeti ama Selous.
43Kms from kibondo-kakonko kwa 25mins inawezekana
Umedanganya mkuu kibondo kakonko ni less than 70km halafu utumie 3-6 hours?3-6 hours
Wastani wa dk 40. Nauli ya Kakonko - Kibondo kwa magari madogo (mchomoko) ni sh 4,000/=.Kwa kawaida ni mwendo wa dk ngapi?
Maneno huumba."Ahadi aliyojiahidi imetimia, katika kauli zake aliwahi kusema
"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".
❎3-6 hours
✅Dk 40
Sasa hivi Kakonko - Kibondo ni lami.Yaani huko usafiri wa chap ni probox tu, barabara yenyewe sasa masika madimbwi, kiangazi vumbi jekunduu ajali ni kugusa tu
Na maneno pia yana nguvu! Anachokiongea mtu mara kwa mara huishia kuratibu yatakayotokea maishani mwake.Miaka ya 2000 Mwanzoni, Urambo Tabora, kuna jamaa alikuwa akiendesha gari ya Halmashauri, mkonga. Alikuwa na mwendo usio wa kawaida. Alikuwa akisema siku mkisikia nimepata ajali, basi mtenge tu msiba.
Na kweli, ajali iliyomkuta, humtazami mara mbili. Alikua akiitwa Chonza kama sijamsahau jina.
Kuna wengine ni wagonjwa wa akili na wana leseni za udereva.
🤣😀Kauli zinaumba
Hii ya kwangu ya kuwa tajiri ndo imegoma
Bora kufika kwa kuchelewa kuliko kuwahi na kuishia njiani.Mimi nikiwa kwenye gari zinazoendeshwa na madereva kama hawa napiga kelele kweli kweli. Mara kadhaa nimegombana na madereva wa aina hii na kuna siku nimeshuka na kusubiri gari nyingine.
Siyo kuna mda, bali mara nyingi huwa hivyo. Labda kama hakusema vya kutosha hadi taarifa hiyo izame kwenye subconscious mind. Taarifa yoyote inayoofikia subconscious mind, iwe nzuri au mbaya, kiyakachofuatia ni utekelezaji.Sema kuna mda maneno hua yanatimia mimi kuna mwanangu alisemaaga yeye hataki ushahidi siku ya mbanga watu walimtoa vipande vya nyama na beleshi