Hii mambo ya mheshimiwa ndiyo imetufikisha hapo, kuna watu kuitwa waheshimiwa kumewafanya wajione ni Miungu watuMh, Mbunge wa Nzega HAMIS KIGWANGALA Leo 23-5-2023 anatuhumiwa kumpiga Risasi na kumjeruhi Kijana Anayefahamika kwa jina la SAID OMARY ambaye ni mfanyakazi wake na kupelekea kumjeruhi vibaya sana Miguuni na sehemu Mbalimbali za mwili wake Katika eneo la NHUNGUMALWA Kwimba Eneo ambalo Mh Hamis Kigwangala amekodi kiwanda cha Pamba(Cotton Ginnery)
Sio bongo mzee baba hiyo labda kwa sisi wananchi wa kawaida. Ntahama tu hii nchiatakoma na uhuni wake, anaenda kula mvua za kutosha na kupelekewa moto😂 madhara ya ku-overreact
Watu banaa eti alikua anapenda sanaa wali kwahio aliacha masomo akafata wali sehemu😁😁😁😁Hamis Kigwangalla amekuwa kichaa kabisa. Nakumbuka akiwa Rais wa wanafunzi pale Muhimbili, alikuwa na akili safi sana, licha ya kwamba alikuwa anapenda sana wali, kiasi cha kuhatarisha masomo yake, aisee
huyo mshamba sio muhuni😂😂😂 muhuni analipa deni japo nusu ila hamalizi lote.Unaona Sasa?nilisema naogopa wahuni Mimi!umeamini maneno yangu,Jambo la mazungumzo muhuni anafyatu risasi National Anthem Extrovert mshamba_hachekwi
watu wenye power wana mifumo mingi.... hawakamatikiSio bongo mzee baba hiyo labda kwa sisi wananchi wa kawaida. Ntahama tu hii nchi
Hiyo power ni hapa bongo tu fanya hilo tukio huko duniani uone hiyo mifumo Kama ipowatu wenye power wana mifumo mingi.... hawakamatiki
Japo mshamba_hachekwi Lakini 😆huyo mshamba sio muhuni😂😂😂 muhuni analipa deni japo nusu ila hamalizi lote.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kingwa ni pumbaf sana, aliiba cheti sio chake, inafaa Jamhuri iingilie kati hili tukio, lifike mahakamani, alafu anyongwe hadi kufa, kile kichwa chake kikubwa ila akili hana, pumbaf huyu, anyongwee, anyongwee
amemaliza PhD Swesen?Yaani doc, nimesikitika sana, umeshindwaje kudhibiti hasira zako hadharani?
Kwanini uwe gumzo kwa migogoro na wafanyakazi wako, hasa kwenye kuwanyima haki zao?
Haya yetu macho
Kwani Hosteli kulikataliwa kutumia rice cooker?!!!Alikuwa mlafi tu, ma rice cooker yalikuwa idealised, yeye rais wa chuo anapika wali, na anaishi na mdogo wake ambaye sio mwanachuo Muhimbili. Mdogo wake alikuwa akisoma CBE
hao vichaaUnaona Sasa?nilisema naogopa wahuni Mimi!umeamini maneno yangu,Jambo la mazungumzo muhuni anafyatu risasi National Anthem Extrovert mshamba_hachekwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamis Kigwangalla amekuwa kichaa kabisa. Nakumbuka akiwa Rais wa wanafunzi pale Muhimbili, alikuwa na akili safi sana, licha ya kwamba alikuwa anapenda sana wali, kiasi cha kuhatarisha masomo yake, aisee
Maelezo ya upande mmoja
Em leteni habari kamili...Kingwangala kazingua, kaua mtu huko Kwimba, polisi wanaficha.