Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Si ndo hapo lol

Au waende gym kusweat kidogo kutasaidia

Kwan huyo domo alibakwa?eboohhh
Wadada wengi wa kibongo tuna roho dhaifu za husda mnoo!

Wao wenyewe wengine ukute ni michepuko tu [emoji57] [emoji57] [emoji57] wanakeraa
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] team tukinao wapo?!!!
Wapambane na hali zao!
Yes

Ukipatwa ukazalishwa then mwanaume akacheat pambana na alokuzalisha(in this case domo)

Hamisa hajawahi kuwa kwenye so called committed relationship na marina,but domo?ryt ?

So apambane na domo

Ama wanataka kusema hamisa alimbaka domo?nope

Au alikuwa na mahusiano ya kimapenz na zari?nope

So give that girl a break

Yamenikuta haya personally,i know
Nilikomaa na baba wa mtoto wangu,nikampiga chini ilhal nampenda

Bt baada ya 2 years mwenyewe kajirud
Kamwe sikuwah pambana na mwanamke mwenzangu,kwan naye alitongozwa kama mm
 
Yes

Ukipatwa ukazalishwa then mwanaume akacheat pambana na alokuzalisha(in this case domo)

Hamisa hajawahi kuwa kwenye so called committed relationship na marina,but domo?ryt ?

So apambane na domo

Ama wanataka kusema hamisa alimbaka domo?nope

Au alikuwa na mahusiano ya kimapenz na zari?nope

So give that girl a break

Yamenikuta haya personally,i know
Nilikomaa na baba wa mtoto wangu,nikampiga chini ilhal nampenda

Bt baada ya 2 years mwenyewe kajirud
Kamwe sikuwah pambana na mwanamke mwenzangu,kwan naye alitongozwa kama mm
Na ndivyo ilivyo wanaacha kumbana diamond kutwaa hamisa
Ndo maana nasema tatizo ni hamisa wengi wamechukia mnoo yaani wabongo hatupendani haswaa wao kwa nini wasikomae na baba mtoto wao!!

Watz sijui tukoje baadhi yetu
 
Hamisa angekuwa mkenya ama mnigeria mwenye watoto wa4 na baba mwingine,halafu azae na domo wabongo wangempongeza sana,hahahahah

Wangesema ana akil,smart,ana hela na kila sifa angepewa.
Hawa ndo wabongo ,hadi aibu kujitambulisha kama mtz kwa mataifa mengine.
Huwajui wabongo kwa roho mbaya! Hawapendi kumuona mwenzao anapiga hatua
 
Dada etu.. Ana bahati ya kuzaa na wenye vijisent.
Tatizo Dada etu. Mshauri wake mange.
Angekuwa Ana mkimbiza mwizi taratibu.
Kwa majay yupo. Kwa diamond yupo. Anakula huku na huku.
Watoto ndo ngao yake.
Siku akimwambia diamond Dylan anaumwa njoo nyumbani. Diamond atakataa?
Akija diamond anampa penzi Zito. Unafikiri diamond atamkumbuka zari?
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] akampa penzi zito!!juzi Hyatt regency walikua wote!!!
Diamond na Hamisa wanajuana wenyewe hawa watoka mapovu ndo shida
 
Na ndivyo ilivyo wanaacha kumbana diamond kutwaa hamisa
Ndo maana nasema tatizo ni hamisa wengi wamechukia mnoo yaani wabongo hatupendani haswaa wao kwa nini wasikomae na baba mtoto wao!!

Watz sijui tukoje baadhi yetu
Elimu elimu elimu

Jamen pambanen na hali zenu,wewe Dada nanihii,kaka nanihii pale unajidai loya kumbe kapuku tu na misukule yote inayokesha jf wakimtusi hamisa wakati wanaishi kwa mtogole
 
Huwajui wabongo kwa roho mbaya! Hawapendi kumuona mwenzao anapiga hatua
Umaskin ndo tatizo

Wakiona hata una kavitz roho zinataka watoka pathetic

Badiliken washamba na malimbuken wa kushobokea watu ambao hawana hata time na nyie ,team ...
 
Wanatamani wabadilishe ukweli dully asiwe baba wa mond ila ndiyo haiwezekani
Tena katoa copyy shoga angu mpk raha loooh!na baba kaclaim pablikali kua mwana wa kwake[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] acha nimtukane hamisa!
 
Elimu elimu elimu

Jamen pambanen na hali zenu,wewe Dada nanihii,kaka nanihii pale unajidai loya kumbe kapuku tu na misukule yote inayokesha jf wakimtusi hamisa wakati wanaishi kwa mtogole
[emoji2] [emoji2] shoga ht sie wa kwamtogole tumeelimika wao tu na nyoyo zao zao dhaifuu
 
Umaskin ndo tatizo

Wakiona hata una kavitz roho zinataka watoka pathetic

Badiliken washamba na malimbuken wa kushobokea watu ambao hawana hata time na nyie ,team ...
Umaskini wa akili huu!ndo mbaya
 
Ninachojua tu ni kwamba kwa Mwanaume / Mzazi mwenye akili, anayejitambua na mwenye maadili ya Kutukuka hawezi kukubali kuacha Mtoto wake alelewe na Hamisa Mobeto. Hamisa Mobeto ni Kielelezo tosha cha Mabinti / Wanawake hopeless wanaopatikana sana Kusini mwa Jangwa la Sahara ambao uwezo wao wa Kufikiri unaishia tu Kitandani, katika Dressing table na Bafuni.
Mkuu huko kote mbali...... Ni hivi mwanaume mwenye akili na maadili huwezi kuzaa na yule binti wa hovyo hovyo kabisa
 
Mkuu huko kote mbali...... Ni hivi mwanaume mwenye akili na maadili huwezi kuzaa na yule binti wa hovyo hovyo kabisa
Ila anaweza zaa na single Maza zari mwenye watoto wa4 wakubwa tu

Achen ushamba

Badiliken

Nenden shule
Safirin nje ya nchi mpate exposure

Kalagjabaho
 
Nyepesi nyepesi zinazoenea chinichini Hamisa amepokonywa mtoto wake wa kike na mzazi mwenzake. Japo Hamisa anadai mtoto huyo hajapokonywa Wala nini bali kachukuliwa mara moja na mzazi mwenzie.

View attachment 627836
Sheria za mitandaoni haziruhusu watoto wadogo kutolewa picha zao mitandaoni,unaweza kushtakiwa kwa kosa kama hili na sijui idhini umeipata wapi,uongozi wa JF walitakiwa kutoruhusu picha hii kuwekwa kwenye mtandao
 
Back
Top Bottom