Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Wamegwaya walitaka atoke na kivurande wamtukaneee wamuite cheap Malaya,wampe mifano ya kinabosslady,Mara veepesa n.k...yeye kabutua kombolela mpk Us ndo wameshangaaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamissa kawachefua wanaume, yaan wanatapika km wana mimba changa, mbavu zangu mie uwiiiiiih lol
 
Ana balaa la albadiri ya sheikh mwinyimkuu kuteketeza ukoo mzim[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!wanajutaaa....wale wa ukoo umejaa kama nawaona!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] had chawa mkuu mama levo kawa mdogo km priton, uwiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vunja bei huko insta anapagawa hatareeeh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[mention]warumi [/mention] ndugu yetu huyu ametangulia mbele za haki,sijui angekuwepo hii habari angeileta kwa mbwembwe kisi gani[emoji23][emoji23]

nadhani ingeletwa na msafara wa matarumbeta[emoji1490][emoji1490]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan angewakomesha domo team na vile alikua hawapendi lol.
 
Hainihusu sihusiki nao maana hawanipi Hata buku Wana faida gani kwangu |QUOTE]Yani niache kudeal na matatizo yangu nifuatilie maisha ya kahaba anaejigeuzageuza mbele ya shedede la ricky [emoji1787][emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, uwiiiiih
 
Rickross atapiga tu na kusepa, juzi tu fally pupa alisepa demu alikuwa anajilengesha wazi wazi yaani haoni aibu kabisaa anaganda wanaume vibaya mno umasikin mbaya sana
Hana alichobaki nacho ...kete yake ya mwisho ni kuhakikisha mbususu inamtoa. Yeye anaona hayo ni mafanikio makubwa!! Mambo ya aibu haya! aisee ujinga kweli ni gharama.
 
Bas missa ndo anacheza ktk jumba hilo, just imagine? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…