Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Bibi sandra [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] atasemaje
 
Vee money alivokua na rotimi walimsifia sana na kumpa pole jux...Leo missa wanamuona kahabaa...!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwani anatumia zenuu?!!!muacheni kama kudanga rahisi dangeni na ninyi baasi!
Wengine wanaume wanamuonea wivu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]toeni vyeo kama wale wakaka walilotea koneksheni mjini kama rahisi baasi!![emoji16][emoji16][emoji16]
Hata mwanzoni walijua rotimi anaonja tu ila walipofikia kuzaa ndo kila mtu anasifiaa
Wamuache missa ...na ingekuwa kudanga rik asingempost angepiga kimya tu.
Na ukiangalia uso na tabasamu la Rick ni kwamba anamaanisha kabisaa
Mwili kinandaaaaaa
 
Hata mwanzoni walijua rotimi anaonja tu ila walipofikia kuzaa ndo kila mtu anasifiaa
Wamuache missa ...na ingekuwa kudanga rik asingempost angepiga kimya tu.
Na ukiangalia uso na tabasamu la Rick ni kwamba anamaanisha kabisaa
Mwili kinandaaaaaa
Ndo inawaumaaa!kamati ya roho mbaya..
Na wakizeeka watakua wangaaa!
 
OG au mataputapu mkuu???

Unadhani mna kitu cha ziada humo,ni vile wanaume tunajikuta ameshaingia kwenye angle zako inabidi utembee na bit zake ila hakunaga tofauti yoyote.
Huyo ni single mother mara mbili. Mwanamke hana mume na ana watoto wawili Kila mmoja na baba yake, wa Nini huyo Malaya tuu.
 
Heshima aliyokuwa anaidai kwa Whozu eti yeye ni mama imeishia wapi kwa vids kama hizi? Bora angefanyia chumbani plus mbususu siyo tight kihivyo baada ya vishingo viwili kupita kwenye shimo.
Yaan whozu alikuwa anapita kwenye radio na kumkashfu utalinganisha na maisha ya mtu binafsi kimapenzi?
Sasa hapo misa yupo uchi mpk useme hamna heshima?
 
Vee money alivokua na rotimi walimsifia sana na kumpa pole jux...Leo missa wanamuona kahabaa...!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwani anatumia zenuu?!!!muacheni kama kudanga rahisi dangeni na ninyi baasi!
Wengine wanaume wanamuonea wivu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]toeni vyeo kama wale wakaka walilotea koneksheni mjini kama rahisi baasi!![emoji16][emoji16][emoji16]
Tatizo wabongo wakikuona ulikuwa fukara halafu paaap ukaanza kuinuka wanakuzodoa
Maisha ya sasa hata madada zao wanaanza kufunuana ndio wanapata mume
Sasa mtu yupo single why amkate kisa waja wataongea
Wanakera
 
Tatizo wabongo wakikuona ulikuwa fukara halafu paaap ukaanza kuinuka wanakuzodoa
Maisha ya sasa hata madada zao wanaanza kufunuana ndio wanapata mume
Sasa mtu yupo single why amkate kisa waja wataongea
Wanakera
Wabongo tuna roho mbaya sana!humu wengine mpk Leo ukute hawanà ndoa wanaziniwa tu kama wengine!Ila hapa wao ndo wagawa dhambi!
 
Back
Top Bottom