min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ku share kwenye mitandao maana yake karuhusu kufuatiliwaWabongo kwa kufuatilia mambo ya watu hamjamboš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ku share kwenye mitandao maana yake karuhusu kufuatiliwaWabongo kwa kufuatilia mambo ya watu hamjamboš¤£
Sijakataa ila sio type hizi za wadangaji.Hapana performance ndo itaongezeka akiwa na mke
Kila la kheri kwao Ila jamani Azizi Ki alikwepo kwenye kikao chetu cha mwisho jamani juu ya single mothersMuigizaji Hamisa na mchezaji wa soka Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai, wakitumia hashtag #MissaKi2025.
Hili linakuja wiki chache baada ya Mobetto kumtambulisha Aziz Ki, MVP wa msimu uliopita Ligi Kuu ya NBC.
Soma, Pia: Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga
View attachment 3230711
View attachment 3230710
ki aziz trhe 8 gemu na simba lazma amfunge diara ndipo watazindukaHuyu Yanga wamuuze tu maana huyu mdangaji atampiga na kitu kizito na kuharibu performance yake uwanjani.
Kinyume chake kitakuwaje siku wakipanguanaMuigizaji Hamisa na mchezaji wa soka Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai, wakitumia hashtag #MissaKi2025.
Hili linakuja wiki chache baada ya Mobetto kumtambulisha Aziz Ki, MVP wa msimu uliopita Ligi Kuu ya NBC.
Soma, Pia: Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga
View attachment 3230711
View attachment 3230710
Kinyume chake kitakuwaje siku wakipanguanaMuigizaji Hamisa na mchezaji wa soka Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai, wakitumia hashtag #MissaKi2025.
Hili linakuja wiki chache baada ya Mobetto kumtambulisha Aziz Ki, MVP wa msimu uliopita Ligi Kuu ya NBC.
Soma, Pia: Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga
View attachment 3230711
View attachment 3230710
Oyaa wewe unafuatilia mambo ya majini nn?Wabongo kwa kufuatilia mambo ya watu hamjamboš¤£
Kuna faid gani mnapata kufuatilia hao watu ?Ku share kwenye mitandao maana yake karuhusu kufuatiliwa
Me sifuatilii mambo ambayo hayana faida yoyote kwanguOyaa wewe unafuatilia mambo ya majini nn?
Yaani humu JF wanavyokandia single maza, utadhani ndo walimuumba shetani,Wafunge tu, mapenzi hayajaumbwa kwa ajili ya mbuzi tu hata binadamu Wana haki piaā¤ļø
Maneno tuu hayoMe sifuatilii mambo ambayo hayana faida yoyote kwangu
Hapo atatakiwa kuwasomesha hao malaika.Mwamba anaanza game akiwa chini bao mbili bila. Dah, wanangu kataeni ndoa ni utapeli tu
Sema Burkina Faso mkuu.Haha. Mshahara unakwenda ivory Coast kwa akaunti hii ;
Unarudi Tanzania kwa akaunti nyingine.
Good.
Aulizwe yeye anaposti ili watu wamfuatilie anapata faida gani na hao watu wanapata faida gani?Kuna faid gani mnapata kufuatilia hao watu ?
Mbona Deutschland walitutawala mkuu? Ila sema si miaka mingi kama walivyo tu tawala WaingerezaBora tungetawaliwa na mjerumani sijui, waingereza wameturithisha tabia ya umbea... Hadi kwemye soka, vilabu vyetu vya moto, timu ya taifa ni kifo cha mende
Ungekuwa maarufu hao watoto wabichi unknown ungeona hawakufaiKitu kinanishangaza, hawa watu maaruf hawana wivu, kama ningekua maaruf, ningetafuta mtoto mbichi, unknown to people tukatulia.
Hawa jamaa wananishangaza sana.
Mbona Deutschland walitutawala mkuu? Ila sema si miaka mingi kama walivyo tu tawala Waingereza