Hamisa Mobetto ndiye mrembo anayetikisa kwa sasa

Umeniangusha kweli ww mnyalukolo....
hujui vitu vizuri weye....
vitu mma
 
Atamzidi Irene uwoya au Zari ana watoto 5 zari ila ukimuona ni kama huwa haendi chooni
 
"uzuri na urembo upo ndani kwa nje mnajiongopea"

voice of fareed
 
Wabongo bwana Kazi mnayo
Utakuta mijitu inakaa ofisini, saloon, vijiweni
Wanawajadili Hawa watu

Ova
 
Wabongo bwana Kazi mnayo
Utakuta mijitu inakaa ofisini, saloon, vijiweni
Wanawajadili Hawa watu

Ova

Sasa wewe umefuata nn ? Nyoo umbea tu mbwa wewe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah ustar mzgo mkubwa ukiishi ndan ya uhalisia unaishia Kama kina bambo husikiki
Picha uliyoweka imepigwa msasa sana,sina uhakika kama ana huo uhalisia

Kuna yule Lyn alishaedit picha hadi kitovu kikapotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…