Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Huyu nahisi ana shida huenda hana ladha...


Yaani huwa hakai na wanaume kabisa sidhani hata kama kawahi kumaliza mwaka na mwanaume wanasepa....
 
Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Sure sijui ni uzuri wa nje tu, ndani hamna kitu....
 
Anasema khsu range ambalo linasemekana amelipata kwa Achimw** watu hawataki kukubali kuwa ni mala wanakalia kwenye kivuli cha ni ya kwake acha aitembeze,
Sasa wewe unayejua mbona husemi? Huyo Achimw ndio nani? Weka mambo mezani.
 
🤣🤣🤣🤣🤣team tununu huwa mnafurahisha sana mnavyomtetea. Hata kwa chai jaba mlikua mnasema hivyo hivyo mara wanapenda kuliko wanawake wote wa chai mwisho wa siku hata mtoto hatambuliki tandale daah. Tununu yupo kibiashara zaidi.

Alipo hojiwa kuhusu hayo mahusiano akabadili na sauti akisema ubusy umechangia. Anaiga visingizio vya watoto wa seoul kutwa kuachana wakisingizia ubusy
Kwa Kevin walifika mbali jamani, walikuwa na malengo ila jini mkata kamba akaingia.
 
Mkuu gazeti lote hili umeandika wala halina maana, ungelikuwa umewahi kutoka nae ndio ungeeleweka achana na hizi nadharia za kutunga.
 
Amen.
 
Huyu nahisi ana shida huenda hana ladha...


Yaani huwa hakai na wanaume kabisa sidhani hata kama kawahi kumaliza mwaka na mwanaume wanasepa....
Binadamu bwana, kwani mastar wenzie wa kike tena wakubwa kuliko yeye mbona hawadumu na wanaume?
 
Ujue Hamisa kwa aina ya maisha yake ndiyo inayoleta shida wanaume kuweka makazi. Lakini muhimu ana maisha yake basi, kuolewa majaaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…