Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Ni kweli hayadumu..afu anayaanika kuwakomesha sjui ma y zake au Lah sijui,,akishayaanika tu basi kwishney bab G

Napita tu
 
Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Kuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k

Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho 🙌
 
Ni kweli afu anayaanika kuwakomesha sjui ma y zake au Lah sijui,,akishayaanika tu basi kwishney bab G

Napita tu
Shida Hana akili, sijui anajikuta nani.....

Anayaanika kwa sababu anajiamini sana, anaamini mwanaume anaweza kumuacha mkewe kwa ajili yake, kitu ambacho hakipo🤣🤣🤣

Mtu single mother wa watoto wawili, halafu ukipata husiano unataka ulitangaze, unaishia kusababisha tafran.....Kwani angeliwa kimya kimya angepungua nini?
 
sasa ulitaka kigogo asile raha yadunia..??😂
ila ile nyamnyam imetengenezwa maana picha zake za awali nasasa vitu mbili tofauti!..
huku mtaani vipo vitu natural nyamnyam sijui kwanini watu wanahangaika nakuku wakisasa!
Ukizoea kuku wa kienyeji hawa wakisasa utakua unaona unaibiwa tu,,wakisasa wazuri kuuza nao sura tu ila nyama tamu ya kuku wa kienyeji
 
Bora kubanana na wazee kuliko kuwa na bilionea anayetoa 120k🤣🤣🤣
Hiyo ni Sawa na kutoa bure, bilionea anaanzia kuhonga raaange huko🤣
Wazee wenzangu akina ERoni oneni nilivyosimama kutetea Uzee wetu

Sasa tuongezeni viwango vya kutoa Posho, huyu Mhindi lazima tumshinde hii Vita vya kutubebea Warembo wetu 🤗

Kumbukeni viwango vya Pension, Mama ameongeza Mwaka huu 😜
 
sasa ulitaka kigogo asile raha yadunia..??😂
ila ile nyamnyam imetengenezwa maana picha zake za awali nasasa vitu mbili tofauti!..
huku mtaani vipo vitu natural nyamnyam sijui kwanini watu wanahangaika nakuku wakisasa!
Usichokila usikitilie hila, hilohilo la kutengenezwa wenzio wanahonga Range Rover Velar.
 
Tununu ana nyota ya kutumika tu. Si wapo dini moja amuoe tu kama mke wa pili japo jamaa ataporomoka sana kiuchumi,tununu hana akili za uwekezaji bali kutumia kukomeshea waja
We utakuwa team Zari lazima 😂😂

Hakuna cha ndoa wala nini, wataachana muda sio mrefu Kigogo hawezi kumuudhi boss wake shemeji.
 
Back
Top Bottom