Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hayadumu..afu anayaanika kuwakomesha sjui ma y zake au Lah sijui,,akishayaanika tu basi kwishney bab GMhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Kuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120kMhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Shida Hana akili, sijui anajikuta nani.....Ni kweli afu anayaanika kuwakomesha sjui ma y zake au Lah sijui,,akishayaanika tu basi kwishney bab G
Napita tu
Nipo hapaNa mimi Guede nampataje?😥
Ukizoea kuku wa kienyeji hawa wakisasa utakua unaona unaibiwa tu,,wakisasa wazuri kuuza nao sura tu ila nyama tamu ya kuku wa kienyejisasa ulitaka kigogo asile raha yadunia..??😂
ila ile nyamnyam imetengenezwa maana picha zake za awali nasasa vitu mbili tofauti!..
huku mtaani vipo vitu natural nyamnyam sijui kwanini watu wanahangaika nakuku wakisasa!
Muhindi kiboko, 120? Ndo maana hafilisiki kumbe...Kuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k
Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho 🙌
Nani amuwekee kikao, tumebaki kuviziana tu akienda na 120k zake Wazee tunaongeza kiasi hadi 150kMuhindi kiboko, 120? Ndo maana hafilisiki kumbe...
Ila wazee muwekeni kikao kijana wenu, 120k haitoshi jamani🤣
Bora kubanana na wazee kuliko kuwa na bilionea anayetoa 120k🤣🤣🤣Nani amuwekee kikao, tumebaki kuviziana tu akienda na 120k zake Wazee tunaongeza kiasi hadi 150k
Mwisho wa Siku Wazee tunashinda pambano 😜
Nlijua kigogo msomali alibebwa na chaji zilizomo kichwani plus commitment yake katika kusimamia jambo kumbe kuna namna nyingine msomali na Myemen wanalinkMke wa Kigogo ni dada wa anayetajwa kama mfadhili wa taasisi ya anakofanyia shughuli zake Kigogo
Wazee wenzangu akina ERoni oneni nilivyosimama kutetea Uzee wetuBora kubanana na wazee kuliko kuwa na bilionea anayetoa 120k🤣🤣🤣
Hiyo ni Sawa na kutoa bure, bilionea anaanzia kuhonga raaange huko🤣
Usichokila usikitilie hila, hilohilo la kutengenezwa wenzio wanahonga Range Rover Velar.sasa ulitaka kigogo asile raha yadunia..??😂
ila ile nyamnyam imetengenezwa maana picha zake za awali nasasa vitu mbili tofauti!..
huku mtaani vipo vitu natural nyamnyam sijui kwanini watu wanahangaika nakuku wakisasa!
We utakuwa team Zari lazima 😂😂Tununu ana nyota ya kutumika tu. Si wapo dini moja amuoe tu kama mke wa pili japo jamaa ataporomoka sana kiuchumi,tununu hana akili za uwekezaji bali kutumia kukomeshea waja