Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa kuchelewa kujua, hiyo link ndio maana mfadhili kampa kitengo kabisa hana wasiwasi na shemeji.Nlijua kigogo msomali alibebwa na chaji zilizomo kichwani plus commitment yake katika kusimamia jambo kumbe kuna namna nyingine msomali na Myemen wanalink
Acha tamaa wewe mwanamke. We si unaye ndugu yetu Lucas Mwashambwa sasa guede wa nini? 😀😃😄😁😆 We hadhi yako ni chawa wa Makonda ndugu Lucas. Hata hivyo wanawake mna huruma na mna pepo yenu. Kwahiyo sister umefika kwa Lucas? Dah😀😃😄😁Na mimi Guede nampataje?😥
Ndio maana u maskini. Unaendekeza umalaya na kuhonga bila sababu.Kuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k
Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho 🙌
Jihan hata mimi namkubali, Chibu alitaka kujiweka dada wa watu akashindwa ule uswahili wao.Other factors remain constant 😁😁😁
Hata hivyo namuelewa sana jihan maana ni mrembo sana na yupo low profile. Very classic kuliko celebrities wengi tulionao
Mwingine ni Nicole Joeberry, nina uhakika hii mama inaingiza dollars nyingi sana kuanzia ndani hadi kimataifa na haina kelele sana
Sasa huyo H Si muuza mbunye tu wa taifa.....Ila imeniuma sana, kumbe wakati sisi wanazi wa Yanga tunalala na viatu kwa machungu ya goli la Aziz Ki kukataliwa kumbe Kigogo wetu alikuwa anapeana raha na Hamisa?
Nimelia sana.
UTANIELEWA KAMA MAHANDISHI YA WAMISRI KIPINDI CHA MAFARAO.We shetani bwana mambo yako, hata hueleweki!
Hahaha...............Wazee tumechoka kunyanyaswa na Vijana 🤗Babu naona leo wazee mnajipakulia minyama tu!
Pengine Hamisa ana shida kichwani au ametupiwa kitu anapaswa kwenda kwa Mwamposa ni wazi ana mikosi😂😂😂. Shida ya Hamisa sio kupata mwanaume wa maaana shida ya Hamisa ni kumtunza to keep…..! Huyo kigogo atajipigia halafu atamtupa wengine watakamata! Hamisa anayoshida lazima amtafute Mwamposa au Gwajima😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Wala sio Muhindi mwaya, siku nikipata baraka za chanzo changu nitaruka nao.
Yani Hamisa nampenda jamani natamani apate wa kutulia nae ila ndio hivyo tena.
Ila kichwa chake kiko vizuri, maisha anayoishi sio madogo na rahisi. Hamisa ndio mwanamke ghali sasa hivi kuliko mastar wote wa kike, amejua na kuweza kujibrand.