Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari.....Mke wa Kigogo ni dada wa anayetajwa kama mfadhili wa taasisi ya anakofanyia shughuli zake Kigogo. Hilo linamuweka pabaya zaidi Kigogo kwani endapo akiendelea kutoka na mrembo huyo kimapenzi huwenda kibarua chake kikawa hatarini kwani mfadhili hatoweza kuvumilia kuona dada yake akinyanyasika juu ya penzi hilo la mumewe na
Atakua sio mtamu.....hana maajabuMhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Kungwi unayaweza khaaa.!! 🤣🤣🤣Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Sema wanawake wanaanzaga mbio mapema sana unaweza kuta wakati unaanza kumjua alikuwa amekupita au umempita miaka 2 tuuHuyu demu nimeanza kumsikia miaka mingi sana na bado ana 29 tuu au alikuwa 10 nilipomsikia
Hizo pisi nyingine zina nini kumzidi? Kuanzia maisha, biashara na kila kitu.Ni pisi kali ila ndo hivyo tu hajabarikiwa ubongo nimemfatilia sana ila naona haupgrade kama pisi zingine, skendo nyingi
To be honest, ile pisi enzi zile ilikuwa ya moto balaa 🙌Nimecheka sana Babu, lols.
Kwahiyo katika pisi zake ile ndio uliikubali zaidi?
Na unajua wengi humu hawajui kwamba Aziz ki kampachika mtu kibendi...😊Anajua kila kitu ni staged, wanalea kija wao wala hana tatizo.
Hasa ukiwaona wanaitana kaka na dada tu ujue wako kibiashara hapo.Manara kazi yake ni kuwauza mastaa, hapo keshakula chake hana habari tena, jamaa dalali flani fala hivi
Babu umeanza lini kupenda vipotabo 🤣🤣🤣To be honest, ile pisi enzi zile ilikuwa ya moto balaa 🙌
Pamoja na kwamba mchagua jembe sio mkulima, ila kusema kweli vipotabo vina nafasi yao Kwa Wazee 🤗
Amefanya niwe nairudia kucheza video yake mara nyingi ili niendelee kula Kwa macho 🙌
Mliamua tu wenyewe kujitesa.....😂😂😂Ila imeniuma sana, kumbe wakati sisi wanazi wa Yanga tunalala na viatu kwa machungu ya goli la Aziz Ki kukataliwa kumbe Kigogo wetu alikuwa anapeana raha na Hamisa?
Nimelia sana.
Ewaa 😅
Nimewapigia simu nimeona wamekubaliana na hoja yangu ya kuongeza kifuta Jasho
Kuhusu kiwango, Wamesema ngoja Mwaka mpya wa fedha uanze Julai Mwaka huu 😜