Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
We hujui tu kwanini Wazee tunapenda vipotaboBabu umeanza lini kupenda vipotabo 🤣🤣🤣
Usifanye Bibi yako aninyang'anye simu Kwa kuanza kusema Siri iliyojificha Kwa hao watu 😜🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hujui tu kwanini Wazee tunapenda vipotaboBabu umeanza lini kupenda vipotabo 🤣🤣🤣
Mbona wa kawaida sana kimaendeleo hizo media trends sjui magari ndo mambo yake. Ila nakwambia ukifatilia vzr hana hela kivile ni vile tu upepo wa kudangadanga unambeba. She's a gold digger na lazma ataishia kutumika tu, hana u hustlerHizo pisi nyingine zina nini kumzidi? Kuanzia maisha, biashara na kila kitu.
Ni mwanamke gani star bongo ana gari kali kumzidi Hamisa?
Babu Mungu akupe maisha marefu unanifurahisha sana.To be honest, ile pisi enzi zile ilikuwa ya moto balaa 🙌
Pamoja na kwamba mchagua jembe sio mkulima, ila kusema kweli vipotabo vina nafasi yao Kwa Wazee 🤗
Amefanya niwe nairudia kucheza video yake mara nyingi ili niendelee kula Kwa macho 🙌
Hahaha ...........nimeona Mjukuu, done 🤗Jibu pm yangu kabla hamisa hajakutafuta babu 😹
Utakuta bro ako ni mseminary bana, 😹😹😹 sa mbona anaachika tu kila siku ana shida gani??? Yani kama dida tu....dida inaeza kua na uzito wa sura unachangia sasa hamisa kwanini anaachika achika.Nilijua tu ukija moto utawaka.
Hivi ujue Hamisa amewahi kutoka na bro angu? Anakwambia sio mchezo mambo anayaweza shoga.
Anasema anyday, anytime anatamani kupata one more night naye.
Ngoja nipunguze haraka na maisha mji una wenyewe huuPole kwa kuchelewa kujua, hiyo link ndio maana mfadhili kampa kitengo kabisa hana wasiwasi na shemeji.
dah jamaa alivyo muungwana mbona dah..sema misa katoto kamekaa unyenye sana. nakatamani kweliIla imeniuma sana, kumbe wakati sisi wanazi wa Yanga tunalala na viatu kwa machungu ya goli la Aziz Ki kukataliwa kumbe Kigogo wetu alikuwa anapeana raha na Hamisa?
Nimelia sana.
Ni siri gani hiyo babu? Mkweo ananipa wakati mgumu kwa kunisifu nikiwa kipotabo hadi diet imegeuka sehemu ya maisha yangu!We hujui tu kwanini Wazee tunapenda vipotabo
Usifanye Bibi yako aninyang'anye simu Kwa kuanza kusema Siri iliyojificha Kwa hao watu 😜🙌
Okay, taja hao wenzie wenye akili na mambo ya maana waliyoyafanya.Mbona wa kawaida sana kimaendeleo hizo media trends sjui magari ndo mambo yake. Ila nakwambia ukifatilia vzr hana hela kivile ni vile tu upepo wa kudangadanga unambeba. She's a gold digger na lazma ataishia kutumika tu, hana u hustler
Amen Mjukuu 🙏🙏Babu Mungu akupe maisha marefu unanifurahisha sana.
Kwahiyo kumbe ile video ‘inakuliwaza’? Mi ninachompendea yule dada ana uzungu flani hivi, mjanja na yukogo mbele ya muda kwa mengi hasa fashion.
kienyeji kuna sehemu wanagota.sasa ulitaka kigogo asile raha yadunia..??😂
ila ile nyamnyam imetengenezwa maana picha zake za awali nasasa vitu mbili tofauti!..
huku mtaani vipo vitu natural nyamnyam sijui kwanini watu wanahangaika nakuku wakisasa!
Eve hutokaa uuone mlango wa mbinguni, nimecheka mno!Utakuta bro ako ni mseminary bana, 😹😹😹 sa mbona anaachika tu kila siku ana shida gani??? Yani kama dida tu....dida inaeza kua na uzito wa sura unachangia sasa hamisa kwanini anaachika achika.
Nikupe heshima ya Fabrizio Romano au David Ornstein wa udaku wa Bongo Celebrities.Kitambo sana, Mama aliposhika hatamu tu akamdaka.
Mara Moja Sio mbaya....Na uwe unahudhuria vikao kama hivi…