Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hizo pisi nyingine zina nini kumzidi? Kuanzia maisha, biashara na kila kitu.

Ni mwanamke gani star bongo ana gari kali kumzidi Hamisa?
Mbona wa kawaida sana kimaendeleo hizo media trends sjui magari ndo mambo yake. Ila nakwambia ukifatilia vzr hana hela kivile ni vile tu upepo wa kudangadanga unambeba. She's a gold digger na lazma ataishia kutumika tu, hana u hustler
 
To be honest, ile pisi enzi zile ilikuwa ya moto balaa 🙌

Pamoja na kwamba mchagua jembe sio mkulima, ila kusema kweli vipotabo vina nafasi yao Kwa Wazee 🤗

Amefanya niwe nairudia kucheza video yake mara nyingi ili niendelee kula Kwa macho 🙌
Babu Mungu akupe maisha marefu unanifurahisha sana.

Kwahiyo kumbe ile video ‘inakuliwaza’? Mi ninachompendea yule dada ana uzungu flani hivi, mjanja na yukogo mbele ya muda kwa mengi hasa fashion.
 
Nilijua tu ukija moto utawaka.

Hivi ujue Hamisa amewahi kutoka na bro angu? Anakwambia sio mchezo mambo anayaweza shoga.
Anasema anyday, anytime anatamani kupata one more night naye.
Utakuta bro ako ni mseminary bana, 😹😹😹 sa mbona anaachika tu kila siku ana shida gani??? Yani kama dida tu....dida inaeza kua na uzito wa sura unachangia sasa hamisa kwanini anaachika achika.
 
Ila imeniuma sana, kumbe wakati sisi wanazi wa Yanga tunalala na viatu kwa machungu ya goli la Aziz Ki kukataliwa kumbe Kigogo wetu alikuwa anapeana raha na Hamisa?
Nimelia sana.
dah jamaa alivyo muungwana mbona dah..sema misa katoto kamekaa unyenye sana. nakatamani kweli
 
We hujui tu kwanini Wazee tunapenda vipotabo

Usifanye Bibi yako aninyang'anye simu Kwa kuanza kusema Siri iliyojificha Kwa hao watu 😜🙌
Ni siri gani hiyo babu? Mkweo ananipa wakati mgumu kwa kunisifu nikiwa kipotabo hadi diet imegeuka sehemu ya maisha yangu!
 
Mbona wa kawaida sana kimaendeleo hizo media trends sjui magari ndo mambo yake. Ila nakwambia ukifatilia vzr hana hela kivile ni vile tu upepo wa kudangadanga unambeba. She's a gold digger na lazma ataishia kutumika tu, hana u hustler
Okay, taja hao wenzie wenye akili na mambo ya maana waliyoyafanya.
 
Babu Mungu akupe maisha marefu unanifurahisha sana.

Kwahiyo kumbe ile video ‘inakuliwaza’? Mi ninachompendea yule dada ana uzungu flani hivi, mjanja na yukogo mbele ya muda kwa mengi hasa fashion.
Amen Mjukuu 🙏🙏

Alijua kuji-brand ndiyo maana aliweza kudate Wazee wenye hela tu.

Pamoja na kuzeeka kwangu lakini bado jicho langu Lina uwezo wa ku-pick vitu vizuri

Aliyefuta mashindano ya Umisi ametunyima vitu vingi Wazee wenzie 🙌
 
sasa ulitaka kigogo asile raha yadunia..??😂
ila ile nyamnyam imetengenezwa maana picha zake za awali nasasa vitu mbili tofauti!..
huku mtaani vipo vitu natural nyamnyam sijui kwanini watu wanahangaika nakuku wakisasa!
kienyeji kuna sehemu wanagota.
kisasa washapitia Tibiesi
 
Utakuta bro ako ni mseminary bana, 😹😹😹 sa mbona anaachika tu kila siku ana shida gani??? Yani kama dida tu....dida inaeza kua na uzito wa sura unachangia sasa hamisa kwanini anaachika achika.
Eve hutokaa uuone mlango wa mbinguni, nimecheka mno!

Lakini tunajuaje labda ndio lifestyle yake hataki kugandana na mtu?
 
Back
Top Bottom