Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Kikubwa Yanga ifanye vizuri mengine ni ziadaIkiwa hivyo kuna ajabu gani Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa Yanga ifanye vizuri mengine ni ziadaIkiwa hivyo kuna ajabu gani Mkuu?
Wala sio Muhindi mwaya, siku nikipata baraka za chanzo changu nitaruka nao.Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Basi watoto wa elfu 2 watazidi kuwapenda wazeeEwaa 😅
Nimewapigia simu nimeona wamekubaliana na hoja yangu ya kuongeza kifuta Jasho
Kuhusu kiwango, Wamesema ngoja Mwaka mpya wa fedha uanze Julai Mwaka huu 😜
Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Other factors remain constant 😁😁😁Aaah jamani vibaya hivyo! Ina maana hadi Vee na Jihan ndio alikuwa akiwapa hizo?
warumi aliandika kwamba hata Mama wawili wa Mzee machache ndiyo kisa cha kudate naye na kuamua kuachana naye baada ya kuona anapewa hiko kifuta Jasho cha 120kAaah jamani vibaya hivyo! Ina maana hadi Vee na Jihan ndio alikuwa akiwapa hizo?
Wewe si chombo ya kijana mzalendo Mwashambwa? Hii comment yako itambubujisha machozi na kutetemeka.Na mimi Guede nampataje?😥
Hahaha............... Wazee uzuri wake huwa wepesi kuridhikaBasi watoto wa elfu 2 watazidi kuwapenda wazee
Kwani hili husiano katangaza wapi jamani? Mbona amehojiwa mara nyingi amekataa kabisa?Shida Hana akili, sijui anajikuta nani.....
Anayaanika kwa sababu anajiamini sana, anaamini mwanaume anaweza kumuacha mkewe kwa ajili yake, kitu ambacho hakipo🤣🤣🤣
Mtu single mother wa watoto wawili, halafu ukipata husiano unataka ulitangaze, unaishia kusababisha tafran.....Kwani angeliwa kimya kimya angepungua nini?
Umefanikiwa kunifanya mtumwa Kwa Mada zako humu, maana Wazee bila kusoma Ubuyu wako Siku huwa ndefu sana Kwa kweliAsante babu, chanzo changu ilibidi kiingie kazini kije na taarifa kamili sio blahblah.
Imetuchukua wiki moja kukamilisha.