Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Manara??/Kazi kwenu, mi nimeshamaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara??/Kazi kwenu, mi nimeshamaliza.
Mkuu unampigia Mbuzi gitaa,huyo unayemshauri amechagua sifa za kidunia zaidi kusifia zinaa na kutaka mzinifu apewe maua yake na kombe,akifahamishwa anajifanya anajua majibu ya hovyo kwa watu,yote kutafuta sifa za kipumbavu eti kaonekane kajitu ka ubuyu,halafu ni kabibi sasa,umri umesonga ila akili imeganda.Tusomeni dini ndugu zangu waislamu, maisha ya dunia ni mafupi sana, why wasioane tu!
وَلَا تَقْرَبُوا الزِّنَا ۖ إِنَّهُ كَانَ فَاحِشَةً وَسَاءَ سَبِيلًا
Al-Isra' (The Journey by Night)
Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
Karibu wanaume wote tunapenda hizi mamboHabari unazozipenda!
........😀😀daah! sawa bibie! kwamba hawezi kuyumbisha taasisi, na zaidi ya yote yeye sio wa kwanza, ila tutaomba updates kwa kila litakalojiri siku za usoni......Wambea hawakosekani Mkuu, ila kushuka kwa taasisi hapana.
Kigogo yuko makini na sio kwamba huyo Hamisa ndio wa kwanza.
Iko hivyo mara zoteEh, jamani! Yamekuwa hayo tena?
Ww mbona umeyatia uvunguni, taja hao watu si mjuvi wwSasa wewe unayejua mbona husemi? Huyo Achimw ndio nani? Weka mambo mezani
😜😜😜😜Nipo aisee! Soon ntakuja na uzi mpya kule intelligence ili tuendelee kujifunza, ni muda sana umepita sijaandika uzi.Upo dada wa manifestation, nimemis nyuzi zako😊
Sema chibu roho itakuwa ilimuuma sana 😁😁 japo kwa upande wa Jihan inaonekana datings zake ni za watu wenye mulaa na anaishi low profile sana. Kwa hiyo kuwa na chibu isingemuongezea chochote zaidi ya useless fame. Mtoto wa Dimack 🔥🔥Endapo angekubali Chibu angetamba nae sana, ile ndio mali safi ya kutoka sio yule mwingine.
Nicole unaambiwa ule mtindi meneja ndio anajua raha yake, Lols.
Chibu angeharibu 'CV'.Sema chibu roho itakuwa ilimuuma sana 😁😁 japo kwa upande wa Jihan inaonekana datings zake ni za watu wenye mulaa na anaishi low profile sana. Kwa hiyo kuwa na chibu isingemuongezea chochote zaidi ya useless fame. Mtoto wa Dimack 🔥🔥
View attachment 3006605
Kwel ,nitafurah sana usisahau kunitag ukipost😜😜😜😜Nipo aisee! Soon ntakuja na uzi mpya kule intelligence ili tuendelee kujifunza, ni muda sana umepita sijaandika uzi.
Rick Ross na yule Mnaija kushnehi?View attachment 3005811
Mwanadada mrembo, mwanamuziki, muigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga.
Mwanadada huyo na kigogo wapo katika penzi la kificho kwa takribani mwezi wa pili sasa.
Penzi lilimea SA, Ubuntu Botho!
Wawili hao walikutana kwenye ndege wakati wa kuelekea kwenye mechi ya marudiano ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, CAFCL dhidi ya miamba ya Soka ya Afrika ya Kusini Mamelody Sundowns.
Kigogo huyo kijana mwenye haiba ya kitanashati na mwenye sifa kuu tatu wazipendazo zaidi wanawake kutoka kwa wanaume… tall, dark and handsome jina lake hutajwa kwa kutanguliwa na taaluma yake.
Inataarifiwa kwamba wawili hao walizama penzini punde tu walipokutana kwenye ndege, na hadi kutua S.A penzi lilishachipua!
Taarifa zaidi zinasema hata uwanjani walienda kwa gari moja, na walikaa jukwaa moja!
Aziz Ki atumika kuokoa jahazi!
Mwamba kutoka Ouagadougou, Stephen Aziz Ki anatajwa kutumika kuinusuru ndoa ya Kigogo huyo wa Yanga mara baada ya mkewe kushtukia mchezo.
Kama mnavyotujua wabongo huwa tunanyimana michongo ila sio umbea, taarifa zilimfikia mke wa Kigogo ambaye aling’aka na kupelekea ndoa kuwa rehani!
Mwamba Aziz ambaye anatajwa kama mchezaji pendwa zaidi na Kigogo huyo klabuni hapo, ilibidi atumike kutengeneza mapichapicha ya kumpoza mke wa Kigogo.
Ndio yale mliyoona mara wako pamoja wakitokea uwanja wa ndege, wakikumbatiana uwanjani na kwingineko yote yale ni maigizo, Ki hana mahusiano ya aina yoyote na Hamisa bali alitumika kumnusuru boss na mshkaji wake kuepuka dhahma kutoka kwa mke wake.
Penzi hatarini kuvunjika muda wowote!
Baada ya wambea kumsanua mke wa Kigogo, inasemekana wapenzi hao wako hatarini kuachana muda wowote kutokana na suala hilo kumkalia vibaya Kigogo.
Mke wa Kigogo ni dada wa anayetajwa kama mfadhili wa taasisi ya anakofanyia shughuli zake Kigogo. Hilo linamuweka pabaya zaidi Kigogo kwani endapo akiendelea kutoka na mrembo huyo kimapenzi huwenda kibarua chake kikawa hatarini kwani mfadhili hatoweza kuvumilia kuona dada yake akinyanyasika juu ya penzi hilo la mumewe na Hamisa.
Hamisa kiboko, sio mchezo!
Jamani Hamisa apewe kombe lake, ikishindikana basi hata maua maana anastahili. Ndani ya miaka hii mitatu ameshatoka na vigogo kutoka kwenye klabu zote 2 kubwa nchini, achilia mbali kuzaa na wanaume wawili maarufu na wamiliki wa redio 2 kubwa nchini!
Hapo kabla alianza kutoka na Kigogo kutokea Simba, japo penzi lao lilikuwa mithili ya upepo kwani halikudumu.
Lakini licha ya kutokudumu, penzi hilo lilitumika kama chambo kumpatia Mwijaku ajira Simba.
Chanzo changu nyeti kimesimamia show,
Nifah.
Rick sijawahi kuamini kama walikuwa wapenzi, ilikuwa biashara ile.Rick Ross na yule Mnaija kushnehi?
Hivi na huyu naye anasehemu za siri.