Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Ni kweli tattoos sio nzuri, lakini, wapo mabinti hawajachora tattoos lakini wafukunyuliwa kotekote kama hawana akili nzuri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear mie nataka tattoo enyewee, bado fundi cjampata, tena nachora kiunoni, mbelee na nyuma, [emoji1652].
Na mie natafuta fundi. Nimpanulie anichore kwenye uchi
 
Njoo geto nikuoneshe, msijifariji kwq kuharibu ngozi zenu
Jamaa hajakosea kukuuliza kama umetahiriwa ama laah, nafikiri alikuwa na maana nzuri ya kuanzisha mjadala unaojenga juu ya comment ambayo uliitoa kule juu (aliyoi-quote yeye)

Wewe ulidai kuwa (kwenye ile comment), huwezi kuchora tattoo kwakua kufanya hivyo ni sawa na kumkosoa Mungu alivyookuumba. Sasa kauliza kama umetahiriwa ili ajue, ikiwa umetahiriwa huoni kwamba unapingana na ile comment yako juu??

Kwanini ukate govi, huoni kwamba unampiga Mungu jinsi alivyokuumba?😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear mie nataka tattoo enyewee, bado fundi cjampata, tena nachora kiunoni, mbelee na nyuma, [emoji1652].
Duh
Wewe kidume qumbu zimening'inia na tattoo ya kipepeo mbele na nyuma ya kiuno wapi na wapi au ndy uchoko umekuzidi
 
Nimetahiriwa
 
Na zina mzuka hizo ukipiga tatoo moja lazima ukaongeze ingine yaani lazima kama zima mashetani vilee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…