Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Mkuu, wabongo ni wajinga wanajifanya watakatifu wa Dini kuliko hata wazungu walio waletea Dini zenyewe....

Mtu anapinga tattoo kwa imani yake ya kidini anafikiri kila mtu yupo sawa na imani yake..

Kuna wabongo wana Akili za enzi ya Ujima...Mtu anataka kuhalalisha mawazo yake yawe ya jamii nzima kutokana na Hofu za imani yake.....
Halafu utakuta ni mzinifu ni mwizi ni fisadi ni mlevi ila anaona waliochora tattoo ndio wabaya

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ndiye ninayekupa ushuhuda wangu halafu wewe unaleta ujuaji.
Haya simulia kingine kuhusu maisha yangu, maana inaonekana unanijua sana
Wewe ulichora ukiwa tayari kuna namna unataka kuwa, wala hukuwa hivyo baada ya kuchora.

Tangu utoto tunajichora na korosho wala hatukuwa wajinga kama wewe
 
Kuna mwanamke nilikuwa nakapenda kanauza bar hapo dagaadagaa kibo ,siku moja akanibless tunda lake Kweli ilikuwa ashb HV saa tano HV bas nikakavua nguo kumcheki vzr tokea takoni Hadi juu kachora tatoo ya nyokaa kichwa kinatokea kwenye shingo kwa juu aisee nilishindwa kumchakata pmj na kwamba aliniblesss jicho lake ila niluogopa Sana niliona nalal na joka mkp leo hi yule demu Ana amani na mm niliona kbsa Happ Kuna mirohoo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huo ulikuo uoga wako tu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, wabongo ni wajinga wanajifanya watakatifu wa Dini kuliko hata wazungu walio waletea Dini zenyewe....

Mtu anapinga tattoo kwa imani yake ya kidini anafikiri kila mtu yupo sawa na imani yake..

Kuna wabongo wana Akili za enzi ya Ujima...Mtu anataka kuhalalisha mawazo yake yawe ya jamii nzima kutokana na Hofu za imani yake.....
Mleta mada hana tattoo lakini ana rekodi isiyofutika ya kufungua ID kwa jina la Gilesi

Tabia hii inaingia kwenye kundi la wahuni, wavuta bangi, matapeli nk..

Halafu anadanganya wenzie
 
Mleta mada hana tattoo lakini ana rekodi isiyofutika ya kufungua ID kwa jina la Gilesi

Tabia hii inaingia kwenye kundi la wahuni, wavuta bangi, matapeli nk..

Halafu anadanganya wenzie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani nini faida ya kujichora hizo tatoo?

Kwa wale wanao amini imani za kidini je maandiko yameruhusu?

Binafsi siwezi kujichora alama yoyote kwny ngozi yangu,kufanya hivyo naamini namkosoa Mungu wangu kwa kuniumba jinsi nilivyo!
Usitahiri
 
Wewe hayo ni matatizo yako binafsi na kilichokukuta wewe hakiwezi kwa standard unit kwa wote waliochora tatoo, haya Messi baada ya kuchora tattoo alikuwa mtoto mbaya kama wewe?

Watu wote waliochora tattoo wana maisha mabaya kama yako? Kwanini hizo shida uzihusishe na tattoo?

Ninachokiona hapa ni wewe kutafuta justifications juu ya failures zako za kimaisha.

Halafu waafrika tuna mambo ya ajabu sana, kila kitu tunakifikiria kivyetuvyetu tu, tattoo ikuharibie maisha??[emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka/dada unaamini uwepo wa Mungu?
 
Hizi kauli zako zinathibitisha tattoo ni janga,
Unajua tatizo waafrika kila kitu tunakipima kutokana na kazi, mafanikio ya kiuchumi nk. Latin America tattoo ni jadi. Hatusikii wakiongelea mapepo sijui nini. Kama hupendi tattoo acha, wanaopenda watachora. Kuhusu Mungu, bora uhangaike kwanza na Amri 10 za Mungu kabla hujaanza kuhangaika na minor things.

Mimi ninachokataa ni watu kufanya tattoo kama ni dhambi kuu, lakin unakuta huyo mtu kila siku anafira, anaona poa hamkosei Mungu. Lakin tattoo anaona grave sin. Tunaleta unafiki wa kuchagua dhambi, zile mbaya tunazihalalisha kimya kimya, tusichokipenda hata hata kama ni minor, tunazifungia amplifier!
 
Unajua tatizo waafrika kila kitu tunakipima kutokana na kazi, mafanikio ya kiuchumi nk. Latin America tattoo ni jadi. Hatusikii wakiongelea mapepo sijui nini. Kama hupendi tattoo acha, wanaopenda watachora. Kuhusu Mungu, bora uhangaike kwanza na Amri 10 za Mungu kabla hujaanza kuhangaika na minor things.

Mimi ninachokataa ni watu kufanya tattoo kama ni dhambi kuu, lakin unakuta huyo mtu kila siku anafira, anaona poa hamkosei Mungu. Lakin tattoo anaona grave sin. Tunaleta unafiki wa kuchagua dhambi, zile mbaya tunazihalalisha kimya kimya, tusichokipenda hata hata kama ni minor, tunazifungia amplifier!
Sidhani kama kuna mtu kasema tattoo ni dhambi kuu
 
Tabia za uchawi ,roho mbaya wivu husuda umalaya Ni tabia za Asili Hazina uhusiano na Tatoo

Mfano Mimi Nina Dada zangu wanavaa ushungi lakini kwao umalaya Uzinzi ni Jambo la kawaida Sana , hivyo Mimi nadhani hukosefu wa MAARIFA ndo unamfanya kuwa na tabia mbovu.
 
Kaka/dada unaamini uwepo wa Mungu?
Watu mnaouliza swala kama hili:-

Mkiombwa reference za katazo juu ya tattoo mnakuja na vitabu ambavyo sio universal (bible na Quraan), vipi kuhusu dini na imani nyingine (zipo nyingi tu) ambazo hazifungamani na hivyo vitabu??

Unadhani kuwa hicho unachokiamini ni universal??
 
Back
Top Bottom