Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Sasa kama sio dhambi, ubaya wake uko wapi?Sidhani kama kuna mtu kasema tattoo ni dhambi kuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama sio dhambi, ubaya wake uko wapi?Sidhani kama kuna mtu kasema tattoo ni dhambi kuu
Vipi wanaojichora tattoo za hina au wino mwepesi na kufutika baada ya muda fulani?
Mkuuu nibless namb bas za dada zako nawapenda Sana wavaaa ushungiTabia za uchawi ,roho mbaya wivu husuda umalaya Ni tabia za Asili Hazina uhusiano na Tatoo
Mfano Mimi Nina Dada zangu wanavaa ushungi lakini kwao umalaya Uzinzi ni Jambo la kawaida Sana , hivyo Mimi nadhani hukosefu wa MAARIFA ndo unamfanya kuwa na tabia mbovu.
Mkuu kwa sisi tunaoamini Mungu chochote alichokataza ni dhambi, haijalishi naifanya au siifanyi, siwezi tetea tattoo kwakuwa nimeichora mwilini au nikatetea uongo kwakuwa nadanganya, Tattoo ni dhambi full stopSasa kama sio dhambi, ubaya wake uko wapi?
Mkuu hapa tunaipinga tattoo kwa mujibu wa Mwenyezi Mungu tunaemuaminiWatu mnaouliza swala kama hili:-
Mkiombwa reference za katazo juu ya tattoo mnakuja na vitabu ambavyo sio universal (bible na Quraan), vipi kuhusu dini na imani nyingine (zipo nyingi tu) ambazo hazifungamani na hivyo vitabu??
Unadhani kuwa hicho unachokiamini ni universal??
Nani asiyemuamini Mungu acha ubinafsi, wote tunamuamini ila tunashangaa hayo makatazo mnayapata kwa Mungu yupi?Mkuu kwa sisi tunaoamini Mungu chochote alichokataza ni dhambi, haijalishi naifanya au siifanyi, siwezi tetea tattoo kwakuwa nimeichora mwilini au nikatetea uongo kwakuwa nadanganya, Tattoo ni dhambi full stop
Kwanini mnaomuamini Mungu kupitia vitabu viwili Bible& Quraan (mimi nikiwemo) tunaamini kuwa tattoo ni dhambi, hilo nakubali.Mkuu kwa sisi tunaoamini Mungu chochote alichokataza ni dhambi, haijalishi naifanya au siifanyi, siwezi tetea tattoo kwakuwa nimeichora mwilini au nikatetea uongo kwakuwa nadanganya, Tattoo ni dhambi full stop
Mkuu hapa tunaipinga tattoo kwa mujibu wa Mwenyezi Mungu tunaemuamini
Mtu anipeleke huku tafadhali. Nikachorwe pikoView attachment 2478360fundi kazini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2478360fundi kazini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu cnaaa.hivi sikuhizi wazee hawana kazi zakufanya zaidi yaumbea?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa
Kuna kaka pia namjua ana tattoo asee ana tabia mbaya over mbwa [emoji240]
Dyadyaaa wee choraaa, mwenyewee soon nachora kipepeo kiunoni chini ya mgongo. Na sijari wala nnMungu anisaidie kilichofanya nisichore tattoo ni hofu ya Mungu kua nikifa ntamuambia Nini Mungu yaani naenda na ushahidi kabisa ila kukosa hvyo ningechora kipepeo kiunoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili ndo la muhimuuu.Niwakumbushe ttu tatoo inapendeza ngozi nyeupe..ngozi nyeusi mnakua kama mamba..
Ongezaaa sauti hawajasikiaaaa.Unajua tatizo waafrika kila kitu tunakipima kutokana na kazi, mafanikio ya kiuchumi nk. Latin America tattoo ni jadi. Hatusikii wakiongelea mapepo sijui nini. Kama hupendi tattoo acha, wanaopenda watachora. Kuhusu Mungu, bora uhangaike kwanza na Amri 10 za Mungu kabla hujaanza kuhangaika na minor things.
Mimi ninachokataa ni watu kufanya tattoo kama ni dhambi kuu, lakin unakuta huyo mtu kila siku anafira, anaona poa hamkosei Mungu. Lakin tattoo anaona grave sin. Tunaleta unafiki wa kuchagua dhambi, zile mbaya tunazihalalisha kimya kimya, tusichokipenda hata hata kama ni minor, tunazifungia amplifier!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear mie nataka tattoo enyewee, bado fundi cjampata, tena nachora kiunoni, mbelee na nyuma, [emoji1652].Mtu anipeleke huku tafadhali. Nikachorwe piko
Njoo geto nikuoneshe, msijifariji kwq kuharibu ngozi zenu