Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Fuatilia mwisho wao, utapata majibu, Anaweza asiadhibiwe yeye, ukapigwa uzao wake, ni kanuni ndivyo inavyosema
Ezekieli 18:20 (KJV) Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.

Acha kudanganya watu wewe. Baba/mama achole tattoo niadhibiwe mimi? Ilo halipo.
 
Nawajua wana vitengo kadhaa tena PSU na wanazo na issue zao ni ganja tu hata pombe hawatumii na suti mnawaona..
emoji23.png
emoji23.png
ni urembo tu kama kupaka piko kwa madem!

ww umeshajua?, duh chora na ww kwakuwa ni zaidi ya lango
Haha hahah hHah
 
In short haileti picha nzuri,,,assume unampeleka ukweni mpenzi wako aliyejichora tattoo,,,ni picha gani itaonekana huko ukweni?
 
Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?

Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.

Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.

Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.

Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.

Law 19:28 SUV​

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Aisee
 
Kwani nini faida ya kujichora hizo tatoo?

Kwa wale wanao amini imani za kidini je maandiko yameruhusu?

Binafsi siwezi kujichora alama yoyote kwny ngozi yangu,kufanya hivyo naamini namkosoa Mungu wangu kwa kuniumba jinsi nilivyo!
 
Kama tattoo zako zinahesabika tafsiri yake hujawa nazo za kutosha. Chapa tattoo mwili mzima tushindwe kuzihesabu.

Kalomo mfyeto
OVA
 
Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?

Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.

Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.

Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.

Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.

Law 19:28 SUV​

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Maandiko ya vitabu vya dini za kimapokeo ukiyatazama kiimani utafeli, mengi ni kwa ajili ya maisha ya hapahapa duniani.

Mengi ni kwa ajili ya kutu-shape tu, mfano michoro, kwa wamarekani ilianzishwa na watumwa kufikisha ujumbe fulani kama ilivyo michoro ya kwenye mapango na mapiramidi ambapo kwa marekani ndio zile "graffit"

Sasa mzungu baada ya manyanyaso yote anajitahidi kututuliza hasira ndio akaja na maandiko uchwara mara samehs saba mara sabini. Hata hiyo michoro ya mwilini ni kuzuia weusi kuzungumza lugha ya michoro kwa kuwa wakizungumza kwa mdomo wangejikuta matatani.

Mbona wao ndio mahiri wa tattoo huku Mungu ndio alijidhihirisha kwao nao wakatuletea neno huku?
 
Ushawahi kutana na mwanamke kachora tatoo kwny sehemu zake za siri?

Hebu angalia Hii picha chini
Nini kinakuijia kwa haraka haraka akilini mwako ,kabla na baada ya zoezi la uchoraji.

Kama una wivu Sana,
Ukimuwazia sana mchoraji,
Hata tendo lenyewe huwezi kufurahia.[emoji4]


View attachment 2478345

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wachoraji huenda hawajakamilika au kutokana na kuona maungo mara kwa mara hawana hisia za haraka tena

Sawa na wasafisha kucha na miguu
 
Hata Henna (Inna) wanazopaka mabinti wa mwambao (Wengi Waislamu) wakati wa harusi ni tattoo...
Nimeona hadi wengine wanaume maustadhi wanapaka ile rangi kwenye ndevu...
Hawa nao wana matatizo kama wale wengine ???
 
Mungu anisaidie kilichofanya nisichore tattoo ni hofu ya Mungu kua nikifa ntamuambia Nini Mungu yaani naenda na ushahidi kabisa ila kukosa hvyo ningechora kipepeo kiunoni
Ujinga wetu tu, mwili utaenda nao wapi?

Imani kitu kibaya sana
 
Kuna watu wana tattoo na wana akili na mafanikio makubwa kuliko wanaokemea hapa pamoja na uzee wao ni mafukara tu.

Asilimia kubwa ya watanzania hawana tattoo kuliko wenye tattoo, twende kitakwimu, wahuni, wavuta bangi, malaya, watu wa hovyo wanatoka kundi gani? Kwa ushahidi.

Kalito wa samaki samaki amesiliba kabisa tattoo ila ana akili na hela kuliko wanaojifungia vyumbani kukariri mavitabu ya dini ambayo nayo hawayaelewi
 
Back
Top Bottom