Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?

Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.

Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.

Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.

Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.

Law 19:28 SUV​

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Hii mada utapigwa sana mawe aisee
 
Bujibuji Simba Nyamaume, Je kuchora tattoo ya Jina la mtu unaempenda labda alikusaidia kwenye mazingira fulani magumu na ukakaa sawa hii ina matokeo gani hasi?
Swali zuri, naomba nimjibie. Tatoo zinafungua milango ya nafsi yako, utaharibikiwa tu. Milango ya nafsi yako inakuwa wazi kupitisha maroho ya kila aina, ulevi, uzinzi, madawa nk
 
Ushawahi kutana na mwanamke kachora tatoo kwny sehemu zake za siri?

Hebu angalia Hii picha chini
Nini kinakuijia kwa haraka haraka akilini mwako ,kabla na baada ya zoezi la uchoraji.

Kama una wivu Sana,
Ukimuwazia sana mchoraji,
Hata tendo lenyewe huwezi kufurahia.[emoji4]


tapatalk_1580871995150.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?

Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.

Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.

Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.

Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.

Law 19:28 SUV​

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Huku serikalini kuna katazo kwenye mwongozo wa mavazi Tatoo haziruhusiwi kwaio kama wewe ni job seeker na una tatoo tafuta pa kwenda
Screenshot_20230112-182209_CamScanner.jpg
 
Kuna ukweli flani aseee , Mtume wa Allah, yaani Muhammad ﷺ amesema haya [emoji116]

Narrated Ibn `Umar:

The Prophet (ﷺ) has cursed the lady who lengthens her hair artificially and the one who gets her hair lengthened, and also the lady who tattoos (herself or others) and the one who gets herself tattooed.

حَدَّثَنِي مُحَمَّدٌ، حَدَّثَنَا عَبْدَةُ، عَنْ عُبَيْدِ اللَّهِ، عَنْ نَافِعٍ، عَنِ ابْنِ عُمَرَ ـ رضى الله عنهما ـ قَالَ لَعَنَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم الْوَاصِلَةَ وَالْمُسْتَوْصِلَةَ، وَالْوَاشِمَةَ وَالْمُسْتَوْشِمَةَ‏.‏

Reference : Sahih al-Bukhari 5940
In-book reference : Book 77, Hadith 155
USC-MSA web (English) reference : Vol. 7, Book 72, Hadith 823
(deprecated numbering scheme)

Na katika Hadith nyingine

Narrated 'Abdullah:

that the Prophet (ﷺ) cursed the women who practice tattooing and those who seek to be tattooed, the women who remove hair from their faces seeking beautification by changing the creation of Allah.

حَدَّثَنَا أَحْمَدُ بْنُ مَنِيعٍ، حَدَّثَنَا عَبِيدَةُ بْنُ حُمَيْدٍ، عَنْ مَنْصُورٍ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ، عَنْ عَلْقَمَةَ، عَنْ عَبْدِ اللَّهِ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم لَعَنَ الْوَاشِمَاتِ وَالْمُسْتَوْشِمَاتِ وَالْمُتَنَمِّصَاتِ مُبْتَغِيَاتٍ لِلْحُسْنِ مُغَيِّرَاتٍ خَلْقَ اللَّهِ ‏.‏ قَالَ هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ ‏.‏ وَقَدْ رَوَاهُ شُعْبَةُ وَغَيْرُ وَاحِدٍ مِنَ الأَئِمَّةِ عَنْ مَنْصُورٍ ‏.‏

Grade: Sahih (Darussalam)
Reference : Jami` at-Tirmidhi 2782
In-book reference : Book 43, Hadith 53
English translation : Vol. 5, Book 41, Hadith 2782
 
Umeanza talalila zako! Kwa ushahidi upi?
Hii comment yako ni ushahidi tosha kuwa mambo mengi ya ulimwengu wa roho, huyajui, Hata nguvu ulizo nazo kuna uwezekano ukawa huzijui. Michoro mwilini ni hatari kwako, kwani sio ubunifu wa kimbingu but from the devil himself. Ukichora unaweka bikoni mwilini (unakuwa lango la kuingilia). Wala hawapati shida
 
Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?

Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.

Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.

Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.

Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.

Law 19:28 SUV​

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Tunaweza kuwagusa kina Messi and the like??
 
Bro, mimi baada ya kumaliza form four, enzi zile likizo ya Mkapa, nikachora tatoo, kabla ya hapo nilikuwa mtoto mzuri kabisa, ila baada ya matatoo, nikajikuta sitaki tena kushiriki ibada, nikawa kampani yangu masela, nilianza kujifunza sigara, kisha nikarukia kwenye bangi, baadae nikapotea kabisa.

Mwenendo wangu ukapotea na sikuweza kuendelea tena na masomo.

Baada ya miaka mingi kupita ndio nimeweza kurudi kwenye mstari, baada ya mateso makubwa na kupita the most difficult and hard way
Pole aisee
 
Back
Top Bottom