Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
MUNGU hajawahi kukosea uumbaji kamwe!Bro, mimi baada ya kumaliza form four, enzi zile likizo ya Mkapa, nikachora tatoo, kabla ya hapo nilikuwa mtoto mzuri kabisa, ila baada ya matatoo, nikajikuta sitaki tena kushiriki ibada, nikawa kampani yangu masela, nilianza kujifunza sigara, kisha nikarukia kwenye bangi, baadae nikapotea kabisa.
Mwenendo wangu ukapotea na sikuweza kuendelea tena na masomo.
Baada ya miaka mingi kupita ndio nimeweza kurudi kwenye mstari, baada ya mateso makubwa na kupita the most difficult and hard way
Unaamini hivyo na hakuna ushahidi wa kisayansi.Hii comment yako ni ushahidi tosha kuwa mambo mengi ya ulimwengu wa roho, huyajui, Hata nguvu ulizo nazo kuna uwezekano ukawa huzijui. Michoro mwilini ni hatari kwako, kwani sio ubunifu wa kimbingu but from the devil himself. Ukichora unaweka bikoni mwilini (unakuwa lango la kuingilia). Wala hawapati shida
Ila mademu wenye tattoo huwaga watamu sana [emoji3]
Messi ni nani haswa hadi apingane na agizo la Mungu Muumba mbingu na nchi?Tunaweza kuwagusa kina Messi and the like??
You had an inborn bad character, only to link it with tattoos!Bro, mimi baada ya kumaliza form four, enzi zile likizo ya Mkapa, nikachora tatoo, kabla ya hapo nilikuwa mtoto mzuri kabisa, ila baada ya matatoo,
Nikajikuta sitaki tena kushiriki ibada, nikawa kampani yangu masela, nilianza kujifunza sigara, kisha nikarukia kwenye bangi, baadae nikapotea kabisa.
Mwenendo wangu ukapotea na sikuweza kuendelea tena na masomo.
Baada ya miaka mingi kupita ndio nimeweza kurudi kwenye mstari, baada ya mateso makubwa na kupita the most difficult and hard way
Nakazia...[emoji124]Fuatilia mwisho wao, utapata majibu, Anaweza asiadhibiwe yeye, ukapigwa uzao wake, ni kanuni ndivyo inavyosema
WAEBRANIA 13:8.Afrika imechelewa kuendelea,
Kila kitu ni kipya kwetu acha twende taratibu tutakuja kujua ulimwengu ukoje na sie tunauchukuliaje baadae tutaenda nao sawa,
Ni suala la muda tu.
* Sayansi ina ushahidi gani uwepo wa roho/uhai/pumzi unayovuta ikiwa siyo proved kama ni tangible na visible?Unaamini hivyo na hakuna ushahidi wa kisayansi.
Mbona mpiga punyeto naye hudai anapata utamu sana kuliko akiwa na demu?Ila mademu wenye tattoo huwaga watamu sana [emoji3]
Hivi zingine kama za wachezaji huko Majuu huwa hazifutiki hata kidogo?Vipi wanaojichora tattoo za hina au wino mwepesi na kufutika baada ya muda fulani?
Hivi zingine kama za wachezaji huko Majuu huwa hazifutiki hata kidogo?Vipi wanaojichora tattoo za hina au wino mwepesi na kufutika baada ya muda fulani?
Hii kitu uliyoandika wengi hawaielewi ila ukweli ni kwamba ukishachora tatoo mwili wako unakuwa wazi (exposed) kuingiwa na roho chafu na mambo yote mabaya yatakuhusu iwe physically au spiritually kwasababu kitendo cha kuchora tatoo tayari mwili wako umeshakuwa ubao wa matangazo kwenye ulimwengu wa giza.. no way to escape utaishi kwa utatanishi sana..Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?
Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.
Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.
Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.
Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.
Law 19:28 SUV
Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
BIBLIA inakataza hadi kuchanjwa chale katika miili yetu Binadamu kwenye fungu hilo hilo, kiujumla hakuna kisichofaa ambacho hakikukatazwa na BIBLIA.Nilikua sijui kama Biblia imekataza tattoo hili andiko sijawahi kusoma Asante Kwa kushare
Tattoo kote duniani huchorwa na watu wa hovyo,hata movie za mbele zina-depict hilo,ni kuendelea tu kwa mmomonyoko wa maadili ndiyo kinakofanya ionekane kawaidaPerception ya jamii kwa baadhi ya vitu hasa sisi waafrica ni changamoto kukubali
Mpaka Messi ni wa hovyo?Tattoo kote duniani huchorwa na watu wa hovyo,hata movie za mbele zina-depict hilo,ni kuendelea tu kwa mmomonyoko wa maadili ndiyo kinakofanya ionekane kawaida
Labda nipewe gizani naogopa kusoma gazette