Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Ujinga wako kichwani hauhusiani na tatooBro, mimi baada ya kumaliza form four, enzi zile likizo ya Mkapa, nikachora tatoo, kabla ya hapo nilikuwa mtoto mzuri kabisa, ila baada ya matatoo,
Nikajikuta sitaki tena kushiriki ibada, nikawa kampani yangu masela, nilianza kujifunza sigara, kisha nikarukia kwenye bangi, baadae nikapotea kabisa.
Mwenendo wangu ukapotea na sikuweza kuendelea tena na masomo.
Baada ya miaka mingi kupita ndio nimeweza kurudi kwenye mstari, baada ya mateso makubwa na kupita the most difficult and hard way
Kama ipi...wazee wa speculation!!!Nao pia wana dark side yao, tena imejaa aibu kubwa hawataki hata ivuje, inalindwa kwa gharama kubwa mno
Imeandikwa wapi hii? Tupe reference acha blah blah..Au unatoa kwenye fuvu lako?Hii kitu uliyoandika wengi hawaielewi ila ukweli ni kwamba ukishachora tatoo mwili wako unakuwa wazi (exposed) kuingiwa na roho chafu na mambo yote mabaya yatakuhusu iwe physically au spiritually kwasababu kitendo cha kuchora tatoo tayari mwili wako umeshakuwa ubao wa matangazo kwenye ulimwengu wa giza.. no way to escape utaishi kwa utatanishi sana..
Share it with us for a lesson reason. Somebody might be healed.Tattoos remind me of what I have been through....
Wenzetu wana maprofesa, wanajeshi, askari polisi wengi tu wanatattoo na wanapiga kazi poa sana. Huku kwetu mambo ni tofautiPerception ya jamii kwa baadhi ya vitu hasa sisi waafrica ni changamoto kukubali
Hata mashoga wamejaa kwenye majeshi yaoHizo imani ziko africa, kwa wenzetu kumkuta soja ana tattoo ni kawaida
PSU ni migambo tu, kuna vitengo vya intelligence lakini sio PSU.Nawajua wana vitengo kadhaa tena PSU na wanazo na issue zao ni ganja tu hata pombe hawatumii na suti mnawaona..ni urembo tu kama kupaka piko kwa madem!
Mimi ndiye ninayekupa ushuhuda wangu halafu wewe unaleta ujuaji.Ujinga wako kichwani hauhusiani na tatoo
Kazi ya maajenti wa shetani ni kutetea kila ushetani na kuupambania uonekane kuwa halaliWewe hayo ni matatizo yako binafsi na kilichokukuta wewe hakiwezi kwa standard unit kwa wote waliochora tatoo, haya Messi baada ya kuchora tattoo alikuwa mtoto mbaya kama wewe?
Watu wote waliochora tattoo wana maisha mabaya kama yako? Kwanini hizo shida uzihusishe na tattoo?
Ninachokiona hapa ni wewe kutafuta justifications juu ya failures zako za kimaisha.
Halafu waafrika tuna mambo ya ajabu sana, kila kitu tunakifikiria kivyetuvyetu tu, tattoo ikuharibie maisha??[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu huyo anayesema tattoo ni mbaya kaambiwa mbona Messi anazo kwa kua anampenda akajibu Messi atolewe kwenye list ya vijana wa hovyo[emoji16]Hakuna wasio na tattoo wenye tabia mbaya over mbwa?
G.O.ATKwani yeye ni nani?
Tofauti na tattoo, wewe si agent wa shetani kwa namna nyingine? Au kwa mujibu wa vitabu vyenu(mnavyoamini), tattoo ndio dhambi pekee iliyobaki??Kazi ya maajenti wa shetani ni kutetea kila ushetani na kuupambania uonekane kuwa halali
MichaelView attachment 2478360fundi kazini
Ndio umeshawahukumu hivyoSiwahukumu wanaochora tatoo lakini kwakweli sijawahi kuwaona hao jamaa wakiwa na akili sawa
Mimi nina mtazamo tofauti kidogo. Kama ni kuvamiwa na roho wachafu anakuwa kashavamiwa tayari. Kujichora tattoo ni miongoni mwa udhihirisho wa kilichopo ndani yake.Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?
Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.
Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.
Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.
Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.
Law 19:28 SUV
Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Chanzo Cha hii taarifa tafadhali? Au ni fikra zako tuSwali zuri, naomba nimjibie. Tatoo zinafungua milango ya nafsi yako, utaharibikiwa tu. Milango ya nafsi yako inakuwa wazi kupitisha maroho ya kila aina, ulevi, uzinzi, madawa nk
Acha wogaEhh mwanamke amejichora hvyo yan naona kama natembea na lucifer mwenyew kabisaa