Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Hii comment yako ni ushahidi tosha kuwa mambo mengi ya ulimwengu wa roho, huyajui, Hata nguvu ulizo nazo kuna uwezekano ukawa huzijui. Michoro mwilini ni hatari kwako, kwani sio ubunifu wa kimbingu but from the devil himself. Ukichora unaweka bikoni mwilini (unakuwa lango la kuingilia). Wala hawapati shida
Ndio utupe uthibitisho wa haya unayoyaongea sasa au na wewe ni wale mnaotudanganya kwamba mmefunuliwa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
WAEBRANIA 13:8.

Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.

Binadamu ndiyo vigeu geu lakini duniani hakuna kipya ambacho hakikutabiriwa katika BIBLIA takatifu.

Shida yenu ni wavivu kusoma NENO LA MUNGU "BIBLIA" ndiyomaana mnayumbishwa na hadaa za dunia kama mawimbi.
Hilo mnalosema ni neno la MUNGU limeletwa kwenu na hao hao wachora tattoo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
* Sayansi ina ushahidi gani uwepo wa roho/uhai/pumzi unayovuta ikiwa siyo proved kama ni tangible na visible?

* Sayansi ina ushahidi gani juu ya chanzo cha huu ulimwengu na viumbe vyote rohoni (vinavyoonekana na visivyoonekana) mfano ukiwa unaota ndoto.

* Sayansi ina ushahidi gani juu ya maisha ya Binadamu kuhusu baada ya kifo?

Kumbe kujitoa ufahamu ni kipaji?
Tatizo mnaojifanya watu wa rohoni (mambo ya kusadikika) hua mnajikuta wajuaji sana na ole wa mtu atofautiane na story zenu mnamshukia kama mwewe na kumpa majina yote mabaya mabaya

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu uliyoandika wengi hawaielewi ila ukweli ni kwamba ukishachora tatoo mwili wako unakuwa wazi (exposed) kuingiwa na roho chafu na mambo yote mabaya yatakuhusu iwe physically au spiritually kwasababu kitendo cha kuchora tatoo tayari mwili wako umeshakuwa ubao wa matangazo kwenye ulimwengu wa giza.. no way to escape utaishi kwa utatanishi sana..
Naomba chanzo Cha hii taarifa tafadhali

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unamuona wa maana kisa anajua mpira!?..wachezaji wengi wa hovyo, Rooney alimgonga mdangaji mmoja hivi,aksmuhadithia evra,evra akaenda kugonga ili athibitishe Kama kweli yule dada wa kizungu ana mauno,akamwacha dada anahuzunika kamlipa paindi mia tatu wakati wenzake waliotoa buku na kuendelea
Messi Hana tabia chafu Wala Hana makuu, halafu Kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatari

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe hayo ni matatizo yako binafsi na kilichokukuta wewe hakiwezi kwa standard unit kwa wote waliochora tatoo, haya Messi baada ya kuchora tattoo alikuwa mtoto mbaya kama wewe?

Watu wote waliochora tattoo wana maisha mabaya kama yako? Kwanini hizo shida uzihusishe na tattoo?

Ninachokiona hapa ni wewe kutafuta justifications juu ya failures zako za kimaisha.

Halafu waafrika tuna mambo ya ajabu sana, kila kitu tunakifikiria kivyetuvyetu tu, tattoo ikuharibie maisha??[emoji23][emoji23][emoji23]
Na kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatari

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Messi Hana tabia chafu Wala Hana makuu, halafu Kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatari

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
We Messi unakuwa nae kila alipo!?..alipokua akiwatukana mashabiki wa timu pinzani baada ya kufunga kwamba wao makma na mama zao malaya ulikua tayari ushaanza kuangalia mpira!?
 
Mimi ndiye ninayekupa ushuhuda wangu halafu wewe unaleta ujuaji.
Haya simulia kingine kuhusu maisha yangu, maana inaonekana unanijua sana
Unaambiwa, hizo tabia zako mbya, hazikusababishwa na tattoo, ni kichwa chako tu kibovu, tattoo sio ubongo, Kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatari, na Kuna wenye tattoo na ni watu wema sana tu, haya umeelewa sasa?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?

Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.

Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.

Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.

Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.

Law 19:28 SUV​

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
By the way, ulishawahi kukutana na Rastafarian ambaye ni kituko? Je, huwa wapo Rastafarians wa aina hiyo?
 
Usiseme hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri Bali sema hamna mtu unaemjua mwenye tatoo mwenye tabia nzuri.

Inawezekana wengine wamesaidiwa na watu wenye tatoo na wanawaona ni watu wema.

Tabia mbaya haitokani na tatoo ila mtu mwenye tabia mbaya anakua na tabia mbaya haijalishi anatatoo au Hana.

Tunaweza kuanza kufuatilia watu wenye makosa makubwa mfano wauwaji na wabakaji tukajua wangapi wanatatoo na wangapi hawana.

Mafisadi wa Mali za umma tukangalia wangapi wanatatoo na wangapi hawana.

Baada ya hapo tunaweza kuja na hitimisho.

Pia tunaweza kuangalia watanzania wenye tatoo na wafilipino wenye tatoo ni wapi wenye matatizo na kwanini.

Nadhani watanzania wengi wanaochora tatoo ni kundi la vijana wanaoiga maisha kuanzia mavazi na life style kwa ujumla.
Kundi Hilo ndani yake kuna asilimia kubwa ya vijana wenye mawazo na akili finyu sana na huchora tatoo kuonyesha wao ni wajanja na kumbe ni wajinga na kuiga pia kutumia mihadarati na tabia za ugomvi.

Fuatilia nchi nyingine pia utakuja na mtazamo tofauti sana.
 
Back
Top Bottom