Oroka msoro
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 569
- 435
Uthibitisho wa kisayansi?Hizo sio tattoo. Tattoo lazima kitu kipya kiingie kwenye damu yako na kiwe cha kudumu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uthibitisho wa kisayansi?Hizo sio tattoo. Tattoo lazima kitu kipya kiingie kwenye damu yako na kiwe cha kudumu
Ndio utupe uthibitisho wa haya unayoyaongea sasa au na wewe ni wale mnaotudanganya kwamba mmefunuliwaHii comment yako ni ushahidi tosha kuwa mambo mengi ya ulimwengu wa roho, huyajui, Hata nguvu ulizo nazo kuna uwezekano ukawa huzijui. Michoro mwilini ni hatari kwako, kwani sio ubunifu wa kimbingu but from the devil himself. Ukichora unaweka bikoni mwilini (unakuwa lango la kuingilia). Wala hawapati shida
Kanuni kutoka wapi?Fuatilia mwisho wao, utapata majibu, Anaweza asiadhibiwe yeye, ukapigwa uzao wake, ni kanuni ndivyo inavyosema
Kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatari, unalizungumziaje hilo?Kweli kabisa
Kuna kaka pia namjua ana tattoo asee ana tabia mbaya over mbwa [emoji240]
Hilo mnalosema ni neno la MUNGU limeletwa kwenu na hao hao wachora tattooWAEBRANIA 13:8.
Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.
Binadamu ndiyo vigeu geu lakini duniani hakuna kipya ambacho hakikutabiriwa katika BIBLIA takatifu.
Shida yenu ni wavivu kusoma NENO LA MUNGU "BIBLIA" ndiyomaana mnayumbishwa na hadaa za dunia kama mawimbi.
Tatizo mnaojifanya watu wa rohoni (mambo ya kusadikika) hua mnajikuta wajuaji sana na ole wa mtu atofautiane na story zenu mnamshukia kama mwewe na kumpa majina yote mabaya mabaya* Sayansi ina ushahidi gani uwepo wa roho/uhai/pumzi unayovuta ikiwa siyo proved kama ni tangible na visible?
* Sayansi ina ushahidi gani juu ya chanzo cha huu ulimwengu na viumbe vyote rohoni (vinavyoonekana na visivyoonekana) mfano ukiwa unaota ndoto.
* Sayansi ina ushahidi gani juu ya maisha ya Binadamu kuhusu baada ya kifo?
Kumbe kujitoa ufahamu ni kipaji?
Naomba chanzo Cha hii taarifa tafadhaliHii kitu uliyoandika wengi hawaielewi ila ukweli ni kwamba ukishachora tatoo mwili wako unakuwa wazi (exposed) kuingiwa na roho chafu na mambo yote mabaya yatakuhusu iwe physically au spiritually kwasababu kitendo cha kuchora tatoo tayari mwili wako umeshakuwa ubao wa matangazo kwenye ulimwengu wa giza.. no way to escape utaishi kwa utatanishi sana..
Mbona nguruwe kakatazwa ila mnafakamiaBIBLIA inakataza hadi kuchanjwa chale katika miili yetu Binadamu kwenye fungu hilo hilo, kiujumla hakuna kisichofaa ambacho hakikukatazwa na BIBLIA.
Mwanasoka Bora asiyekua na kashfa au scandal yoyote mbayaMessi ni nani?!!
Messi Hana tabia chafu Wala Hana makuu, halafu Kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatariUnamuona wa maana kisa anajua mpira!?..wachezaji wengi wa hovyo, Rooney alimgonga mdangaji mmoja hivi,aksmuhadithia evra,evra akaenda kugonga ili athibitishe Kama kweli yule dada wa kizungu ana mauno,akamwacha dada anahuzunika kamlipa paindi mia tatu wakati wenzake waliotoa buku na kuendelea
Na kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatariWewe hayo ni matatizo yako binafsi na kilichokukuta wewe hakiwezi kwa standard unit kwa wote waliochora tatoo, haya Messi baada ya kuchora tattoo alikuwa mtoto mbaya kama wewe?
Watu wote waliochora tattoo wana maisha mabaya kama yako? Kwanini hizo shida uzihusishe na tattoo?
Ninachokiona hapa ni wewe kutafuta justifications juu ya failures zako za kimaisha.
Halafu waafrika tuna mambo ya ajabu sana, kila kitu tunakifikiria kivyetuvyetu tu, tattoo ikuharibie maisha??[emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo ya kufikirika, hadithi za uongo zilizotungwa Kwa ufundiHivi hizi ngano huwa mnatoa wapi?[emoji23]
We Messi unakuwa nae kila alipo!?..alipokua akiwatukana mashabiki wa timu pinzani baada ya kufunga kwamba wao makma na mama zao malaya ulikua tayari ushaanza kuangalia mpira!?Messi Hana tabia chafu Wala Hana makuu, halafu Kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatari
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unaambiwa, hizo tabia zako mbya, hazikusababishwa na tattoo, ni kichwa chako tu kibovu, tattoo sio ubongo, Kuna wenye hawana tattoo na ni wana tabia chafu hatari, na Kuna wenye tattoo na ni watu wema sana tu, haya umeelewa sasa?Mimi ndiye ninayekupa ushuhuda wangu halafu wewe unaleta ujuaji.
Haya simulia kingine kuhusu maisha yangu, maana inaonekana unanijua sana
Hapa ndipo mnapofeli, mnaleta porojo zenu mkiambiwa mthibitishe mnaanza tilalila sijui maajenti [emoji23][emoji23]Kazi ya maajenti wa shetani ni kutetea kila ushetani na kuupambania uonekane kuwa halali
Kwa hiyo tattoo ndio ilisababisha atukane? Juma Nyoso ana tattoo?We Messi unakuwa nae kila alipo!?..alipokua akiwatukana mashabiki wa timu pinzani baada ya kufunga kwamba wao makma na mama zao malaya ulikua tayari ushaanza kuangalia mpira!?
Wewe unayekua nae Kila alipo tuambie mabaya yake yanayosababishwa na tattooWe Messi unakuwa nae kila alipo!?..alipokua akiwatukana mashabiki wa timu pinzani baada ya kufunga kwamba wao makma na mama zao malaya ulikua tayari ushaanza kuangalia mpira!?
By the way, ulishawahi kukutana na Rastafarian ambaye ni kituko? Je, huwa wapo Rastafarians wa aina hiyo?Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?
Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.
Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.
Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.
Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.
Law 19:28 SUV
Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA