Hamna tatizo la nguvu za kiume, epuka kutapeliwa

Hamna tatizo la nguvu za kiume, epuka kutapeliwa

Mimi nilikuwa na Hiyo shida.
Niliugua sana Tumbo na kitovu nikiwa mdogo, Nadhani nilipata shida ya Hernia na kongosho Urcers nikiwa mtu mzimaa.
Haya magonjwa yalinikata sana uanaume

Baada ya kukua sikuwa na Uwezo kabisa wa kumkojolesha na kumliza mwanamke yani nilikuwa Dakika moja na Goli langu moja tu.
Nilipogundua ni tatizo nikaanza kutafuta dawa.

Baada ya Kupata Dawa ya Maana sana nakunywa kwenye Supu na Damu.
Mashine Ilikuwa inasimama Kama Mche
Ikawa Kubwa sana
Nikaanza kuwa na Hamu sana ya kukutana na Opposite sex.

Nilipokutana na manzi yangu Baada ya Mwezi alilia sana.
Akaanza Kukimbia Show.
Hakuna mwanamke anayeweza Kivumilia goli Zangu mbili.

Asante Mungu kwa kuumba miti.
Hakika miti ni Dawa.
Tusidharau miti shamba.
Kuna miti shamba huku njooni
 
Wadau naandika uzi huu kutokana na uzoefu wangu binafsi wa muda mrefu.

Suala la nguvu za kiume linategemea sana na aina ya mwanamke unaelala nae kama anakupa mizuka au lah,
Point zangu ziko hivi.
Kwa muda mrefu nina mpenzi ambae nakuwa nae muda mwingi. Huyu mpenzi ana mazoea kwa hiyo hatunaga romance sana labda nianze mimi na mda wote ni kama gogo.

1 : kuna muda nachepuka na vimichepuko vyangu. Nikitoka kwa mchepuko huwa sina hamu kabisa na huyu main chick hata anitomase namuona katuni tu

2: Nina huyo mchepuko mwingine hata kama nimetoka kupiga bao 3 kwa main chick au mchepuko 1, aisee akivua tu mimi mnara na ntapiga hata bao za kuunganisha. Yaani wazungu wakitoka dakika moja haipiti mnara uko hewani.

3. Kuna baadhi ya wanawake nilikutana nao nikaishia bao moja tu yaani alivyo alivyo haupati kabisa mzuka wa kumla, hilo bao moja lenyewe unajilazimisha kwa vile ushaweka mashine.

MY TAKE: NGUVU ZA KIUME NI PROPAGANDA ZA KUIBIA WATU HELA, TAFUTA ANAEKUAMSHA MASHETANI.
Male strength problem should be taken as unimportant issues in someone life. People needs to focus on importants issues of their economic rather than BS.
 
Mimi nilikuwa na Hiyo shida.
Niliugua sana Tumbo na kitovu nikiwa mdogo, Nadhani nilipata shida ya Hernia na kongosho Urcers nikiwa mtu mzimaa.
Haya magonjwa yalinikata sana uanaume

Baada ya kukua sikuwa na Uwezo kabisa wa kumkojolesha na kumliza mwanamke yani nilikuwa Dakika moja na Goli langu moja tu.
Nilipogundua ni tatizo nikaanza kutafuta dawa.

Baada ya Kupata Dawa ya Maana sana nakunywa kwenye Supu na Damu.
Mashine Ilikuwa inasimama Kama Mche
Ikawa Kubwa sana
Nikaanza kuwa na Hamu sana ya kukutana na Opposite sex.

Nilipokutana na manzi yangu Baada ya Mwezi alilia sana.
Akaanza Kukimbia Show.
Hakuna mwanamke anayeweza Kivumilia goli Zangu mbili.

Asante Mungu kwa kuumba miti.
Hakika miti ni Dawa.
Tusidharau miti shamba.
bila shaka umeandika hivi nusu bila kutaja hiyo mitishamba uliyotumia kusudi wana humu wakuulize huo mti dawa wanaupataje ama kweli biashara matangazo..bila shaka sahizi unawangoja inbox.!
 
Nilisoma hii nyuzi nikaona mizinguo tu, nikapita vile 😅😅😅

Ukishakutana na wanaume wenye vile vibao vifupi vifupi kama mlio wa simu ndiyo utaelewa hili tatizo lipo. Either hasimamishi mnara, hata ukisimama bado mlegevu kidogo au akijaribu kuunganisha hivyo vibao vyake dakika 2 hafiki wazungu hao.

Kiufupi 🚮🚮🚮🚮

Anyway kuna tafiti za kutosha kuhusu hili tatizo, kubisha ni ujinga tu.
 

Attachments

  • IMG_2297.jpeg
    IMG_2297.jpeg
    367.1 KB · Views: 2
Nilisoma hii nyuzi nikaona mizinguo tu, nikapita vile 😅😅😅

Ukishakutana na wanaume wenye vile vibao vifupi vifupi kama mlio wa simu ndiyo utaelewa hili tatizo lipo. Either hasimamishi mnara, hata ukisimama bado mlegevu kidogo au akijaribu kuunganisha hivyo vibao vyake dakika 2 hafiki wazungu hao.

Kiufupi 🚮🚮🚮🚮

Anyway kuna tafiti za kutosha kuhusu hili tatizo, kubisha ni ujinga tu.
Vibao vipi mshangazi?
 
Back
Top Bottom