ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Dah! Nimepungua kweli huwezi kuaminiNilikuona pia Mbona umepungua hivo🙄
Nafanya diet nataka kuolewa na mshamba_hachekwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Nimepungua kweli huwezi kuaminiNilikuona pia Mbona umepungua hivo🙄
Vin umempa taarifa? Utamuua kwa presha 😂😂 Vincenzo JrDah! Nimepungua kweli huwezi kuamini
Nafanya diet nataka kuolewa na mshamba_hachekwi
Vin mbona aliniambia wewe ndiye mkeweVin umempa taarifa? Utamuua kwa presha 😂😂 Vincenzo Jr
Kwani wewe umekufa tayari?🙄🙄Vin mbona aliniambia wewe ndiye mkewe kama Mimi nikifa.
Unamkana laazizi wakoKwani wewe umekufa tayari?🙄🙄
Nimekua Mimi tena?Unamkana laazizi wako
Siyo tatizo ni matatizo maana ni mengi yapo kwa asilimia 100Wadau naandika uzi huu kutokana na uzoefu wangu binafsi wa muda mrefu.
Suala la nguvu za kiume linategemea sana na aina ya mwanamke unaelala nae kama anakupa mizuka au lah,
Point zangu ziko hivi.
Kwa muda mrefu nina mpenzi ambae nakuwa nae muda mwingi. Huyu mpenzi ana mazoea kwa hiyo hatunaga romance sana labda nianze mimi na mda wote ni kama gogo.
1 : kuna muda nachepuka na vimichepuko vyangu. Nikitoka kwa mchepuko huwa sina hamu kabisa na huyu main chick hata anitomase namuona katuni tu
2: Nina huyo mchepuko mwingine hata kama nimetoka kupiga bao 3 kwa main chick au mchepuko 1, aisee akivua tu mimi mnara na ntapiga hata bao za kuunganisha. Yaani wazungu wakitoka dakika moja haipiti mnara uko hewani.
3. Kuna baadhi ya wanawake nilikutana nao nikaishia bao moja tu yaani alivyo alivyo haupati kabisa mzuka wa kumla, hilo bao moja lenyewe unajilazimisha kwa vile ushaweka mashine.
MY TAKE: NGUVU ZA KIUME NI PROPAGANDA ZA KUIBIA WATU HELA, TAFUTA ANAEKUAMSHA MASHETANI.
Siwakani, kuangalia nyash ni burudani nyingine hiyo, nichukulie kama kuangalia nguo dukani, unaipenda ukishaivaa inakuboa unaigawa.Kwahiyo mizuka mnaipata kwenye sura za baba zao??
Wewe unawakana wanaume wenzio wanaoangalia nyash?!! 😹😹
Dah 😄😀😀😀Vin mbona aliniambia wewe ndiye mkewe
Mwenyekiti wa Magogoni fc 🤣Unakazwa na vibwengo 😹😹
Acheni kuwaza ngono Trump kasitisha ARV..!!
Weka miti hapa usaidie watu mkuu, au we ndio mganga unataka wakutafute?Mimi nilikuwa na Hiyo shida.
Niliugua sana Tumbo na kitovu nikiwa mdogo, Nadhani nilipata shida ya Hernia na kongosho Urcers nikiwa mtu mzimaa.
Haya magonjwa yalinikata sana uanaume
Baada ya kukua sikuwa na Uwezo kabisa wa kumkojolesha na kumliza mwanamke yani nilikuwa Dakika moja na Goli langu moja tu.
Nilipogundua ni tatizo nikaanza kutafuta dawa.
Baada ya Kupata Dawa ya Maana sana nakunywa kwenye Supu na Damu.
Mashine Ilikuwa inasimama Kama Mche
Ikawa Kubwa sana
Nikaanza kuwa na Hamu sana ya kukutana na Opposite sex.
Nilipokutana na manzi yangu Baada ya Mwezi alilia sana.
Akaanza Kukimbia Show.
Hakuna mwanamke anayeweza Kivumilia goli Zangu mbili.
Asante Mungu kwa kuumba miti.
Hakika miti ni Dawa.
Tusidharau miti shamba.
Kuna joto wapi?
Na wewe ukiwa karibu mwenezi wangu, au sio? 😹😹Mwenyekiti wa Magogoni fc 🤣