Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😹😹😹 Nzi kufia kwenye kidonda.!!Ndio ndoto yangu kufia kwa mbususu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 Nzi kufia kwenye kidonda.!!Ndio ndoto yangu kufia kwa mbususu
Ndio maana nikashangaa namna gani pale🤣🤣Yeye bwanangu mpk anitolee ushuhuda??
Nna bibi mnyamwezi kanifunda nimefundika oohh.!! 😹😹
Kaka wewe ni gwiji hakikaNdio ndoto yangu kufia kwa mbususu
Mwenzako mmoja kafia kwenye kiuno Cha mbususu! SongeaNdio ndoto yangu kufia kwa mbususu
😹😹😹 Ana gubuNdio maana nikashangaa namna gani pale🤣🤣
Wasira hana akili ya kuendena na dunia ya sasa, tunataka tuichape huku uraia pacha ukiwepo ili kukuza uchumi wa nchi .Imagine umtoe Mzee Wasira kwenye kiti umweke kijana kama mleta mada....!!!
Huyo demu namtaka...natoa dau la mil2 kwa yoyote atakae fanikisha kumleta huyo mrembo hapa tegeta kibaoniMwenzako mmoja kafia kwenye kiuno Cha mbususu! Songea
😂😂😂😂Huyo demu namtaka...natoa dau la mil2 kwa yoyote atakae fanikisha kumleta huyo mrembo hapa tegeta kibaoni
Mtafute Rpc wa Songea,wanamhoji huyo demu miaka27,Njembe aliyedead 52!Huyo demu namtaka...natoa dau la mil2 kwa yoyote atakae fanikisha kumleta huyo mrembo hapa tegeta kibaoni
Umuone wa kazi gani?Asubuhi yote hii mnawaza uzinzi.?!!!
Haya weka picha ya huyo anayekupa mizuka tumuone..!!
Uraia pacha haukuzi uchumi. Uchumi wa nchi hii utakuzwa baada ya kuwekeza kwenye elimu bora ili kupata rasilimali watu kwa ajili ya viwanda na teknolojia.Wasira hana akili ya kuendena na dunia ya sasa, tunataka tuichape huku uraia pacha ukiwepo ili kukuza uchumi wa nchi .
Sijui kwanini mnaogopa uraia pacha🤔Uraia pacha haukuzi uchumi. Uchumi wa nchi hii utakuzwa baada ya kuwekeza kwenye elimu bora ili kupata rasilimali watu kwa ajili ya viwanda na teknolojia.
Hauna ulazimaSijui kwanini mnaogopa uraia pacha🤔
Sawa.Hauna ulazima
nguvu za kiume ni pisi kali safi na yenye mvuto kwa ndani, sio mwenye mbususu chakavu, legevu imeporomoka kama maporomoko ya oldonyolengai🐒Wadau naandika uzi huu kutokana na uzoefu wangu binafsi wa muda mrefu.
Suala la nguvu za kiume linategemea sana na aina ya mwanamke unaelala nae kama anakupa mizuka au lah,
Point zangu ziko hivi.
Kwa muda mrefu nina mpenzi ambae nakuwa nae muda mwingi. Huyu mpenzi ana mazoea kwa hiyo hatunaga romance sana labda nianze mimi na mda wote ni kama gogo.
1 : kuna muda nachepuka na vimichepuko vyangu. Nikitoka kwa mchepuko huwa sina hamu kabisa na huyu main chick hata anitomase namuona katuni tu
2: Nina huyo mchepuko mwingine hata kama nimetoka kupiga bao 3 kwa main chick au mchepuko 1, aisee akivua tu mimi mnara na ntapiga hata bao za kuunganisha. Yaani wazungu wakitoka dakika moja haipiti mnara uko hewani.
3. Kuna baadhi ya wanawake nilikutana nao nikaishia bao moja tu yaani alivyo alivyo haupati kabisa mzuka wa kumla, hilo bao moja lenyewe unajilazimisha kwa vile ushaweka mashine.
MY TAKE: NGUVU ZA KIUME NI PROPAGANDA ZA KUIBIA WATU HELA, TAFUTA ANAEKUAMSHA MASHETANI.
Kwahiyo mizuka mnaipata kwenye sura za baba zao??Umuone wa kazi gani?
Tatizo kinamama hudhani 'msura' na 'mshepu' ndiyo mvuto!
Wangu wangu Uturuki kujishepu, wale malofa wanajidunga mchina, kaburi la mapema hilo!
Aweza kuwa na sura ya baba, lakini akikumwaga au akikununia unalia, huo mdiyo mvuta wanaume wanaongelea.
Nilikuona pia Mbona umepungua hivo🙄Fake p jana nimekuona.