Hamna tatizo la nguvu za kiume, epuka kutapeliwa

Bora umesema mwenyewe,kwa tabia hizo lazima uwe unaendeshwa na shetani...
 
Vibao vipi mshangazi?
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Vifupi kama mlio wa simu, huwa inaita 30 seconds na huyo dume akipanda, mpaka simu inakata na yeye shughuli imeisha ๐Ÿšฎ

Wengine unaweza kuiwahi na simu yenyewe ukapokea, yeye akiweka, akiingiza mara moja, mbili wazungu haoooo ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ

 
Kwani vidude utamu vya kwenu si inasemekana vipo juu kabisa ? Iweje utake virefu?
 
Trump kafuta ARVs.

Tunakumbushan tu
 
Hilo jina unahisi la ke, vibamia vipo, Mimi mademu siwashi taa,maana punda akasome wale wanaojiuza siwabishii dau,wengi Huwa wanatema makubaliano,hata mke kakimbia dushe!
Tangazo lako lipo vizuri boss๐Ÿ˜‚
 
Kuna ukweli zaidi ya huu, sidhani!
Nadhani tuifunge tu mada, hakuna sehemu uliyoiacha kuigusa.
 
Hii nintrue kabisa mie nakumbuka mdigo wangu nikimuona tuu kibamia kinageuka kuwa de liboloz na stamina inaongezea kuunganisha magoli kawaida kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ