Hamna tatizo la nguvu za kiume, epuka kutapeliwa

Imagine umtoe Mzee Wasira kwenye kiti umweke kijana kama mleta mada....!!!
Wasira hana akili ya kuendena na dunia ya sasa, tunataka tuichape huku uraia pacha ukiwepo ili kukuza uchumi wa nchi .
 
Saga tangawizi mix asali mix vitunguu swaum weka ukwaju labamba kila ukiwa na muda
 
Asubuhi yote hii mnawaza uzinzi.?!!!

Haya weka picha ya huyo anayekupa mizuka tumuone..!!
Umuone wa kazi gani?

Tatizo kinamama hudhani 'msura' na 'mshepu' ndiyo mvuto!

Wangu wangu Uturuki kujishepu, wale malofa wanajidunga mchina, kaburi la mapema hilo!

Aweza kuwa na sura ya baba, lakini akikumwaga au akikununia unalia, huo mdiyo mvuta wanaume wanaongelea.
 
Wasira hana akili ya kuendena na dunia ya sasa, tunataka tuichape huku uraia pacha ukiwepo ili kukuza uchumi wa nchi .
Uraia pacha haukuzi uchumi. Uchumi wa nchi hii utakuzwa baada ya kuwekeza kwenye elimu bora ili kupata rasilimali watu kwa ajili ya viwanda na teknolojia.
 
Uraia pacha haukuzi uchumi. Uchumi wa nchi hii utakuzwa baada ya kuwekeza kwenye elimu bora ili kupata rasilimali watu kwa ajili ya viwanda na teknolojia.
Sijui kwanini mnaogopa uraia pacha🤔
 
nguvu za kiume ni pisi kali safi na yenye mvuto kwa ndani, sio mwenye mbususu chakavu, legevu imeporomoka kama maporomoko ya oldonyolengai🐒
 
Kwahiyo mizuka mnaipata kwenye sura za baba zao??

Wewe unawakana wanaume wenzio wanaoangalia nyash?!! 😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…