Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Sawa..ila wewe wakifanya kinakuuma nini baki na imani yako ya kuletewa usiyejua utokako..upo upo tu mtumwa wa akili wewe.

#MaendeleoHayanaChama
Hakuna anaekatwa kufanya chochote kuhusu imani yake,hata zumarid kaonewa juu ya Imani yake.Ni kutaka kuweka wazi juu ya upotoshi wa wengi kwamba mizimu ni mababu zetu waliokufa,dini za kuletewa hazisemi hivyo wala hata dini hizi za asili nazo ukataa kuhusu ili
 
Aliyekuambia zumaridi ni mkristu ni nani? Yeye hamtambui Yesu wala muhamed. Hatumii biblia wala Quran. Wateja wake ni ma murtad wa kiislam , kikristu na kipagani. Hata aliyesababisha hili sakata likafikia hapo ni mteja wake aliyekuwa mwislam alizama huko na mtoto wake ndio mahakama ikaamuru atolewe mtoto epelekwe shule
 
Ni mapambo tuu ya mbingu
Rejea aya ifuatayo

tupo pamoja bujibuji?View attachment 2140118
Wakristo wanaamini jua inaashiria NURU YA ULIMWENGU.

Mt 5:14-16 SUV​

Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima. Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani. Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
Nyota na crescent 🌙 haiwezi kuwa mapambo tu, ni code.
 
lakini uliniuliza nyota na mwezi
hpa naona unanitilia Jua
 
wanapenda kutiwa mimba wanaeake wa kikristo hata kama kaolewa yupo tayari kuzaa na wewe
 
Kweli waache kulilia ajira, Hela ya kuchota tu kwenye mauzo ya maji ya upako.
 
Hizi dini Bana, Bora enzi zile za kuamini na kuabudu jua!
Wafuasi wake ni makanjanja! Wafia dini ndiyo kabisaaaah psychologically impaired!

Nina mtu namfahamu kapata stroke, huku analetewa visomo huku analetewa wachungaji!
Na waganga wanakuja kupiga ramli, karogwa na watu wa ofisini!
 
Mtu akifa shahidi atapewa wanawake BIKRA 72 wenye matiti yaliyosimama na macho ya duara.

Je mwanamke atapewa nini?
Kuna kiongozi mmoja wa dini ya kiislam yupo huku zenji anaendesha kipindi kwenye radio cha kujibu maswali anaitwa musabaha alipoulizwa swali hilo eti akasema "hiyo ni Siri ya Mungu tuache kutaka kujua kila kitu"

Hili ni swali gumu sana kwa waislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…