Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Mwandishi ama alimnukuu vibaya Polepole au hakumuelewa...
Alichokuwa anasisitiza Hamphrey ni kukataa kundi moja kuhodhi mchakato wa katiba na kuufanya ni wa kwake huku maoni, mapendekezo na mashauri ya wananchi yakikataliwa...
Alichosema ni kwamba duniani kote katiba hutungwa kwa maridhiano na katiba ni mali wananchi siyo mali ya vyama...
Vyama, taasisi, asasi hazina mamlaka ya kuhodhi mchakato wa katiba popote pale duniani...
Nasisitiza kwa kuwa nilikuwepo hapo kwenye ko labda kama huyo mwandishi ni kanjanja au ana malengo ya kupotosha umma...
Tafakari...
Ndoo maana Polepole anasema katiba hii lazimishwa haifai kwani mmoja ya vipengele ni kinachowaruhusu wapopoa embe kama mtoa uzi kugombea ubunge. Eti polepole amevunja ukimya? Toka lini polepole amekuwa kimya? 24/7 polepole is busy working on this matter kwa kuongea na mtu mmoja mmoja, asasi na kuongea na nchi kwa kutumia vyombo vya habari.
Wewe mpopoa embe umetumwa na nani kujifanya mwelewe humu JF?
Unagongwa rungu hapo ndiyo kaikubali .
Hawa wanalipwa 'kwa kudhani' ni watu smart wanaoweza kutimiza haja za waliowatuma. Kwa bahati mbaya sana nchi yetu imekuwa na tatizo sekta zote. Unaweza ambiwa huyo ni afisa usalama wa kanda, au ukaambiwa ni wa vyombo vya dola, na wala usishangae ukisikia ni mjumbe wa kamati kuu ya chama.
I mean ile Tanzania tunayoijua si hii ya leo. Hivi kweli kuna mtu mwenye uwezo mzuri wa akili anaweza kupotosha umma kwa njia za kitoto kama huyu bwana.
Hivi hii habari ambayo iko cited mwananchi inafanana na title yake? Utasema kweli mwandishi anajua anachokiandika au ni ukanjanja? Au unatijia upofu tu kisa unaunga mkono katiba pendekezwa? Kuwa na fikra huru acha kuwa affected na mahaba ya katiba pendekezwa.
Imekugusa na kukugaragaza hadi nawe ukamuunga mkono Bwana Pole Pole. Sasa wewe utakuwa Bwana Mwendakasi. Karibu kwenye forum.
Wakati mwingine ukubali chngamoto ili uweze kujifunza. Unapokomaa kuwa na kusema "Utasema kweli mwandishi anajua anachokiandika au ni ukanjanja?" tambua umuhimu na faida za kujenga, kukuza na kuendeleza amani na umojawa taifa la Tanzania kwa kuzingatia, urithi tulioachiwa na Waasisi wa Taifa letu wa kujenga nchi yenye umoja wa watu wake ambao hawabaguani kwa misingi ya ukabila, dini, rangi, jinsi, ulemavu au ubaguzi wa aina nyingine yoyote.
Kubali kusikia ya wengine pia ili ujifunze usikariri tuuu unachotaka kusikia wewe na kuacha kusikia wanchosema wengine ukidhani mara zote upo sahihi. Badilika, chukua hatua jali na kuipenda nchi yako wewe.Ukitaka kuwa msemaji mzuri na mkweli penda pia kuwa msililizaji mzuri.
Hawaishi kuonyesha upumbavu wao wa hali ya juu katika kulazimisha katiba yao ya MACCM ikubalike na Watanzania.
Asiye na hoja mara zote huishia na kuropoka ropoka. Hivi akili zenu mmekosa la kusema? kila ukiandika unarudia maneno eti oh! chama flani oh! hli na lile. Jamani Vyama visiwe chanzo cha wajanja wachache kama BAK kutudanganya na kupotosha umma wa Watanzania juu ya masuala ya kitaifa. Wao wanalao jambo ambali wanalijua. Watanzania Tanzania kwanza vyama baadaye. Vyama hivyo vitumike kwa manufaa ya kujenga nchi na sii kuwagawa wananchi.
Wewe upepo kichwani hakuna kitu ndo maana Mwalla kakuoa, utaishia hivo hivo kuongea maana si kazi yako inayokupa ridhiki ya kula na baba yako na mama yako hapo kwenu, huna jinsi ya kufanya bila ya hiyo kazi ndo maana hukauki humu ndani kupinga mambo yenye maana, sasa endelea na huo ushenzi wako afu tuone mwisho wa siku nani atakuwa mshindi.Mpumbavu wewe unaweza kuandika chochote ili kufurahisha nafsi yako na kuhakikisha unapata ujira wako wa leo kule lumumba ili uweze kwenda choo. Yote ninayoandika hapa sina nia ya kupotosha Watanzania kama wewe na Wapumbavu wenzio mfanyavyo. Kuhusu Serikali kuwa ya kidhalimu ushahidi wa kutosha upo, kuhusu ufisadi ushahidi wa kutosha upo, kuhusu kupokea rushwa ushahidi wa kutosha upo, kuhusu rasilimali za nchi kufujwa na kutoinufaisha Tanzania hili pia liko wazi kabisa. Kwa hiyo wewe mpumbavu furahisha nafsi yako, lakini kamwe siwezi kuja hapa kuandika kitu ambacho sina uhakika nacho eti kwa nia ya kuwapotosha Watanzania wenzangu.
Wewe zako je zinakutosha au Mwendapole kakuchumbia? Eleza ukweli tujue na utupe kadi za ndoa yako na huyo mmeopya unaemtetea humu ndani.Hili ndio tatizo la watamzania hatutaki kuambiwa ukweli...Sidhani kama Polepole anaweza kuwa akili mbovu kama zako kwanini ulazimishe kila mtu atumie akili zako wakati mwenyewe hazikutoshi!!
Kama wewe vile ulivyokurupuka ukidhani wanagawa chakula cha njaa humu JF! hahahahah pole sana jipange skwa mengine lkn sio kwa hili mwehu weeee.mleta mada ndo umekurupuka mana heading na content hata haviendani
Wewe upepo kichwani hakuna kitu ndo maana Mwalla kakuoa, utaishia hivo hivo kuongea maana si kazi yako inayokupa ridhiki ya kula na baba yako na mama yako hapo kwenu, huna jinsi ya kufanya bila ya hiyo kazi ndo maana hukauki humu ndani kupinga mambo yenye maana, sasa endelea na huo ushenzi wako afu tuone mwisho wa siku nani atakuwa mshindi.
Wewe kama sio Mariam Kisangi, utakuwa Assumpta Mushana! Naona umeweka signature ya mipashomipasho, comments, zako za k.senge. Utakuwa bwawabwa ww. Nyambaf....!:banplease:sawasawa mwisho wa siku UKAWA wote wataikubali tuuu.
Mpumbavu wewe kazi ya kuwasema wenzio au we umeolewa eeeenh? Inamana na we unavyochonga hapo watu wakuiteje mama wa mipasho? Kaimbe taarabu huko shoga wewe muosha huoshwa! Popo weeeWewe kama sio Mariam Kisangi, utakuwa Assumpta Mushana! Naona umeweka signature ya mipashomipasho, comments, zako za k.senge. Utakuwa bwawabwa ww. Nyambaf....!:banplease:
Wewe kahaba nenda kajiuze huko Buguruni, Mariam mama yako na Assumpta Mushana mama yako, aloweka signature ya mipasho mama yako na baba yako, comments zako ndo za k.senge, bwawabwa ni huyo alokuzaa na kukutuma uje kuweka huo uharomwako humu JF, Nyambafu ni wewe maana ulikimbia Mirembe, ona hiyo avatar yako kama lisura lako, kama umeishiwa hoja kojoa ukalalwe hukoo. Kenge mkubwa weeee!Wewe kama sio Mariam Kisangi, utakuwa Assumpta Mushana! Naona umeweka signature ya mipashomipasho, comments, zako za k.senge. Utakuwa bwawabwa ww. Nyambaf....!:banplease:
Sura kama Yugu vile khaaaaaaaaaaaaaaaaaahata biblia ukisoma mstar mmoj lazima uende chaka na potoka kama mleta thread hii
Wewe mama BAK mmeo MWALLA umemuacha wapi? Maana mnaingiaga pamoja humu ndani, sura ka kinyesi vile.Hahahahaha lol! Taahira umekosa hoja sasa unaanza kuleta viroja. Eti mambo yenye maana!! Hii Serikali inaweza kufanya lolote la maana!!! Kwanini Kinana alimshinikiza Kikwete afukuze Mawaziri mizigo? Kwanini mlichakachua maoni ya Watanzania kuhusu katiba? Acha upumbavu wewe na kutumika kama ndom kuisaliti nchi yako fungua akili yako achana na uzuzu.