avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Wanaingiliwa sana na wanasiasa, wanaharakati pamoja na wenye msimamo mkali kama yeyeAhaa basi polisi wetu waanzie hapa huko alikoenda kusoma ilikuwa kusomea nini baada ya dini au laa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaingiliwa sana na wanasiasa, wanaharakati pamoja na wenye msimamo mkali kama yeyeAhaa basi polisi wetu waanzie hapa huko alikoenda kusoma ilikuwa kusomea nini baada ya dini au laa
AhaaNiliwahi kusoma habari ya kijana mmoja kutokea nchi za ulaya alikuwa akieleza jinsi alivyotaka kuangukia kwejiunga na vikundi vya ugaidi. Ila sifa mojawapo niliyoiona Ni kuwa wanakuwaga wapole Sana kwenye jamii lakini myoyoni mwao Ni hatari zimejaa.
Unachosema ni sawa na kumwambia mtu atajua kuogolea kwa kujifunza kwa njia ya youtubeUkicheza GTA V au Youtube unaweza kula kozi vizuri tu.
Shida itakua pa kuipata hiyo silaha
Mimi ninachowaomba Wazazi msituzalie watoto wa aina hii ya Simon sero. Wasiojua hata kutofautisha picha zilizopigwa na YASHICA na zile zinazotokana na CCTV cameras.Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.
Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Ndio mkuu... uonevu umezidi....Ahaa kwa hiyo wawe wanarudisha wakipigwa
Ndiyo ninachomaanisha. Kenya ilipeleka mtu mashindano ya Olimpiki katika kategori ya kurusha mkuki.Unachosema ni sawa na kumwambia mtu atajua kuogolea kwa kujifunza kwa njia ya youtube
Utakua lofa kama utaanza na kina kirefu.Kujifunza kutumia silaha kupitia YouTube Ni sawa na Kujifunza kuogolea kupitia YouTube siku ukiingia kwny swimming pool/baharini utakunywa vikombe mpk ushangazwe.
Ukiangalia ule utumiaji wa silaha na jinsi alivyoishikia pale begani na namna alivyokuwa ana piga na kujilinda kama unajua au uliwahi pitia huko yule jamaa anaonekana ni mtaalam kweli kweli.
Na silaha kama silaha kama hujawahi jifunza kuitumia, risasi moja ukipiga silaha inakupeleka/kukuvuta eidha kulia au kushoto wakati mwingine inakuangusha au kuchoropoka mikononi, lakini Hamza kwa utaalaam wa ushikaji tena madhubuti utembeaji na upigaji kwa kweli yule alikuwa sio mwalimu tuu ni sniper kabisa Je? Atakuwa haya mafunzo alijifunzia /kufundishiwa wapi?
Na utakua lofa kuamini mlio wa risasi tu ya live unafanana na utopolo wa game za GTA huku ukikwepa live bullets na YouTube ikifundisha confidence za kupambana na risasi.Utakua lofa kama utaanza na kina kirefu.
Mtaani vichaa,waokota makopo,fundi cherehani,vinyozi wote Ni mwewe Hahah.Sema tu halitawekwa wekwa wazi ila jamaa alikuwa mwewe na aliaminika sana...
Hehehe kwahiyo unavyojua wewe watu hua wanatrain na live bullets?Na utakua lofa kuamini mlio wa risasi tu ya live unafanana na utopolo wa game za GTA huku ukikwepa live bullets na YouTube ikifundisha confidence za kupambana na risasi.
Hua wanawa train kwa kutumia manati ya kipago Hahah.Hehehe kwahiyo unavyojua wewe watu hua wanatrain na live bullets?
Hahahah umejibu vizuri kabisa mkuu sasa mtua anashangaaje mwanaume mtu mzima kutumia bunduki tena ukute huyu mtu na jkt amepitia ila anaona bunduki kitu specialUnamaanisha hivi?View attachment 1914584
Na Hamza walimkata akiwa mzima wakampiga risasiUsimsifie Hamza. Tatizo ni polisi wetu. Wamefundishwa kuzuia maandamano ya raia wasiokuwa na silaha akina Mbatia, CHADEMA, Rungwe... Kwenye silaha hamna kitu. Hata majambazi unaosikia eti wameuawa na polisi eti wakati wa kurushiana risasi ni uongo. Huwa wanawakamata wakiwa hai na kuwapiga risasi.