peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Aendelee mola atamaliza ugomvi wetu na yeye .KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
Mimi nitaikubali hiyo sifa ya kupotosha, kama itasaidia kuinusuru nchi yetu na ujinga huu unaoendelea ndani ya serikali hii.IGA haina matatizo hayo unayoyasema wewe. Kama yapo yaweke hapa ili yafanyiwe kazi.
IGA imeandikwa na wajuzi wa sheria za uwekezaji na za kimataifa na usidhani ni kazi ya wiki moja au mbili, ni kazi iliyoumiza vichwa vya watu kwa miezi kadhaa.
Tuliingia mkataba na TICTS miaka 22 iliyopita, mbona nchi mpaka kesho bado imesimama?.
Unajaribu kupotosha kwa kujifanya muungwana anayetumia lugha za kiungwana.
Ni wale wale tu.
Wasingekubaliana na huo ujinga hata siku mojaSasa naanza kuelewa ni kwanini lukuvi na Kabudi ilibidi wawe nje ya Baraza
Uoga wako ni wa kawaida sana kusikika miongoni mwa watanzania. Mapinduzi ya TPA yalikuwa yanacheleweshwa na wezi wanaovaa masuti na tai nyekundu, dawa yao imeshapatikana.Hizi ni propaganda nisizokuwa na muda nazo kabisa.
Samia akitaka kuwa kiongozi mzuri wa nchi hii, asimamie serikali yake na watendaji wake watimize wajibu wao kwa wananchi.
Afanye kazi na waTanzania zaidi kuliko kudhani waTazania hawawezi kufanya kazi kwa ufanisi.
Aaachane na hii tabia ya kufanya mambo kiujanja ujanja na hadaa. WaTanzania ni watu waelewa sana; wanapoona hila wanazitambua kuwa ni hila.
Wewe usidhani waTanzania hawakuelewa Magufuli alikuwa akifanya nini, pamoja na ukichaa wake mwingi aliokuwa akiuonyesha mara kwa mara.
Kama wewe unadhani Samia haleti uharibifu mkubwa katika anayoyafanya sasa, kuliko alivyokuwa akifanya Magufuli, waTanzania wanaelewa ni nani mwenye madhara makubwa kwa nchi yetu, kati ya Magufuli na Samia.
Kwa hiyo usije hapa na vitisho vya Magufuli, na kusifu umalaika wa Samia.
Kuisafisha bandari kwanza ni mojawapo ya hatua za kuinusuru nchi yetu.Mimi nitaikubali hiyo sifa ya kupotosha, kama itasaidia kuinusuru nchi yetu na ujinga huu unaoendelea ndani ya serikali hii.
Sana.Sasa naanza kuelewa ni kwanini lukuvi na Kabudi ilibidi wawe nje ya Baraza
Unanipotezea muda.Uoga wako ni wa kawaida sana kusikika miongoni mwa watanzania. Mapinduzi ya TPA yalikuwa yanacheleweshwa na wezi wanaovaa masuti na tai nyekundu, dawa yao imeshapatikana.
Sioni lolote la kujibu hapa. Unajaza tu nafasi.Kuisafisha bandari kwanza ni mojawapo ya hatua za kuinusuru nchi yetu.
Ni mwendo wa hoja tu humu jukwaani. Hili ni jukwaa huru.Unanipotezea muda.
Lakini kwa wao hadi wakati huu kukaa pembeni na kuwa kama hawaoni kitu, ni sehemu ya tatizo kubwaWasingekubaliana na huo ujinga hata siku moja
hata ujinga/upumbavu unaowasilishwa humu ni hoja, sipingi hilo.Ni mwendo wa hoja tu humu jukwaani. Hili ni jukwaa huru.
Hilo nalo nenoLakini kwa wao hadi wakati huu kukaa pembeni na kuwa kama hawaoni kitu, ni sehemu ya tatizo kubwa
Tatizo walioko visiwani ndio majibu yaoKuisafisha bandari kwanza ni mojawapo ya hatua za kuinusuru nchi yetu.
EEeeenHeeee!Uoga wako ni wa kawaida sana kusikika miongoni mwa watanzania. Mapinduzi ya TPA yalikuwa yanacheleweshwa na wezi wanaovaa masuti na tai nyekundu, dawa yao imeshapatikana.
Hapana siyo mwanasheria wa serikali. Yeye ni mvaa kobazi.KUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
DPW anafunga mitambo pale bandarini muda wowote kuanzia sasa.Tatizo walioko visiwani ndio majibu yao
Mwenyekiti wa Timu ya majadilianoKUNA mwanasheia mmoja anaitwa HAMZA JOHARI ndiye anayetolea ufafanuzi vipengele vya Mkataba wa Bandari kunaopigiwa kelele na watanzania kila siku kwenye vyombo vya habari. JE YEYE NDIYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI? Au ni Nani sijaelewa
View attachment 2664532
Hamza Johari
Rafiki wa karibu wa marehemu JPM kwa namna alivyokuwa akitatua masuala mbalimbali haswa haya ya Mikataba.Mwenyekiti wa Timu ya majadiliano
Mkurugenzi wa mamlaka ya anga na mwanasheria mbobezi wa international laws.Hapana siyo mwanasheria wa serikali. Yeye ni mvaa kobazi.