Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,240
- 2,010
Huna Hoja uliyoitoa...zaidi umeonesha Ujinga wako ulivyo.Mjinga sio wewe unayesema mimi ni mjinga halafu unakosa hoja ya kuhalalisha matusi yako?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna Hoja uliyoitoa...zaidi umeonesha Ujinga wako ulivyo.Mjinga sio wewe unayesema mimi ni mjinga halafu unakosa hoja ya kuhalalisha matusi yako?.
Ndio maana ya vetting,hakuna Cha milele ni wewe unazusha tuu na wapotoshaji wenzio.Alipounda timu akaacha maelekezo wapewe DPW milele halafu akafa Kwa hiyo hatuwezi kupingana na Marehemu, si ndiyo?
Huyo mtu wa anga aliteuliwa na JPM 2016 na kupewa cheo hicho. Ni mmoja wa watu aliowaamini sana hayati alipokuwa hai.Oyaaa Marehem aliwafukuzia mbali WACHINA WA BAGAMOYO.
Ije kua DP world 😂😂😂
Tangu lini mtu wa Anga, kuja kusema Bandari 🤣🤣.
Usiombe uzungukwe na Vilaza na wachumia tumbo, Kila siku watazidi kukuharibia
Jikite kwenye hoja,taarabu kamuimbie mkeoUnakaa kilimanyege, mchamba wima, au kibanda maiti! Tafadhali address yako ni muhimu
Huelewi unachokiandika. Lakini huwezi kulaumiwa iwapo uliiweka imani yako kwa hayati na mapenzi yakapitiliza.Nasema tena mkuu, bebeni uchafu wenu wenyewe, acheni kujificha kwa Magufuli.
well said... isijekuwa unaemjibu ni MsukuleAibu hamna mnataka kumsingizia marehemu?
Mbona aliowaweka jela mmewatowa?
"Opptimistic" kwa matarajio ambayo yameandaliwa kwa mizengwe!How? Mimi ni optimistic
Kabla ya kuchangia ni muhimu kujua address huo ni ustaarabu wa kawaida kabisaJikite kwenye hoja,taarabu kamuimbie mkeo
Ajabu ni ipi? Mimi napenda Ufanisi na Niko clear kabisa Kwa sababu zifuatazoHuyu choicevariable either Kwa kutumwa au kujituma amekua anatumia nguvu kubwa sana kutetea DP WORLD 🌎
All in all,
Mimi binafsi sipingi ubinafsishaji wa bandari zetu,
Haiingii akilini Wala hai click ubongoni kubinafsisha bandari zetu bila kupitia Kwa Kuna na kinaga ubaga tena kipengele Kwa kipengele........
Kuna clip nyingi tu za The late JPM akiwachana na kushangaa mikataba ya ajab ajab ambayo serikali huingia kichwa kichwa mwisho wa siku Ina COST
Hii ishu inamchafua na itamchafua mama Samia....Mimi ningekua mama Samia ningezicheza karata zangu kivingine.........
Mama Samia ajue anaongoza MAPAKA DUME kama umewai kufuga au kuishi na MAPAKA 50 ndipo utakuja kujua Kila PAKA ni mjanja kutawala MAPAKA ni issue ngumu asikwambie mtu..🙂🙂🙂
Issue na doubt kubwa ni kuingizwa kwenye mikataba ya mashaka hio NDIO hoja na wasipo angalia upotoshaji ni mkubwa MNO........hasa huko vijijini ndani ndani uelewa wao ni mdogo sanaa.....
Na deal na contents sihitaji address..Kabla ya kuchangia ni muhimu kujua address huo ni ustaarabu wa kawaida kabisa
Mizengwe kivipi? DP World ni sawa na Tics?"Opptimistic" kwa matarajio ambayo yameandaliwa kwa mizengwe!
Kumbuka kuwa Historia ni funzo kubwa katika maisha kama Wahenga walivyonena Kujikwaa siyo kuanguka au Usilolijua ni kama usiku wa giza.
Hivyo basi, nakushauri uwe mwangalifu unapoleta hoja humu jamvini kwani Ukweli ukidhihiri uwongo hujitenga
Sawa sawa Bi Rashda ZundeNa deal na contents sihitaji address..
Taarabu kamuimbie mumeo
Tundu Lisu: CCM kila kitu kibaya wanamsingizia Magufuli kwa sababu amekufa!nina mashaka ni vile marehemu hawezi kurudi duniani
Acheni kupotoshaTundu Lisu: CCM kila kitu kibaya wanamsingizia Magufuli kwa sababu amekufa!
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”
pamoja na mapungufu yake kama binadamu. magu hakusaini mkataba wa kishenzi kipindi chake kama huyu mama alivyofanya. Alipoingia ikulu alikuta deal la wachina kujenga sgr kwa usd5mil kwa kilomita. magu akakataa akawapa waturuki kwa usd3mil kwa km.Tundu Lisu: CCM kila kitu kibaya wanamsingizia Magufuli kwa sababu amekufa!