Hamza Johari: Timu ya Uchunguzi wa Mkataba wa DP World iliteuliwa na Hayati Magufuli, Rais Samia anaendeleza mchakato

Hamza Johari: Timu ya Uchunguzi wa Mkataba wa DP World iliteuliwa na Hayati Magufuli, Rais Samia anaendeleza mchakato

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mataahira yameona yakimtaja Magufuli kwenye huo uharo wao yatajinasua na lawama?

Ni hivi huo ushenzi wenu kila mtanzania ameuona kwa hiyo hamna kichaka mtajificha
 
Huyo Johari ni laana.

Hajui anavyomsingizia marehemu, ndio mama msaliti wa Tanganyika anazidi kuchukiwa.
Johari ni kichwa cha hayati JPM na ni yeye aliyempa kazi baada ya kuwa amebaniwa kupewa cheo enzi za JK baada ya mkwere kumuidhinisha kwa kusaini barua halafu akairudisha kwa Mwakyembe wizarani.

Huko wizarani wakaiweka barua ndani ya kabati, kama ilivyo kawaida ya nafsi zetu watanzania, roho mbaya.

Alipoingia madarakani JPM, katika mkutano fulani ndio jamaa akawa anamwaga shule kwa kwenda mbele. Hayati JPM akauliza huyu kijana ni nani?.

Akaamua kumpa nafasi ya ukurugenzi wa mamlaka ya anga TCAA, kuanzia hapo wakawa marafiki wawili wakubwa.

Hivyo lengo sio kumchafua hayati kama inavyosemwa katika huu uzi, hayo ni maneno ya kweli kwamba JPM ndiye mhusika mkuu wa suala zima la bandari.
 
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist

-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”


Hamza Johari unatoka mkoa gani Tanzania bara?
 

Attachments

  • IMG_0547.MP4
    3.4 MB
Yani nilivyoona Rostam Aziz amerudi basi nilijisemea tu huyu mtu safari hii ana hasira kuliko mwanzoni.

Sasa anatuibia mpaka bundle za Tigo, yani ukiweka GB moja usithubutu kufunguwa video utakoma ubishi, kwenye hili la DP kama Rostam hausiki mninyonge nife.
Kwani Rostam karudi kipindi cha Samia? Magufuli kabla hajafariki alikuwa Morogoro kufungua kiwanda cha Rostam au ulikuwa umelewa hukuona?
 
Johari ni kichwa cha hayati JPM na ni yeye aliyempa kazi baada ya kuwa amebaniwa kupewa cheo enzi za JK baada ya mkwere kumuidhinisha kwa kusaini barua halafu akairudisha kwa Mwakyembe wizarani.

Huko wizarani wakaiweka barua ndani ya kabati, kama ilivyo kawaida ya nafsi zetu watanzania, roho mbaya.

Alipoingia madarakani JPM, katika mkutano fulani ndio jamaa akawa anamwaga shule kwa kwenda mbele. Hayati JPM akauliza huyu kijana ni nani?.

Akaamua kumpa nafasi ya ukurugenzi wa mamlaka ya anga TCAA, kuanzia hapo wakawa marafiki wawili wakubwa.

Hivyo lengo sio kumchafua hayati kama inavyosemwa katika huu uzi, hayo ni maneno ya kweli kwamba JPM ndiye mhusika mkuu wa suala zima la bandari.
😄😄😄 Kwahiyo mnakiri Mkataba ni mbovu

Tundu Antipas Lisu asingemmwagia sifa Shujaa Magufuli jana hiyo Joha angenyuti tu!
 
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist

-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”


Huyu mbona ni mkurugenzi wa mambo ya anga anahusika vipi na bandari nguvu kubwa sana inatumika kutetea huu makataba
 
😄😄😄 Kwahiyo mnakiri Mkataba ni mbovu

Tundu Antipas Lisu asingemmwagia sifa Shujaa Magufuli jana hiyo Joha angenyuti tu!
Uelewa wa wengi wetu bado upo chini kwenye suala hili. Tatizo wanasheria na wao wana bei zao, ni binadamu kama mimi na wewe, wanapokuwa na sauti kama Tundu Lissu ni rahisi kucheza na mindsets nzima ya jamii.

Hakuna anayesema kwamba mkataba ni mbovu.
 
Back
Top Bottom