Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kabisa mkuuWatanzania wengi hawalalamiki uteuzi wa timu. Mbona hatuelewani? Tulalamika contents za mkataba. Mbona anataka kutupotosha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuWatanzania wengi hawalalamiki uteuzi wa timu. Mbona hatuelewani? Tulalamika contents za mkataba. Mbona anataka kutupotosha?
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”
Hivi hawa watu wanatuonaje watanzania? Hakuna anaekataa uwekezaji nyie wahishimiwa. Tunakataa vifungu vya hovyo vilivyomo kwenye mkataba huo. Mbona hamtaki kutusikiliza? Kwa nininaving'ang'ania? Kwa nini hamtaki vibadilishwe? Kuna nini nyuma ya pazia?
Mwendazakemagufuli yupi?
Ooh!!Si ndio anatajwa alishiriki kwenye negotion ya mkataba
Kwani huo mkataba uliingiwa wakati wa uhai wa Magufuli? Kama hapana, ni tatizo la awamu ya sita!Mnamtaja magufuli ili mmsafishe samia aliyeamua kuuza nchi kwa waarabu?
Mnajidanganya
Johari ni kichwa cha hayati JPM na ni yeye aliyempa kazi baada ya kuwa amebaniwa kupewa cheo enzi za JK baada ya mkwere kumuidhinisha kwa kusaini barua halafu akairudisha kwa Mwakyembe wizarani.Huyo Johari ni laana.
Hajui anavyomsingizia marehemu, ndio mama msaliti wa Tanganyika anazidi kuchukiwa.
Kwa hiyo mama hachanganyi na za kwake?Engineer ameshajulikana, mama ameweka sign tu kuendeleza kama anavyoendeleza SGR na bwawa la umeme
Ameshachanganya na zake ,hakuna shidaKwa hiyo mama hachanganyi na za kwake?
Ameshachanganya na zake ,hakuna shida
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”
Kwani Rostam karudi kipindi cha Samia? Magufuli kabla hajafariki alikuwa Morogoro kufungua kiwanda cha Rostam au ulikuwa umelewa hukuona?Yani nilivyoona Rostam Aziz amerudi basi nilijisemea tu huyu mtu safari hii ana hasira kuliko mwanzoni.
Sasa anatuibia mpaka bundle za Tigo, yani ukiweka GB moja usithubutu kufunguwa video utakoma ubishi, kwenye hili la DP kama Rostam hausiki mninyonge nife.
😄😄😄 Kwahiyo mnakiri Mkataba ni mbovuJohari ni kichwa cha hayati JPM na ni yeye aliyempa kazi baada ya kuwa amebaniwa kupewa cheo enzi za JK baada ya mkwere kumuidhinisha kwa kusaini barua halafu akairudisha kwa Mwakyembe wizarani.
Huko wizarani wakaiweka barua ndani ya kabati, kama ilivyo kawaida ya nafsi zetu watanzania, roho mbaya.
Alipoingia madarakani JPM, katika mkutano fulani ndio jamaa akawa anamwaga shule kwa kwenda mbele. Hayati JPM akauliza huyu kijana ni nani?.
Akaamua kumpa nafasi ya ukurugenzi wa mamlaka ya anga TCAA, kuanzia hapo wakawa marafiki wawili wakubwa.
Hivyo lengo sio kumchafua hayati kama inavyosemwa katika huu uzi, hayo ni maneno ya kweli kwamba JPM ndiye mhusika mkuu wa suala zima la bandari.
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”
Wabaguzi wamo wengi humu. Wanakosa hoja wanapoambiwa kuwa hayati JPM ndiye mhusika wa bandari.Kwani Rostam karudi kipindi cha Samia? Magufuli kabla hajafariki alikuwa Morogoro kufungua kiwanda cha Rostam au ulikuwa umelewa hukuona?
Anawapeni walinda legacy ile kitu roho zenu inapenda.Kwa hiyo mama hachanganyi na za kwake?
Suala la TICTS mpaka mkataba ukaongezwa mwaka 2017 ni yeye pia. Ni kichwa fulani kimehusika kwenye masuala mengi ya kiserikali haswa haya ya mikataba.Huyu mbona ni mkurugenzi wa mambo ya anga anahusika vipi na bandari nguvu kubwa sana inatumika kutetea huu makataba
Uelewa wa wengi wetu bado upo chini kwenye suala hili. Tatizo wanasheria na wao wana bei zao, ni binadamu kama mimi na wewe, wanapokuwa na sauti kama Tundu Lissu ni rahisi kucheza na mindsets nzima ya jamii.😄😄😄 Kwahiyo mnakiri Mkataba ni mbovu
Tundu Antipas Lisu asingemmwagia sifa Shujaa Magufuli jana hiyo Joha angenyuti tu!