Hamza Johari: Timu ya Uchunguzi wa Mkataba wa DP World iliteuliwa na Hayati Magufuli, Rais Samia anaendeleza mchakato

Hamza Johari: Timu ya Uchunguzi wa Mkataba wa DP World iliteuliwa na Hayati Magufuli, Rais Samia anaendeleza mchakato

Kwenye hili mama hakwepi hata anunue vichawa vingine waongeze nguvu kumtetea, ila wanatanzania wa miaka 10 iliyopita siyo kama wa leo, wanajua na wanaouwezo wa kuhoji inapobidi!

Mambo yamebadirika mno

Narudia tena, kuendelea kumsingizia Magufuli leo, ni dhahiri kwamba kosa wanalo ila hawataki kujitokeza kuomba poo!
Akwepe Kwa lipi hasa baya?
 
Wakishindwa wanamuangushia zigo Magufuli, hiyo ni hulka ya watu wavivu na incompetent, yaani Magufuli apugania Bomba la Mafuta ktk Uganda mpka Bandari ya Tanga halafu akaingie mkataba na kuizuia Bandari ya Tanga isisafirishe Mafuta?
😂😂😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist

-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”

Mkuu ChoiceVariable wewe ni "Dependent Variable" au "Independent Variable"? Mbona hamjibu swali langu la msingi Kwa nini Serikali ya JMT haikubariki MoU kati ya TPA, shirika lake, na DPW ya Dubai, iliyosainiwa 28/2/2022, badala yake ikaingia Mkataba wa IGA uliosainiwa 18/10/2022, tofauti na makampuni mengine yanayowekeza nchini?
 
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist

-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”


NI DHAMBI KUMSINGIZIA ALIETANGULIA...
 
Mkuu ChoiceVariable wewe ni "Dependent Variable" au "Independent Variable"? Mbona hamjibu swali langu la msingi Kwa nini Serikali ya JMT haikubariki MoU kati ya TPA, shirika lake, na DPW ya Dubai, iliyosainiwa 28/2/2022, badala yake ikaingia Mkataba wa IGA uliosainiwa 18/10/2023, tofauti na makampuni mengine yanayowekeza nchini?
Siko Serikalini Wala TPA so siko kwenye nafasi ya kujibu Hilo.

Wa tag wahusika wapo kwenye social media..

Mimi ni independent variable
 
Mkuu ChoiceVariable wewe ni "Dependent Variable" au "Independent Variable"? Mbona hamjibu swali langu la msingi Kwa nini Serikali ya JMT haikubariki MoU kati ya TPA, shirika lake, na DPW ya Dubai, iliyosainiwa 28/2/2022, badala yake ikaingia Mkataba wa IGA uliosainiwa 18/10/2023, tofauti na makampuni mengine yanayowekeza nchini?
Akikujibu nistue mkuu
 
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist

-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”


Huyu wa anga anaongelea ya bandari?
 
😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist

-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”


Uzuri JPM alishatusanua mapema kabisa. Kwahiyo tunajua. Nyie pambaneni na hari yenu.
 
Back
Top Bottom