'Hangover' ya propaganda za utawala wa Magufuli zitadumu kwa baadhi ya watu milele

Ingia basi hata ajira portal uangalia?

Sasa kila kitu ukitaka tukuwekee hapa huoni tutakuwa tunarudia mambo? Unamiliki technolojia unashindwa kuji update?

Alizindua viwanda hadi mkalalamika, sijui hizi propaganda mnazipika za Nini! Tanzania ya Viwanda mmepotezea Sasa hivi kazi ni kulamba Asali tu. Kamba zimeshakatika kwa hiyo ni mwendo wa kula kokote tu.
 
Getrude Mollel hivi ndio wewe O brain wa kule twitter?
 
Nonsense
 
Mbona unateseka hivi
kumtetea Mwendazake kuliko hata mahawara zake? Kwani
wewe ulikuwa nani wa
Magufuli?
Mama Janet mwenyewe
tumuona ananawiri baada ya
kumzika DIKTETA
Niteseke kwani mimi ndio mwenye hasira na maiti au ninyi ndio wenye hasira na maiti ndio maana kila siku mnafungua nyuzi kumzungumzia kuonesha hasira zenu?

Mimi nachokifanya ni kuonesha jinsi chuki zenu zilivyowaathiri kiasi kwamba akija mtu na kuwaambia chochote kibaya kuhusu Magu mnakikubali tu kisa kinamzungumzia vibaya Magu bila kujari hata kama kuna contradiction.

Huyo huyo Magufuli mlisema alichanja chanjo ya corona ya wachina kisiri siri na huyo huyo Magufuli alipokufa nyie nyie tena mnasema amekufa kwa corona kwa sababu hakuchanja alidharau corona.
Yote hayo ni chuki tu, sasa mimi nikieleza hayo ndio unaona namtetea Magufuli?
 
Magufuli kaua hilo halina ubishi. Siyo kwa sababu wewe uko hai na kwenu hakuna aliyeuliwa ndiyo useme hakuna! Jiulize tu kwa nini hatumuandiki Kikwette au Mwinyi na Mkapa kwa habari hizi? Kwa nini yeye tu!!
Iv waliouliwa Zanzibar alikuwa ni magufuli acha akili za kibwabwa
 
Hata mumchfue vp yeye atabaki kuwa rais bora na mzalendo kuwahi kutokea nchi hii ukimtoa nyerere.. tumeshaamini hivi na ww amin mama ako ndo rais bora
 
Magu ni mtu mwizi sugu wa siku nyingi. Prof Assad alikagua akakuta Trillion 1.5 haijulikani ulipo, hazina haipo na wala haina maelezo ya matumizi. CAG Uttoh juzi amesema kuna Trillion 1.2 hazionekani. Lakin pia huyu jamaa ana historia ya wizi toka yupo wizara ya ujenzi, ni mabilioni na mabilioni yameibiwaga kipindi chake. Na aliposhika madaraka ndo akawa anaua anavyotaka yoyote ambae anaenda kinyume nae


 
Mbona vifo vya namna hivyo
havijawahi kutokea wakati mwingine bali wakati wake
pekee?
Ndio maana ni vizuri kujua uhusiano wa hivyo vifo na Magufuli ila tukisema tu kwamba tumuhusishe Magufuli kwa sababu hivyo vifo vilikuwa vinatokea katika kipindi chake basi pia endapo sasa hivi kutatokea vifo vya aina nyengine ambavyo havikuwai kuwepo tutasema anayeuwa ni Samia kwa sababu hivyo vifo havikuwepo vimetokea kipindi chake.

Hata kama una msimamo wa kwamba Magufuli alikuwa muuwaji ila haingii akilini kwamba et unaweza kumuhusisha na kifo chochote tu kisa yeye ni muuwaji.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika
Kabisa!

Na sasa tunainjoi maisha tunapumua!

Hakika sasa mahela yamejaa mifukoni!

Bei za bidhaa chini!

Democrasia kila kona!

Hakika tunapumua

Hata kama ulivyotaja kwa uchuro havipo, ni mara elfu kuliko kipindi cha dhalimu.
 
Kwan bunge la Sasa lina afhadhal gan
 
Naona Mnapambania Watu shibe zao.


Wengine wapo kazini mkiwajibu wanapata walau kitu[emoji23] ( Hii andiko ni la kimkakati)
 
Ona huyu pimbi! Kazikwe nae Chato, mbwa Wewe, nilimkula
Acha uzwazwa!

Magufuli vile, Magufuli hivi,

Jengeni nchi acheni kujificha kwenye kivuli chake mataahira nyie
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika


Hata kama ulivyotaja kwa uchuro havipo, ni mara elfu kuliko kipindi cha dhalimu.
Si kwa mabwana zenu kina mbowe walizibiwa milango ya kuramba asali
 
Marehemu 7 vs 0 WalioHai

Ni marehemu , alafu yuko mmoja , ila anawagaragaza sana
 
Kama ni vile viwanda vya cherehani tatu sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…