Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

sio waziri tena mkuu
 
Hatimaye zamu ya Hanspope imefika Mkuu.
 
Kumbe jamaa kaamza uu-IMLA kitambo sana.
 
Sasa hivi yamemtokea puani. Jiwe hua hasahau wabaya wake
 
Ingekuwa hii post in ya siku hizi ungeitwa Chadema na mchochezi.
Kumbe watu walisha muona siku nyingi ni MTU was aina gani
 
Tuombe Mungu tuu Hans Pope asije pata mawazo yale ya 1981/82 alipokuwa na wenzake kina Kadego, Komando, Maganga nk.
Maana ile timu ingekuwa kwa sasa ambapo wale jamaa wa kwa Zakaria weledi wao unatia mashaka habari yaweza kuwa ya kuogofya
 
Nimesikia msemaji wa TAKUKURU redion jioni hii anasema huyo Hans Poppe anasakwa kwa tuhuma cjui ya nyasi za TFF na hajapatikana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…