Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Hans yu sahihi, mr Pombe anakurupuka sana.anashangaa mizani iringa kuwa na faini ndogo.ni ---- sana. Kuna mizani ngapi mpaka unafika iringa bado utegemee gari liwe overloaded!shame on him alitakiwa kuwapongeza
Kumbe hajaanza Leo kukurupuka
 
Duuh magu mtu wa visasi kitambo
 
Dharau kumbe tangu zamani
 
Natamani taifa langu lingekuwa na Rais na Mawaziri wote including Prime Minister aina ya Magufuli...Tungeshanyoka
Bila watu wa aina hiyo maendeleo tutayasikia redioni na kuyataeama kwenye TV.
tumeshanyooooka mkuu
 
Ubabe kitambo kumbe
 
Duh kumbe alizoea kupiga propaganda
 
Huku tuna msala wa 1.5T
 
Naona kujikomba ni stahili mpya pale Lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…