Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Tatizo hao wanaolipwa laki tano na chini ninwengi sana kiasi wasipokatwa kodi serikaki itapunguza mapato sana.
Hivyo, hiyo kodi ama itafutwe kwa wanaoliowa zaidi, ama serikaki ipunguze matumizi.
Hapa panatakiwa uchakataji wa namba kuangalia quantitative analysis.
Anachomaanisha ni ukiongeza uwezo wa manunuzi wa raia wako wigo wa kodi unatanuka mno, unachohitaji ni mifumo ya urasimishaji na ukusanyaji. Amewaza vizuri.