Hanspaul: Mshahara wa Laki 5 usikatwe Kodi

Hanspaul: Mshahara wa Laki 5 usikatwe Kodi

Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Haiwagi hivyo mkuu, jifunze upya
 
Jamaa ametoa wazo zuri sana, lakini mi tatizo ni mfumo wa hii nchi umekaa kwa kumnyonya masikini zaidi ya alienacho.
Mtanzania ni kama punda, bila bakora haendi.

Unaweza ukampa msamaha wa kodi, hela akaiona nyingi akaanza kulewa na mademu.
 
Wakuu

Mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Group, Satbir Singh Hanspaul amependekeza mwananchi anayepokea mshahara wa laki tano kushuka chini asikatwe kodi.

Hanspaul ameyasema hayo siku ya Jumatano, Januari 08, 2025 katika Mkutano wa Wafanyabiashara na Wamiliki wa kampuni wa Kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika katika Serena Hotel, Dar es Salaam.
View attachment 3195925
Iwe chini ya 1M asikatwe kodi maana mtu wa salary ya laki 6 hapo akikatwa mengineyo tu anarudi na laki 4 na kiduchu
 
Wakuu

Mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Group, Satbir Singh Hanspaul amependekeza mwananchi anayepokea mshahara wa laki tano kushuka chini asikatwe kodi.

Hanspaul ameyasema hayo siku ya Jumatano, Januari 08, 2025 katika Mkutano wa Wafanyabiashara na Wamiliki wa kampuni wa Kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika katika Serena Hotel, Dar es Salaam.
View attachment 3195925
Apewe maua yake!
 
Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
watanzania ni wajinga sana eti wanachekelea yeye kuzungumza huo ujinga

hawa watu wanaumia sana roho nchi ikikua kiuchumi lengo lao si serikali kujimudu na watu wake huyu china angenyongwa kwa ujinga aliozungumza mbele ya viongozi wa serikali kwa ufupi ni adui kiuchumi kwa taifa na amulikwe

mtu anazungumza kuwe na wanaolipa kodi na wengine wasilipe kodi na watu wanaona anawatakia mema, ndio mana ilikua raisi sana kwa afrika kutawaliwa na na hii jamii

kwa ufupi kazungumza upuuzi wa hali ya juu usio na afya kwa taifa linalotaka kusonga mbele
 
Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Acha wehu,umemsklza?!
 
watanzania ni wajinga sana eti wanachekelea yeye kuzungumza huo ujinga

hawa watu wanaumia sana roho nchi ikikua kiuchumi lengo lao si serikali kujimudu na watu wake huyu china angenyongwa kwa ujinga aliozungumza mbele ya viongozi wa serikali kwa ufupi ni adui kiuchumi kwa taifa na amulikwe

mtu anazungumza kuwe na wanaolipa kodi na wengine wasilipe kodi na watu wanaona anawatakia mema, ndio mana ilikua raisi sana kwa afrika kutawaliwa na na hii jamii

kwa ufupi kazungumza upuuzi wa hali ya juu usio na afya kwa taifa linalotaka kusonga mbele
We ni mjinga…laki 5 ikatwe kodi ila milion 200 za wabunge hazikatwi kodi wala mishahara ya marais wenu hakuna kodi..
 
watanzania ni wajinga sana eti wanachekelea yeye kuzungumza huo ujinga

hawa watu wanaumia sana roho nchi ikikua kiuchumi lengo lao si serikali kujimudu na watu wake huyu china angenyongwa kwa ujinga aliozungumza mbele ya viongozi wa serikali kwa ufupi ni adui kiuchumi kwa taifa na amulikwe

mtu anazungumza kuwe na wanaolipa kodi na wengine wasilipe kodi na watu wanaona anawatakia mema, ndio mana ilikua raisi sana kwa afrika kutawaliwa na na hii jamii

kwa ufupi kazungumza upuuzi wa hali ya juu usio na afya kwa taifa linalotaka kusonga mbele
Kwa hiyo jamaa katuona sie mambususu tuu
 
Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Na serikali itafanya hivyo pia kwa waajiriwa wake?
 
Back
Top Bottom