Tatizo hao wanaolipwa laki tano na chini ninwengi sana kiasi wasipokatwa kodi serikaki itapunguza mapato sana.
Hivyo, hiyo kodi ama itafutwe kwa wanaoliowa zaidi, ama serikaki ipunguze matumizi.
Hapa panatakiwa uchakataji wa namba kuangalia quantitative analysis.
Itazame kwa jicho la macro siyo micro.Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Kinyume chake pia ni sawa.Itazame kwa jicho la macro siyo micro.
Kinyume chake hata akiitumia kama ulivyosema, still kwa kuongeza uwezo wa spending wa raia wako utatanua mno wigo wa kodi sababu kodi inatokana na biashara, na kwenye kila biashara kuna matumizi na wasababisha matumizi ni waajiriwa na waajiriwa wengi wanalipwa laki saba mpaka tano kabla ya kodi.Kinyume chake pia ni sawa.
Angeshauri kuwa kima cha chini kiwe 500,000/- ambayo haikatwi kodi. Hapo angeongeza hio spending power.Kinyume chake hata akiitumia kama ulivyosema, still kwa kuongeza uwezo wa spending wa raia wako utatanua mno wigo wa kodi sababu kodi inatokana na biashara, na kwenye kila biashara kuna matumizi na wasababisha matumizi ni waajiriwa na waajiriwa wengi wanalipwa laki saba mpaka tano kabla ya kodi.
YAANI KWA UFUPI, HUYU ANASHAURI WAAJIRIWA WALIO WENGI WAWE NA PESA ILI WAKASPEND KWA WAFANYABIASHARA, WAJENZI N.K MAANA NDIO KUNDI KUBWA.
Upo sawa Mkuu RRONDOAngeshauri kuwa kima cha chini kiwe 500,000/- ambayo haikatwi kodi. Hapo angeongeza hio spending power.
Ila ya kusema tu chini ya 500,000 isikatwe kodi hawatamuingezea mwananchi chochote ila wao matajiri wataokoa hela zao maana wataendelea kulipa watu wengi 270,000 bila kulipa PAYE.
Point yako nimeielewa vizuri pia.
Wakuu
Mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Group, Satbir Singh Hanspaul amependekeza mwananchi anayepokea mshahara wa laki tano kushuka chini asikatwe kodi.
View attachment 3195925
Mkuu tushazeeka sass hivi CEOs wote tunawaona madogoHuyu dogo ashakuwa mkurugenzy Mtendaji?
Mkuu tushazeeka sass hivi CEOs wote tunawaona madogo
Wakuu
Mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Group, Satbir Singh Hanspaul amependekeza mwananchi anayepokea mshahara wa laki tano kushuka chini asikatwe kodi.
Hanspaul ameyasema hayo siku ya Jumatano, Januari 08, 2025 katika Mkutano wa Wafanyabiashara na Wamiliki wa kampuni wa Kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika katika Serena Hotel, Dar es Salaam.
View attachment 3195925
Na kwa serikalini mshahara chini ya laki nane kodi ipunguzweWakuu
Mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Group, Satbir Singh Hanspaul amependekeza mwananchi anayepokea mshahara wa laki tano kushuka chini asikatwe kodi.
Hanspaul ameyasema hayo siku ya Jumatano, Januari 08, 2025 katika Mkutano wa Wafanyabiashara na Wamiliki wa kampuni wa Kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika katika Serena Hotel, Dar es Salaam.
View attachment 3195925
nimewaza kama wewe ulivyowaza!Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Nyie hamlipagi chochote, nyie ni hasara kwa taifa, sanasana mnatuongezea idadi ya vilema mitaani.Na sie bodaboda tusilipe kodi