Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Corporates nnavyowajua ku counter balance watapandisha bei na kupunguza wafanyakazi kwasababu it's natural when you increase price kuna wateja utapoteza hence retrenchment.Kuongezeka kwa VAT na corporate tax kwa sababu watu watafanya manunuzi zaidi na biashara zitakuwa zaidi.
Napendekeza walimu wote wasikatwe kodiWakuu
Mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Group, Satbir Singh Hanspaul amependekeza mwananchi anayepokea mshahara wa laki tano kushuka chini asikatwe kodi.
Hanspaul ameyasema hayo siku ya Jumatano, Januari 08, 2025 katika Mkutano wa Wafanyabiashara na Wamiliki wa kampuni wa Kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika katika Serena Hotel, Dar es Salaam.
View attachment 3195925
Napia mishahara mikubwa tupewe wote haina haja ya double standard kwakwelKama kusamehewa tusamehewe wote Kama kutozwa tutozwe wote.
Msilete double standard hapa
Navijua vya Arusha viko Engutoto huko vinashughulika na kuunda body za magari mf . Yale ya tours, kutengenezaAbarikiwe huyo tajiri. Je, Anamiliki viwanda vya aina gani?
Mpumbavu mkubwa wewe!!watanzania ni wajinga sana eti wanachekelea yeye kuzungumza huo ujinga
hawa watu wanaumia sana roho nchi ikikua kiuchumi lengo lao si serikali kujimudu na watu wake huyu china angenyongwa kwa ujinga aliozungumza mbele ya viongozi wa serikali kwa ufupi ni adui kiuchumi kwa taifa na amulikwe
mtu anazungumza kuwe na wanaolipa kodi na wengine wasilipe kodi na watu wanaona anawatakia mema, ndio mana ilikua raisi sana kwa afrika kutawaliwa na na hii jamii
kwa ufupi kazungumza upuuzi wa hali ya juu usio na afya kwa taifa linalotaka kusonga mbele
Acha uongo asee kama vile raia wote mbumbumbu.Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Eff off.Acha uongo asee kama vile raia wote mbumbumbu.
unafikir hawa wanarithishana kaz.siku zote na yakijikita kwenye biashara flan ndio hio hio kuanzia babu mpaka mjukuu.kama ni construction masinga singa utayakuta kina har sigh.garej ndio hayo majamaaHuyu dogo ashakuwa mkurugenzy Mtendaji?
Hata kama ni 100% ishu ni jambo lifanyiwe analysis yakutosha. Kuto wakata hiyo PAYE itasaidia sana kukuza uwezo wa kutumia wa watu wengu. Kama analysis ikipigwa na kuna faida kubwa kufanya hivyo kuliko hasara basi jambo lifanyike......Kabisa lazima deep analysis ifanyike ila kiuhalisia 80% ya employee wanalipwa hiyo 500k.
Hoja sio double standard ijapokuwa hadi sasa ipo. Ukweli ni kwamba TRA haina ubunifu. Kila mwaka vyanzo vya mapato ni vilevile tu. Hakunavwatu wanaoumia nchi hii kwa kodi kama wafanyakazi. Mshahara anakatwa kodi, akianzisha kaduna analipia kodi, akinunua bidhaa analipa kodi. Mfanyakazi analipa kodi hata mara 10 lakini kuna wafanyabiashara hawalipi kodi. Lakini pia nchi imekuwa ya udalali na madalali hawakipi kodi. Hebu fuatilia hawa watu wana vipato vikubwa lakini kodi hawalipi:Kama kusamehewa tusamehewe wote Kama kutozwa tutozwe wote.
Msilete double standard hapa
Ndio maana akashauri ku spread tax base,kama nimemuelewa vizuri anachomaanisha.Tatizo hao wanaolipwa laki tano na chini ninwengi sana kiasi wasipokatwa kodi serikaki itapunguza mapato sana.
Hivyo, hiyo kodi ama itafutwe kwa wanaoliowa zaidi, ama serikaki ipunguze matumizi.
Hapa panatakiwa uchakataji wa namba kuangalia quantitative analysis.
Sawa, hata hiyo nayo inahitaji quantitative analysis ili kama tunaongeza tax base, tujue tutaongeza wapi, kwa kufanya nini, etc.Ndio maana akashauri ku spread tax base,kama nimemuelewa vizuri anachomaanisha.
Tusikariri vyanzo vya kukusanya(mapato) kodi vile vile tokea mwaka hamsini kweusi.
HahaMtanzania ni kama punda, bila bakora haendi.
Unaweza ukampa msamaha wa kodi, hela akaiona nyingi akaanza kulewa na mademu.
Nakubaliana na wewe, kwa kukiri siyo suala la kukurupuka kufanyike analysis ya kutosha kwa vyanzo vipya vya uhakika vya mapato na kodi ili tuondoke kwenye kukariri vyanzo wa mapato vya miaka mingi.Sawa, hata hiyo nayo inahitaji quantitative analysis ili kama tunaongeza tax base, tujue tutaongeza wapi, kwa kufanya nini, etc.
Chochote kike utakachotaka huwezi kukimbia kazi ya kufanya quantitative analysis na kuangalia models kwa empirical data.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie hamlipagi chochote, nyie ni hasara kwa taifa, sanasana mnatuongezea idadi ya vilema mitaani.