Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Asante kwa taarifa. Hii huduma muhimu.

Wamejitahidi.

Nilivyokuja US na kuona karibu kila kimji na kijiji kina Fire Brigade nilisikitika sana kulinganisha na Dar.

Mkuu upo US pande gan
 

Ushuani huwez kuta koko wala mapaka shume yasiyokuw na kwao hyo umeonge ukwel mtupu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu maisha ya huko oysterbay nimeishi sana tena ktk hiyo mijumba ya kifahari ila asikwambie mtu mkuu mambo yanayotokea usiku ni hatari sana yaani hao wenye hiyo mijumba wanafuga viumbe vyakutisha
Amini mkuu hao watu wanamaagano yakishirikina

[emoji817][emoji817]umenena kitu cha kwel utajiri wa mtu ni fumbo analolijua yeye na Muumba wake
 
Hivi unajua Bongo kuna baadhi ya watu (hususan hao unaosema wanaishi kama ulaya), lakini ukweli ni kwamba wanaishi zaidi ya watu majority waliopo huko ulaya.... Hata kama upo Ulaya na una pesa za kutosha Ukija Bongo utaishi kwa raha / matanuzi zaidi kuliko ukiwa huko ulaya...
 

Kwel mzee
 
Tena inazidi kukuuma ukijuwa hizo raha na maisha bora ya viongozi yanatokana na kodi unayolipa, au hela waliokwapuwa Kifisadi...

Wacha kabisa ukiwakuta walinz wa kule sijui wanajikuta km nan vile yan
 
Kanywe supu ya pweza uongeze ukoo. Hilo unaliweza. Mijengo waachie wenye nazo.
 
Hivi tunafananisha maisha ya Oysterbay na Ulaya.

Dar kuna huduma za umma za kuzoa taka?

Mkuu sijamaanisha kila anaekaa oysterbay ni maisha safi na ndio maana nikasema km “kuna watu”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…